USHAURI MMEOMBWA.? Si muwashauri ndugu zenu? Kuna ulazima gani nyie kungangania kumshauri mtu asietaka ushauri wenu? Mi hata siwaelewagi.
mpwa ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari.
ila nina aleji na hii thread.
Yaan Lara 1, nimekupenda bure leo, ni kweli Mange anamapungufu mengi ila binafsi nampenda sana, kupitia yeye nilipata ari ya kurudi shule kuchukua degree ya pili, ninafanya kazi na biashara zangu ambazo ninafanikiwa sana, n lastly ndoa yangu was almost dead bt kupitia blog yake nikagundua kumbe natakiwa ni work on my marriage na I have good time sasa... ki ukweli shes one woman and ahalf, sema ni huo uchizi wake sometimes......ila nampenda to death
Thx mamii... asthma
HAHHAHAHAAAAAA! NILIKUWA NAKUNGOJA PAKA SHUME MKUBWA WEWE KWA KUMSEMA BOSS WANGU?
Na lazima nijee ila unipe fact sio michambo tu leo fact tu
1. Utajiri alio nao ambao wale vishumundu hawana kwanza BIGGEST ONLINE PLATFORM. Ana viewers ni balaaa. Wengi wanatafuta kick tu pale wachambwe wawe maarufi. Wengi blogu zao marehemu siku nyingi.
Ungenitajia mali alizonazo ingekua poa zaidii,naona uzushi tu hapaa teh teh hana lolote Mange
2.YABABA YAK TUYAACHE, MUNGU NDO ANAPANGA NANI AWE BABA WA NANI NAMNA HIO HATA SIE BABA ZETU WAKULIMA, WENGINE WAKO JELA HUWEZI KUMHOLD MTOTO RESPONSIBLE KWA MAKOSA AU FAILUR YA BABA. TUKIENDA HIVO KILA MTU AANDIKE BABA YAKE NI NANI HUMU NCHINI MMMMMH!
Ndio umaarufu kila kitu utajadiliwaa hadi ya uvunguni kama anayoyatoa yeye kwa wenziee, upoo
3.MMELAZIMISHWA MNUNUE? NANI ASIEUZA NGUZO ZA MCHINA MJINI HAPA? Mr price? Splash? Wote wanauza ronyaaaa hutaki kuwa kama Klyn nunua desiginer. SUALA NGUO GANI ANAUZA HAJAMFOSI MTU KUNUNUA.
Ndio hivyo awaambie ukweli watu kua nguo ni za mchina full stop
4.Hio email ilitolewa ufafanuzi na yeye mwenyewe, tena ilisambazwa na designer. Mumewe anakitombesha na Miss Tz hayasemi kashupalia ya mwenzie. PLUS HAIKUWA NA AUTHENCITY YOYOTE COZ HAMNA ALIE CLAIM KUWA NI YEYE NDO KAISAMBAZA NA NI KWELI TUPU. so haina uzito kabisaaa.
Naona hapa hujuii ila unatetea tu
5. LABDA UTO SUPPORTING EVIDENCE OTHERWISE HIZI NI HISIA ZAKO TU, NENDA NA WEWE LINDONI TUONE KAMA UTAPATA AMERICAN CITIZEN! Afterall MAKU YAKE AU MNATAKA NA KU,PANGIA AITUMIE VIPI MBONA NYIE MNAKITOMBESHA NA FREE P HATUWAULIZI?
Mimi sio malaya wa kwenda lindoni kutafuta wanaumee,nilipatiwa nyumbani kwetu sijua na papara huo ni umalaya nakwambia so asiseme wenzie malaya wakati nae analiwa hivyo hivyo
6. WE MUMEO VIPI TUANZIE HAPA USIJITIE KUMSEMA MUME WA MTU WAKATI YAKO UNAYAFICHA KAMA MUMEO MUUZA MCHICHA. AFTER ALL MUME WAKE AU ALIWAITA MKAKAZWE WOTE NA HUYO MUME?
Mi mume wangu sio maarufu na haitaji kua maarufu angekua maaarufu au namuweka hadharani hapo sawa ingejulikana tu kazi yake, alichomzidi Lance ni kua mzungu tu hakuna anachomzidi,umejitolea kumjibia Mange maana unamjua sie hatumjui ujibu tu ( back to the topic tunamuongelea Mange usichengeshee
7. Uzuri ni subjective na mtu na mtu, opinoon yake ni wabaya ndio! Its a free country[/QUOTE/]
Eee asiseme wenzie wabaya wakati nae wale walee lara 1 usichengeshe anaeongelewa ni mange hapa na yanayomuhusu Mange we tujibu tu vizuri tukuelewee lasivyo nawe humjui Mange
Hahahaaaaaaaa!
1. Mali za nini aweke? Nyie mbona hamueweki zenu? Hao wenye beef nae mbona hakuweka zao?
2.let the oldman REST IN PEACE sababu hata mkimsingizia hatoweza kurudi kujitetea.
3.ITS A FREE COUNTRY hajabembelezwa mtu kunua kitu. Unataka nunua, hutaki sepa, hamna mtu naebembelezwa.
4.Hio email ni ishu ya 2012 alivoenda tu USA, kafukunyue u turn ilijadiliwa mno mno nashangaa mmeiona leo.
5.IT TAKES A WITCH TO IDENTFY ANAOTHER WITCH so kama wewe huendi huko UMEJUAJE YA HUKO NA KUYASEMA IN CONFIDENNCE UNLESS YOU ARE LYING OFCOURSE.
6.KBALA HUJATOA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWENZIO TOA KWANZA BORITI KWENYE JICHO LAKO! Jiulize AUDECITY YA KUMSEMA MUME WA MWENZIO NA ECONOMY YA MWENZIO YAKO IKO VIPI? Watu tunajisahaaau nakuona sababu hatujulikani basi ndo kuwaonea wanaojulikana.
7. HATA WEWE HUJAKATAZWA KUSEMA MTU YEYOTE MBAYA ITS A FREE COUNTRY, Mange akimuona mtu mbaya atasema mbaya kama nyie mnavot8a maoni yenu kwa uhuru na haki.
hapa na mimi nimecheka! eti KEPITO LETAZI, hivi huyu mange ndo yule aliemtumia mwenzie email ya kuwa kaliwa makalio?
hili nalo ndo kosa jingine la mange na washauli wake
Tunakoelekea na hili jukwaa la celebrity naona invisible mngeanzisha tu jukwaa jipya La mipasho,tarabu,vigodoro,michambo,mishushuo.....nk..lol..jukwaa linapoteza "ladha" yake....
mpwa ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari.
ila nina aleji na hii thread.
mpwa ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari.
ila nina aleji na hii thread.
MWENYEW ALINIJAMBISHAAAA MPAKA NIKARUDI SKULI UNADHANI.? Pale ni SUVIVOR OF THE FITTEST! Sasa mtu akiona ligi ya mule nzito ndo anageuka hater! Ila ukikaa mule positively unapata inspiration ya kutosha.Yaan Lara 1, nimekupenda bure leo, ni kweli Mange anamapungufu mengi ila binafsi nampenda sana, kupitia yeye nilipata ari ya kurudi shule kuchukua degree ya pili, ninafanya kazi na biashara zangu ambazo ninafanikiwa sana, n lastly ndoa yangu was almost dead bt kupitia blog yake nikagundua kumbe natakiwa ni work on my marriage na I have good time sasa... ki ukweli shes one woman and ahalf, sema ni huo uchizi wake sometimes......ila nampenda to death
that's too bad pole mwaya....
Kama sio yatima SHUKURU MUNGU SIO KUMSEMA YATIMA WA MUNGU KWAMBA SIO WA KWANZA DUNIANI! Hakupenda awe hivo, aliekupa wewe wazazi ndo kamnyima yeye wazazi wenye maisha marefu.
HII FALSAFA YA MJINGA NA MNYONGE KUKAA ANATUKANWA, FAMILIA YAKE INATUKANWA BILA SABABU WAKATI MATUSI NI BURE HAYAUZWI DUKANI!unapokuwa msomi tena mama una watoto kadhaa u have to act like one. dawa ya moto sio moto wala mafuta. mange nakupenda bcoz ur hard working women ila jifunze kukubali kosa na usipende kufurahisha binadamu ili wakuone we hushindwi kitu. wewe ni mama unatengeneza dunia ya maadui wakati watoto wako wanaishi humohumo mhhh sijui unawaza nn...
hahahaaaa....!nshakuelewa yani we kweli mwanafasihi!
unapokuwa msomi tena mama una watoto kadhaa u have to act like one. dawa ya moto sio moto wala mafuta. mange nakupenda bcoz ur hard working women ila jifunze kukubali kosa na usipende kufurahisha binadamu ili wakuone we hushindwi kitu. wewe ni mama unatengeneza dunia ya maadui wakati watoto wako wanaishi humohumo mhhh sijui unawaza nn...