Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
halafu watu wanamsupport tena kwa fake identity wakijua watoto wao hawatajulikana na public. ye watoto wako wanajulikana ka viatu vya mchina kariakoo. angejua hawampendi anaekupenda atakushauri ukae mbali na hatari sio uisogelee

hahaaaa wanajulikana kama viatu vya mchina kariakoo.....
wale huwa wanasifia ujinga mie niliblockiwa eti nimezidi negativity..... ko kule ni kusifia kwenda mbele

BTW ishu ya kumnanga founder wa Jf imenisikitisha sana.... that bitch....
 
Hahaaaaa! Nishamuomba Shamim radhi na kuahidi kutomuandika humu tenaaa, mbuzi pita sina mkuki mieeee!
 

Kweli kabisa km kpnd anamnanga shamim kwa kumuita MRS SEMBE DAAH!
Afu hakumkohoa wala kumguna mwenzie ndo kwanza anazid kujenga jina kichanya zaidi!
Ye watu wanamshauri ujinga hajiulizi why people wanamchukia hana shoga hana rafiki,
Maisha yake ameyakim kardashian zaidi ya uhalisia!Acha apondwe tu!
 
msaidie rafiki yangu Tatiana

mpwa tuko pamoja, yule mzee kama yuko hai mbona atapona kabisa.

mimi ilishanipata miaka mingi nyuma na nimepona kabisa, na kwa sababu hii huwa ni kama inaambukiza kifamilia mtoto wa marehemu kaka yangu naye imempata pumu lakini sasa hivi yuko fresh. dawa za hospital ni kupoteza muda wako tu.
 

Mimi sio maarufu lara kipi huelewii,tunaongelea Mange umeweka thread ya Mange jibu kuhusu Mange sisi sio maarufu tukitaka umaarufu tutajadiliwaa

Umesema wanamuonea wivu kwa lipiii??? Mme mzungu au dudu yake ya dukani au kwa vile hawatahiriwi govi ndio linaonewaa wivu,
We muelezee sie tukuulizee we si unamjuaa sasa utaanzaje linganisha na ambao hawajulikanii
Ngoja narudii Halaf Mange mshamba kwelii anawashika masikio team yake eti ........ yanamsaka yampe mkopo bla bla wakati Us kila mtu hayo makaratasi ya mkopo hupewaa ye kaona big deal lo kawaida sanaaaaa sanaaa bado Hajanishika masikio na master yake ya Dubaiii
 
Last edited by a moderator:
halafu watu wanamsupport tena kwa fake identity wakijua watoto wao hawatajulikana na public. ye watoto wako wanajulikana ka viatu vya mchina kariakoo. angejua hawampendi anaekupenda atakushauri ukae mbali na hatari sio uisogelee
Unasahau swala la mbolea kuwa MANGE ALIANZA KUBLOG MAISHA YAKE KABLA YA FOLLOWERS. Asingehitaji publicity asinge blog! She is fine with the publicity ndo maana with beef or without anawekaga familia yake. Kwenye blog. So watu tucomment tusicomment yeye ashaweka!
 

Lakini una kubaliana kuwa Mange ni mtu maarufu hivyo ni swala la kawaida kwa watu wa aina hiyo kudadisiwa maisha yao na hakuna tatizo kwenye hilo? Pengine Mange hajui matokeo ya kuwa maarufu?
 

nitafurahi ukimsaidia mpwa....
ukimpata na mie uniambie for real
 
Lakini una kubaliana kuwa Mange ni mtu maarufu hivyo ni swala la kawaida kwa watu wa aina hiyo kudadisiwa maisha yao na hakuna tatizo kwenye hilo? Pengine Mange hajui matokeo ya kuwa maarufu?

Mange ni maarufu mtandao basii labda aimbe mziki atajulikana zaidii maana watanzania wengi hawaingii kwenye mitandao,na shigongo ashakataa kumtoa kwenye magazeti yakee
 

Nimrshatumia dawa za hosp mpaka nimechoka..

Kweli unachosema kwetu upande wa kina mama ndugu kibao wanao
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…