Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hii thread imefanya tuwajue wanaojiita wa mjini kumbe wababaikaji
Umewajua kina nanii fungukaa banaa tujue nasii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii thread imefanya tuwajue wanaojiita wa mjini kumbe wababaikaji
hahahaaaa....!nshakuelewa yani we kweli mwanafasihi!
NOUGH IS ENOUGH WANA MUONEA SANAA YATIMA WA WATU! Its not fair. Its ab8ut time i had to set the record straight.
yaani umeona eeh!ndo mana wale wanaojielewa mf.shamim hakumguna wala kumtukana kapiga kimyaaaa...
Lile no tusi kubwa sanaa kwa mrs water mark baas tu
Kajimaliza ila yeye mi ndo nashindwa kumshangaa ana binyi mkubwa kidogo kazaa na Frank machozi tena wa nje ila hamna anaemtukana ila ye kutwa kuwaambia wenzie wana watoto wazinzi aisee anawatengenezea watoto maisha mabaya sana...!
Ye hilo halijui ye anajua kuchamba tu so the meaning of beinv educated nini?!!!!
mbaya zaidi kweli kadelete water mark kwann asingejifanya.mpole akakubali kosa yaani hii issue ingeisha kiulaini na wala watu wasingejari nn kimetokea.. sasa hayo magazeti ya rai na kutukana watu wasio na hatia hadi yule dada marehemu aliyepiga picha na suozy daah
Umewajua kina nanii fungukaa banaa tujue nasii
Mange SI CELEBRITY NI BLOGGER ili umjue ana media platform 1 tu ambayo unaweza kuiavoid nayo ni BLOG YAKE. Sio kama msanii usipomsikia redioni basi utamuona kwenye tv. NO. Wala haombi publicy au kufanya promo. Anaishi maisha yake ndani ya blog yake. Hupendi USIINGIE KWENYE BLOG.Asante lara1 kwa Hapo kwenye green!
Kwa hiyo sio kwamba hana taitizo bali wanao msema hawayajui!
Je wewe una mchukulia Mange kama Celebrity na watu wana haki ya kuyaju maisha yake na ikiwezekana kuyachambua?
Ulishawai kukerwa na jinsi anavyo yakabili matatizo yake hasa kwa wanao onekana ni adui zake kwa kumshauri ?
Wewe Ulishawai kumkosoa?
Katika sakata la product na tuhuma za kutumia product za watu wewe una simama upande upi? Ana singiziwa? Alikuwa sawa?
that's too bad pole mwaya....
mume wangu si maarfu na wala sina mda wa kumtangaza
ye kwa sababu anafanya maisha yake fake kila mtu amuone haya acha aumbuliwe
mzungu kitu gani kwani hamna wazungu masikini
au ye ndo wa kwanza kua na mzungu
alikua hamtoshelezi ndo mana alikua anapga show za nje kiroho safi kudadeki
mrs.water mark pole sana come back tanzania home sweet home
kumbe mume yahaya ukaona umeopoa bonge la bwana weraaaaaaaa........!!!!!!!!
bora ungebangaiza mswazi ila pedejee km kylin baby halllllaaaaaaa...m.m!
HII FALSAFA YA MJINGA NA MNYONGE KUKAA ANATUKANWA, FAMILIA YAKE INATUKANWA BILA SABABU WAKATI MATUSI NI BURE HAYAUZWI DUKANI!
Watu wakikuchokonoa wachoke na mjiti kabusaa sio tu madole ndo wanatia akili. Ukiwaachia watachukua godoro kabisaaa wakulale kichwani! AN EYE FOR AN EYE ndo lugha watu wanayoielewa! Kama chaga bibi toka aambiwe PAPA LAK LITAWEKWA MULE UTURN KANYOOKA KAMA PIGWA PASI ALIKUWA ANAJIUMUA KAMA KATIWA HAMIRA!
pumu inatibika kwa dawa za kienyeji mimi ni shuhuda.
pumu inatibika kwa dawa za kienyeji mimi ni shuhuda.
Thx mamii... asthma
Nna maswali kwako lara 1
1:Tuwekee na utajiri alionao Mange??
Maana umesema wanamuonea wivu
2: baba yake alifariki kisa nini na alifanywa nini mpaka akajiuaa??
3:nguo za mchina sio za mchina??
4: email iliyosambaa na ni ya zamani akielezea ufuska wake hadi wa kuliwa tigo unauzungumziaje??
5: kama alikua wa kibopa/kishua mawindoni kwenye mahotel kutafuta mabwana ilikuaje ?? Ndio akambahatisha huyo Lance
6; huyo mmewe mbona ana hama hama hana makazi maalumu au kazi maalumu? ??
7:anawasema wenzie wabaya wana sura mbaya,kati ya wanawake wazuri Mange yumo?????
Ni hayo tu! !!!!!!
Hahahaaaaaaa! KABLA HUJAMUONGELEA MWENZIO TOA KWANZA CREDENTIALS ZAKO ILI TUONE AQUISATION UNAZOMRUSHIA MANGE ZINA HOLD.?lara unachenga maswalii,hapa tunaongelea Mange na yanayomuhusu tu usilinganishe na ambao hawajulikanii kama ni hivyo basi mi nakuachia uwanja ujadili na wenginee ,unaulizwa swali nawe unaulizaa tueleweshe tumjue Mange na tumuelewee sio utoke nje mada hapo unaboa bana
mi sijamwelewa ufafanuzi pls
Nna maswali kwako lara 1
1:Tuwekee na utajiri alionao Mange??
Maana umesema wanamuonea wivu
2: baba yake alifariki kisa nini na alifanywa nini mpaka akajiuaa??
3:nguo za mchina sio za mchina??
4: email iliyosambaa na ni ya zamani akielezea ufuska wake hadi wa kuliwa tigo unauzungumziaje??
5: kama alikua wa kibopa/kishua mawindoni kwenye mahotel kutafuta mabwana ilikuaje ?? Ndio akambahatisha huyo Lance
6; huyo mmewe mbona ana hama hama hana makazi maalumu au kazi maalumu? ??
7:anawasema wenzie wabaya wana sura mbaya,kati ya wanawake wazuri Mange yumo?????
Ni hayo tu! !!!!!!
Mange SI CELEBRITY NI BLOGGER ili umjue ana media platform 1 tu ambayo unaweza kuiavoid nayo ni BLOG YAKE. Sio kama msanii usipomsikia redioni basi utamuona kwenye tv. NO. Wala haombi publicy au kufanya promo. Anaishi maisha yake ndani ya blog yake. Hupendi USIINGIE KWENYE BLOG.
Product alishatoa maelezo na EMAIL iko uturn aliyomuomba huyo mnungu wafanye business, na kakubali kosa lake ni kutosubiri reply ya mnungu. MNUNGU HAKUWA HONEST KUWA ALIOMBWA KWA EMAIL KUTUMIKA KAZI ZAKE, alijifanya as if hajui lolote! Sio haki. NA WALIOSHABIKIA INAWAHUSU NINI KUSHADADIA BIASHARA YA MWENZAO IPATE BAD REPUTATION NA KUMCHAMBA! NDO MIPAPA YAO KUWEKWA NA WANAWAO KUWEKW WANAUZA BAR NEW YORK WANAANZA KUWAYA WAYA!
ndio hapo jamii ilipozidi kumshangaa alimnanga huyo chaga bebi akasema CASE CLOSED Mara huyo akaibuka kama nyangumi na huyo souzy na kuanza kuwananga hadi. marehem... sa hivi tutaanza kuogopa kupiga picha na marafiki sasa...... maana hadi third party utachambuliwaje....
akitaka asichukiwe akaishi sayari ya Pluto huko atakua mwenyewe hakuna atakaembugudhi... kwani wengine hawachukiwi hawasemwi vibaya wanasemwa but they know how to handle their cases.....,