Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
yaani umeona eeh!ndo mana wale wanaojielewa mf.shamim hakumguna wala kumtukana kapiga kimyaaaa...
Lile no tusi kubwa sanaa kwa mrs water mark baas tu
Kajimaliza ila yeye mi ndo nashindwa kumshangaa ana binyi mkubwa kidogo kazaa na Frank machozi tena wa nje ila hamna anaemtukana ila ye kutwa kuwaambia wenzie wana watoto wazinzi aisee anawatengenezea watoto maisha mabaya sana...!
Ye hilo halijui ye anajua kuchamba tu so the meaning of beinv educated nini?!!!!

halafu watu wanamsupport tena kwa fake identity wakijua watoto wao hawatajulikana na public. ye watoto wako wanajulikana ka viatu vya mchina kariakoo. angejua hawampendi anaekupenda atakushauri ukae mbali na hatari sio uisogelee
 
mbaya zaidi kweli kadelete water mark kwann asingejifanya.mpole akakubali kosa yaani hii issue ingeisha kiulaini na wala watu wasingejari nn kimetokea.. sasa hayo magazeti ya rai na kutukana watu wasio na hatia hadi yule dada marehemu aliyepiga picha na suozy daah

ndio hapo jamii ilipozidi kumshangaa alimnanga huyo chaga bebi akasema CASE CLOSED Mara huyo akaibuka kama nyangumi na huyo souzy na kuanza kuwananga hadi. marehem... sa hivi tutaanza kuogopa kupiga picha na marafiki sasa...... maana hadi third party utachambuliwaje....

akitaka asichukiwe akaishi sayari ya Pluto huko atakua mwenyewe hakuna atakaembugudhi... kwani wengine hawachukiwi hawasemwi vibaya wanasemwa but they know how to handle their cases.....,
 
Asante lara1 kwa Hapo kwenye green!

Kwa hiyo sio kwamba hana taitizo bali wanao msema hawayajui!

Je wewe una mchukulia Mange kama Celebrity na watu wana haki ya kuyaju maisha yake na ikiwezekana kuyachambua?

Ulishawai kukerwa na jinsi anavyo yakabili matatizo yake hasa kwa wanao onekana ni adui zake kwa kumshauri ?

Wewe Ulishawai kumkosoa?


Katika sakata la product na tuhuma za kutumia product za watu wewe una simama upande upi? Ana singiziwa? Alikuwa sawa?
Mange SI CELEBRITY NI BLOGGER ili umjue ana media platform 1 tu ambayo unaweza kuiavoid nayo ni BLOG YAKE. Sio kama msanii usipomsikia redioni basi utamuona kwenye tv. NO. Wala haombi publicy au kufanya promo. Anaishi maisha yake ndani ya blog yake. Hupendi USIINGIE KWENYE BLOG.

Product alishatoa maelezo na EMAIL iko uturn aliyomuomba huyo mnungu wafanye business, na kakubali kosa lake ni kutosubiri reply ya mnungu. MNUNGU HAKUWA HONEST KUWA ALIOMBWA KWA EMAIL KUTUMIKA KAZI ZAKE, alijifanya as if hajui lolote! Sio haki. NA WALIOSHABIKIA INAWAHUSU NINI KUSHADADIA BIASHARA YA MWENZAO IPATE BAD REPUTATION NA KUMCHAMBA! NDO MIPAPA YAO KUWEKWA NA WANAWAO KUWEKW WANAUZA BAR NEW YORK WANAANZA KUWAYA WAYA!
 
mume wangu si maarfu na wala sina mda wa kumtangaza
ye kwa sababu anafanya maisha yake fake kila mtu amuone haya acha aumbuliwe
mzungu kitu gani kwani hamna wazungu masikini
au ye ndo wa kwanza kua na mzungu
alikua hamtoshelezi ndo mana alikua anapga show za nje kiroho safi kudadeki
mrs.water mark pole sana come back tanzania home sweet home
kumbe mume yahaya ukaona umeopoa bonge la bwana weraaaaaaaa........!!!!!!!!
bora ungebangaiza mswazi ila pedejee km kylin baby halllllaaaaaaa...m.m!

ILA MDA WA KUCHAMBUA WAUME WA WENZIO UNAO EEEEEEEH! Hahaaaaaaa! Mkuki kwa Mange kwako mchungu!
SINCE YA MUMEO UMESHINDWA KUYAWEKA HAPA YA MZUNGU MUACHIW MZUNGU BORESHA YAKO MAMA!
 
HII FALSAFA YA MJINGA NA MNYONGE KUKAA ANATUKANWA, FAMILIA YAKE INATUKANWA BILA SABABU WAKATI MATUSI NI BURE HAYAUZWI DUKANI!
Watu wakikuchokonoa wachoke na mjiti kabusaa sio tu madole ndo wanatia akili. Ukiwaachia watachukua godoro kabisaaa wakulale kichwani! AN EYE FOR AN EYE ndo lugha watu wanayoielewa! Kama chaga bibi toka aambiwe PAPA LAK LITAWEKWA MULE UTURN KANYOOKA KAMA PIGWA PASI ALIKUWA ANAJIUMUA KAMA KATIWA HAMIRA!

kwa chaga bibi hajamkoa ndio kwanza kamtafutia soko coz yule ile ni biashara kwake hajafanya kitu pale. siku ile alivyowapa evidence na kukiri kuwa haraka ya biashara ilimfanya aweke ile pic ilitosha kabisa. sasa anavyozidi kuuwekea mafuta huu moto hautaisha watazidi kumuandama tu kila siku watakuwa wanatafuta wapi amejikwaa
 
Nna maswali kwako lara 1

1:Tuwekee na utajiri alionao Mange??
Maana umesema wanamuonea wivu

2: baba yake alifariki kisa nini na alifanywa nini mpaka akajiuaa??

3:nguo za mchina sio za mchina??

4: email iliyosambaa na ni ya zamani akielezea ufuska wake hadi wa kuliwa tigo unauzungumziaje??

5: kama alikua wa kibopa/kishua mawindoni kwenye mahotel kutafuta mabwana ilikuaje ?? Ndio akambahatisha huyo Lance

6; huyo mmewe mbona ana hama hama hana makazi maalumu au kazi maalumu? ??

7:anawasema wenzie wabaya wana sura mbaya,kati ya wanawake wazuri Mange yumo?????
Ni hayo tu! !!!!!!

Nilimpenda Mange Ila Kwa Comment Yako Nimekupenda Wewe Zaidi,.....
 
Last edited by a moderator:
lara unachenga maswalii,hapa tunaongelea Mange na yanayomuhusu tu usilinganishe na ambao hawajulikanii kama ni hivyo basi mi nakuachia uwanja ujadili na wenginee ,unaulizwa swali nawe unaulizaa tueleweshe tumjue Mange na tumuelewee sio utoke nje mada hapo unaboa bana
Hahahaaaaaaa! KABLA HUJAMUONGELEA MWENZIO TOA KWANZA CREDENTIALS ZAKO ILI TUONE AQUISATION UNAZOMRUSHIA MANGE ZINA HOLD.?

Ni swa na mahakamani Chizi akisema flani mwizi haipewi uzito kama Padri wake anaemuungamisha akisema flani mwizi. Cc lawyer Rutashobolwa ! Msitumi kujificha nyuma ya keboard na kurusha mawe. Play fair n square.
Kma mie Mume sina. Nambembeleza Matola anioe siwezi sema Mume wa flani lofaa, hana kitu wakati mie mume sinaaa! IT DOESNT MAKE SENSE NI MANENO YA MKOSAJI TU.
 
Last edited by a moderator:
Nna maswali kwako lara 1

1:Tuwekee na utajiri alionao Mange??
Maana umesema wanamuonea wivu

2: baba yake alifariki kisa nini na alifanywa nini mpaka akajiuaa??

3:nguo za mchina sio za mchina??

4: email iliyosambaa na ni ya zamani akielezea ufuska wake hadi wa kuliwa tigo unauzungumziaje??

5: kama alikua wa kibopa/kishua mawindoni kwenye mahotel kutafuta mabwana ilikuaje ?? Ndio akambahatisha huyo Lance

6; huyo mmewe mbona ana hama hama hana makazi maalumu au kazi maalumu? ??

7:anawasema wenzie wabaya wana sura mbaya,kati ya wanawake wazuri Mange yumo?????
Ni hayo tu! !!!!!!

Heheheh akikujib sijui atajb nn mama mamasters
 
Last edited by a moderator:
Mange SI CELEBRITY NI BLOGGER ili umjue ana media platform 1 tu ambayo unaweza kuiavoid nayo ni BLOG YAKE. Sio kama msanii usipomsikia redioni basi utamuona kwenye tv. NO. Wala haombi publicy au kufanya promo. Anaishi maisha yake ndani ya blog yake. Hupendi USIINGIE KWENYE BLOG.

Product alishatoa maelezo na EMAIL iko uturn aliyomuomba huyo mnungu wafanye business, na kakubali kosa lake ni kutosubiri reply ya mnungu. MNUNGU HAKUWA HONEST KUWA ALIOMBWA KWA EMAIL KUTUMIKA KAZI ZAKE, alijifanya as if hajui lolote! Sio haki. NA WALIOSHABIKIA INAWAHUSU NINI KUSHADADIA BIASHARA YA MWENZAO IPATE BAD REPUTATION NA KUMCHAMBA! NDO MIPAPA YAO KUWEKWA NA WANAWAO KUWEKW WANAUZA BAR NEW YORK WANAANZA KUWAYA WAYA!

Ndo tatizo la shoga yako kimbelembele na umaarfu kunuka....!!!!
Angesubiri angepungukiwa nini?!!!!
Tatizo ana haraka km uharo wa kuku wa asubuhi
Enhee...hao aliowaumbua pale mi sijaona jipya maana huyo linda kashamsakamia sana wanawee
Huyo starlisha mi nshazoe kumuona uchi!!!mi sionagi km anavaa nguo
Enheee ye mrs mzungu pedejee mbona kakurupuka hadi kaiba...?!!
Maisha magumu kaona kuchelewa kujibiwa pumbav zakeee...
Na watu wakamlipua na wao km mbwai iwe mbwai
Shost macho yakamtoka km mjusi vile...!
Mgazeti huoooo...!!!
Ninin mama....???
Kitu gank...?Relax upewe za uso mwizi mkubwa weeee...!
 
Mwamy,KIK,Shamimu,Shigongo na wengine kibao wote wanamuonea wivu Mange kwa kipi hasa au kwa utajiri gani aliokuwa nao....yani nilikuwa namuona Mange ni mtu wa maana sana ila nimemshusha thamani sabb mtu mwenye busara huwezi kugombana na watu wewe tu halafu unasema wanakuanza ni kitu kisichowezekana...halafu cha kushangaza yeye anajiona ni mtu wa maana sana katika jamii ama kweli -------- hujiona mwenye hekima mbele ya macho yake mwenyewe maana mtu mwenye hekima hata kama umekosewa huwezi kutumia lugha chafu za matusi na kumdhalilisha mtu hadi waliotangulia mbele za haki kama anavyofanya Mange sasa elimu yake imemsaidia nini mbona afadhali hata wasoenda shule wapo wengi sana wenye hekima zao pamoja ya kwamba hawajasoma....Hivi kweli anathubutu kusema Mungu ndiye anayempa nguvu ya kushindana na adui zake ni Mungu wawapi anayesema utukane watu na kuwadhalilisha
 
ndio hapo jamii ilipozidi kumshangaa alimnanga huyo chaga bebi akasema CASE CLOSED Mara huyo akaibuka kama nyangumi na huyo souzy na kuanza kuwananga hadi. marehem... sa hivi tutaanza kuogopa kupiga picha na marafiki sasa...... maana hadi third party utachambuliwaje....

akitaka asichukiwe akaishi sayari ya Pluto huko atakua mwenyewe hakuna atakaembugudhi... kwani wengine hawachukiwi hawasemwi vibaya wanasemwa but they know how to handle their cases.....,

yaani umenena..... anatatizo la short temper hafu anataka kufurahisha dunia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom