Kigogo ni fala sana, anajifanya anajua kila kitu kumbe hamnazo.Kigogo haeleweki hata anapigania kitu gani ,enzi za jiwe alikuwa anavujisha habari ndo watu wakaanza kumjaza upepo ,Sasa hivi inaonekana hana source yoyote ya ndani ameanza kuwageukia chadema na anataka asikilizwe hata kama ni upumbavu ,mbona yeye aliwahi kumtukana Lissu kwamba ni mshamba
Dah! Juzi mambo yalikua mengi sana. Tupange tena Mpwa wala usijaliUlinikimbia one lounge mkuu[emoji16]
Juzi kasema lissu ni choko [emoji1787][emoji1787][emoji1787],kisa tuu lisu kapinga vikali hoja zake za kutaka chadema kuandaa vikundi vya uasii ili kuja kupambana na dora.Kigogo haeleweki hata anapigania kitu gani ,enzi za jiwe alikuwa anavujisha habari ndo watu wakaanza kumjaza upepo ,Sasa hivi inaonekana hana source yoyote ya ndani ameanza kuwageukia chadema na anataka asikilizwe hata kama ni upumbavu ,mbona yeye aliwahi kumtukana Lissu kwamba ni mshamba
Nimesepa kakaDah! Juzi mambo yalikua mengi sana. Tupange tena Mpwa wala usijali
Nilishangaa aliposema chadema waingie msituni ,huyu jamaa angebaki kwenye kuvujisha makosa ya serikali ila siyo kwenye ushauri kwa wapinzaniKigogo ni fala sana, anajifanya anajua kila kitu kumbe hamnazo.
Jitu lina twit kila saa hamna mda hata wa kufikiri anachoandika.
Dah, karibu sana sana Ndugu yangu. Kesho nitasafiri kwenda Tabora, karibu Tabora tule AbujaNimesepa kaka
Abuja ni kitu gani boss, ila Kgm ni kuzuri japo bado hamjaitendea haki, nimependa mandhari yake bossDah, karibu sana sana Ndugu yangu. Kesho nitasafiri kwenda Tabora, karibu Tabora tule Abuja
Lissu alimfunga mdomoNilishangaa aliposema chadema waingie msituni ,huyu jamaa angebaki kwenye kuvujisha makosa ya serikali ila siyo kwenye ushauri kwa wapinzani
Ni msosi Fulani Amazing sana, ni kuku anaungwa kwa hoho na viungo tu anakua mtamu saaaanaAbuja ni kitu gani boss, ila Kgm ni kuzuri japo bado hamjaitendea haki, nimependa mandhari yake boss
Hiyo sisi tunaita MAKANGE mkuuNi msosi Fulani Amazing sana, ni kuku anaungwa kwa hoho na viungo tu anakua mtamu saaaana
Fungua code
This maranja Tripple M emerged from Facebook, he has really exploded so quickly on his ascendance to digital social popularity.Huyu kijana amekuwa akijipambanua kama kijana wa karibu wa CHADEMA na kijana wa Mbowe
Aina ya siasa zake nazifurahia sasa hivi naona anaparuana na kigogo huko Twitter bila kumuogopa. Kwa anayemfahamu who is he?