Who is Martin Maranja Masese?

Who is Martin Maranja Masese?

Kigogo haeleweki hata anapigania kitu gani ,enzi za jiwe alikuwa anavujisha habari ndo watu wakaanza kumjaza upepo ,Sasa hivi inaonekana hana source yoyote ya ndani ameanza kuwageukia chadema na anataka asikilizwe hata kama ni upumbavu ,mbona yeye aliwahi kumtukana Lissu kwamba ni mshamba
Kigogo ni fala sana, anajifanya anajua kila kitu kumbe hamnazo.
Jitu lina twit kila saa hamna mda hata wa kufikiri anachoandika.
 
Kigogo haeleweki hata anapigania kitu gani ,enzi za jiwe alikuwa anavujisha habari ndo watu wakaanza kumjaza upepo ,Sasa hivi inaonekana hana source yoyote ya ndani ameanza kuwageukia chadema na anataka asikilizwe hata kama ni upumbavu ,mbona yeye aliwahi kumtukana Lissu kwamba ni mshamba
Juzi kasema lissu ni choko [emoji1787][emoji1787][emoji1787],kisa tuu lisu kapinga vikali hoja zake za kutaka chadema kuandaa vikundi vya uasii ili kuja kupambana na dora.

Tatizo lake kubwaaa ni kujifanya anajua kila kitu, akidhindwa kwa hoja anaanza matusiii
 
[emoji16]
IMG_20210812_220442.jpg
IMG_20210812_220447.jpg
 
Huyu kijana amekuwa akijipambanua kama kijana wa karibu wa CHADEMA na kijana wa Mbowe

Aina ya siasa zake nazifurahia sasa hivi naona anaparuana na kigogo huko Twitter bila kumuogopa. Kwa anayemfahamu who is he?
This maranja Tripple M emerged from Facebook, he has really exploded so quickly on his ascendance to digital social popularity.
 
Back
Top Bottom