Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 172
CHA KUCHEKESHA NI WHAT WILL LATER BE A TEST ON HIS FAITHFULNESS KWENYE MAMBO YA FAMILIA...INASEMEKANA KUWA BAADA YA MKEWE KUFA ALIMUOA MDOGO WAKE NA MAREHEMU MKEWE ..AMABAYE NDIYE MKE ALIYE NAYE SASA....KAMA KUNA MWANA JF ANAJUA ZAIDI KUHUSU HAYA NA AJE ILI TUWEKE RECORD YA HUYU JAMAA VIZURI.....
Washikaji Nataka Kujua Haswaaa Huyu Mizengo Kayanda Pinda Anatokea Kabila Gani Kwani Baadhi Ya Wanyamwezi Wa Mpanda Wanadai Kuwa Yeye Ni "mnyamwezi" Na Wengine Wanasema Kuwa Ni "mfipa" Sasa Nataka Kujua Katika Pita Pita Zenu Na Huu Upembuzi Yakini Kuwa Mizengo Kayanda Pinda Amehusuuu Kabila Lipi Japo Kuwa Asili Yetu Watanzania Hatupendi Kuuliza Kuwa Wewe/mimi Ni Kabila Gani Ila Naomba Nisaidiwe Kwa Hili.
Ahsanteeni
Mullah
Washikaji Nataka Kujua Haswaaa Huyu Mizengo Kayanda Pinda Anatokea Kabila Gani Kwani Baadhi Ya Wanyamwezi Wa Mpanda Wanadai Kuwa Yeye Ni "mnyamwezi" Na Wengine Wanasema Kuwa Ni "mfipa" Sasa Nataka Kujua Katika Pita Pita Zenu Na Huu Upembuzi Yakini Kuwa Mizengo Kayanda Pinda Amehusuuu Kabila Lipi Japo Kuwa Asili Yetu Watanzania Hatupendi Kuuliza Kuwa Wewe/mimi Ni Kabila Gani Ila Naomba Nisaidiwe Kwa Hili.
Ahsanteeni
Mullah
Washikaji Nataka Kujua Haswaaa Huyu Mizengo Kayanda Pinda Anatokea Kabila Gani Kwani Baadhi Ya Wanyamwezi Wa Mpanda Wanadai Kuwa Yeye Ni "mnyamwezi" Na Wengine Wanasema Kuwa Ni "mfipa" Sasa Nataka Kujua Katika Pita Pita Zenu Na Huu Upembuzi Yakini Kuwa Mizengo Kayanda Pinda Amehusuuu Kabila Lipi Japo Kuwa Asili Yetu Watanzania Hatupendi Kuuliza Kuwa Wewe/mimi Ni Kabila Gani Ila Naomba Nisaidiwe Kwa Hili.
Ahsanteen
Mullah
Washikaji Nataka Kujua Haswaaa Huyu Mizengo Kayanda Pinda Anatokea Kabila Gani Kwani Baadhi Ya Wanyamwezi Wa Mpanda Wanadai Kuwa Yeye Ni "mnyamwezi" Na Wengine Wanasema Kuwa Ni "mfipa" Sasa Nataka Kujua Katika Pita Pita Zenu Na Huu Upembuzi Yakini Kuwa Mizengo Kayanda Pinda Amehusuuu Kabila Lipi Japo Kuwa Asili Yetu Watanzania Hatupendi Kuuliza Kuwa Wewe/mimi Ni Kabila Gani Ila Naomba Nisaidiwe Kwa Hili.
Ahsanteeni
Mullah
Hii ya kuoa mdogo wa marehemu mke wake inatatizo gani kwa mtazamo wako? Inampuguziaje faithfulness kwenye mambo ya familia?
Wanabodi naona sasa tumekosa cha kuchambua hapa . Kila siku tunalalamika kuhsu mambo viongozi wanavyoisali nchi yetu , sasa leo tunamjadili huyu based kwenye vigezo vile vile vilivyowafanya wale wengine watumbukie kwenye ufisadi. Nadhani watu wengi humu wamekaa sana abroad to a point kwamba wanataka kutumia vigezo vya magharibi katika kumscrutinize huyu bwana.
Hivi kweli suala la suti aliovyaa lina nafasi kweli hapa ,trust me hiyo ndio kazi ya secret service utaona suti atakazovaa kuanzia leo na kuendelea. Pili suala la mke wake, jamani mwacheni huyu baba hakuna kosa lililofanyika hapo the matter of fact hizo ni mila za makabila kuoa ndugu za wafiwa wao.
Mtanzania wa kawaida aliyepo pale Nangurukuru angetucheka kama angepata kuona yale yanayosemwa kuhusu huyu waziri katika hii forum ! Swali ambalo angejiuliza majadiliano haya yatanisaidia vipi mimi katika kupata maji, huduma za afya, shule bora kwa watoto wake ....
Wanabodi naona sasa tumekosa cha kuchambua hapa . Kila siku tunalalamika kuhsu mambo viongozi wanavyoisali nchi yetu , sasa leo tunamjadili huyu based kwenye vigezo vile vile vilivyowafanya wale wengine watumbukie kwenye ufisadi. Nadhani watu wengi humu wamekaa sana abroad to a point kwamba wanataka kutumia vigezo vya magharibi katika kumscrutinize huyu bwana.
Hivi kweli suala la suti aliovyaa lina nafasi kweli hapa ,trust me hiyo ndio kazi ya secret service utaona suti atakazovaa kuanzia leo na kuendelea. Pili suala la mke wake, jamani mwacheni huyu baba hakuna kosa lililofanyika hapo the matter of fact hizo ni mila za makabila kuoa ndugu za wafiwa wao.
Mtanzania wa kawaida aliyepo pale Nangurukuru angetucheka kama angepata kuona yale yanayosemwa kuhusu huyu waziri katika hii forum ! Swali ambalo angejiuliza majadiliano haya yatanisaidia vipi mimi katika kupata maji, huduma za afya, shule bora kwa watoto wake ....
Sawa mkuu tuachane na Pinda kidogo hapa.
Umesema na kunitolea mfano.. sawa je, sii kweli watu wenye ukimwi wanaruhusiwa kuoana wao wenyewe hata ktk nchi hizo zilizoendelea ambazo mnajaribu kuchukua tamaduni zao?...ain't we making them a family?
Ikiwa Ukimwi upo ktk jamii yangu ningekuwa na uamuzi mimi peke yangu na sio wale wasiokuwemo, na labda ikawapo sheria ya sisi kutotoka nje ingewakinga wengine kutopata vile vile wale wa nje kuwa salama kwao kwa kutotoka nje.... Kifupi nisingeoa kabisa na salama kwangu na wale wa nje!...
Utamaduni huu wa kuoa mdogo wa mke wako ni utaratibu wa baadhi makabila na wana kila sababu hna haki kama kabila kuendeleza wanaoyaamini, sii jukumu letu sisi kuwa judge kwani hata sisi ktk makabila yetu tuna mabaya. Hakuna utamaduni iliokuwa civilized ktk sura pana isipokuwa tunapojaribu kuchanganya tamaduni za mzungu kuwa ndio civilization...
Sasa nambie kuna mapungufu gani ktk familia ya Pinda kutokana na yeye kumwoa mdogo wake mkewe, na kama hakuna baya lililokwisha tokea, tuna base mjadala huu ktk vitu gani haswa.. Mbona wapo watu Tanzania wameoa first cousin. Waislaam kuoa wake wanne haya yote ukiyatazama kwa mtazamo wako yanaweza kuwa na madhara...hivyo, Nyerere, Mkapa, JK na Mwinyi hawakufaa kuwa marais kwa sababu tunaweza pata mapungufu yao ktk ngono ambazo tunazipa Ustaarabu wa kuchonga.