Who is MIZENGO PINDA? (private & Public)

Kuondoa hiki kiwingu- basi PM apime ngoma na matokeo yawekwe wazi!

Tusije ingia gharama siku za karibuni as a country kutafuta tena PM mwingine... our country is so poor and we can can not afford!

Ashauriwe apime ngoma na majibu watu wajue ili kuondoa duku duku!
 
Hapo mkuu tupo wote mia kwa mia, mimi nina wasiwasi hiyo....
Naomba Mungu, hiyo sifa yake ya Usalama wa Taifa iwe uwezo wa ku deal na matatizo haya sio kumlinda rais na vigogo waliotumaliza..
 
Mzalendohalisi,
Waliisha pimwa labda unataka matokeo ya viongozi ama wananchi wote yaanikwe wazi!
 

Kwani kupima ngoma tatizo? Mbona JK kapima ngoma kaonekana fresh? Kwangu mimi hiyo haimaanishi kitu kwani sitegemei kusikia anything different.Kuna ma miss wa miaka ya 90's walimkataa JK kwa sababu ilijulikana muathirika siku nyingi tu.

Mtu wa kawaida tu akitaka cheti kinachomuonyesha negative anapata, itakuwa PM au Presidaa? Unafikiri nani atathubutu kusema PM tumempima tumemkuta ana ngoma, kwanza haya mambo yanalindwa na privacy laws na professional ethics kichizi, halafu bongo being bongo, are you really expecting transparency in this?
 
Pundit,
Pinda hakuwa PM alipopima kwa hiyo unachotaka nini haswa? Je, una hakika ana ngoma, twambie hizi habari za kuzunguka mbona unatuzengua!
 
Pundit,

..you are 100% correct. tunahitaji confirmation process ya watumishi wa ngazi za juu kama PM, AG, CJ, Dir wa Intelligence.

..kipindi cha confirmation kitumike kuuliza maswali magumu ili kuelewa kama wateule wana uwezo na upeo wa kutekeleza majukumu watakayopangiwa.

Nina maswali yafuatayo kwa Waziri Mkuu:-

1.Nini msimamo wake kuhusu siasa ya Ujamaa na Kujitegemea?

2.Nini msimamo wake kuhusu azimio la arusha na azimio la zanzibar?

3.Nini msimamo wake sera na zoezi la ubinafsishaji?

4.Waziri Mkuu ataboresha vipi sera ya uwekezaji na kodi katika madini?

5.Waziri Mkuu ana maoni gani kuhusu ilani ya CCM? Inatekelezeka? Kwa kiwango gani na sababu zipi.

6.Je waziri mkuu anapendekeza Tanzania ijiunge na OIC? kwasababu zipi?

7.Je waziri mkuu ana maoni gani kuhusu hoja ya mahakama ya kadhi?

8.Ataondoa vipi matatizo ya UDINI na UKABILA yanayoinyemelea jamii yetu?

9.Katika kipindi chake ataboresha vipi shule za sekondari za Kata. Naibu Waziri Mwananzila ametoa kauli kwamba zoezi hilo limeharakishwa.

10.ana mali kiasi gani na amezipata vipi. je, atakuwa tayari kuweka mishahara na mapato ya watumishi wa ngazi za juu ktk public record?

11.kuna mambo gani mazuri ambayo amejifunza ktk awamu ya Juliasi,Ruksa,na Mkapa ambayo atayaleta ktk awamu ya JK. kuna mambo gani mabaya ktk awamu zote hizo ambayo tunapaswa kuachana nayo?

12.Wizara ya TAMISEMI inaongoza kwa matumizi mabaya ya fedha za umma--they always get bad audit reports. Yeye alikuwa waziri ktk wizara hiyo. kwanini alishindwa kurekebisha kasoro hiyo? kwanini anadhani anastahili nafasi ya uwaziri mkuu.

..siyo wabunge tu waliotuangusha ktk zoezi hili. hata waandishi wa habari nao huuliza maswali ya kitoto na yanakera kwelikweli.
 

I totally agree with you, jamani it is unbelievable zaidi ya miaka 30 mtu ujabrush kichwa kidogo na hiyo ndo inapelekea watu kufanya kazi kulingana na mazoea, no update na unaweza kukuta hata kutekenya PC keyboard ni mashikolo mageni. I wonder na globalization ya sasa ambapo kiongozi unatakiwa kuwa informed and knowledgeable kwa vitu vingi sasa PM wetu kama atatoa decision nzuri. Any way let's wait and see.
 
Pundit,
Pinda hakuwa PM alipopima kwa hiyo unachotaka nini haswa? Je, una hakika ana ngoma, twambie hizi habari za kuzunguka mbona unatuzengua!

Mkandara,

Point yangu ni kuwa huwezi kupata objective results.I pray he is negative, but if he is positive, do you really expect whichever institution will conduct the exercise will be able to provide the results to the public with all the rivacy and ethical issues?

Not to mention PM ni Putin type?
 

Kumbuka wazazi wake toka Mpanda wamefika kwenye hiyo sherehe, sasa mke wake yuko nje ya nchi au.......
 

Kabila hatuna interest nalo kwani utendaji wa kazi hauusiani na kabila kabisa. Cha msingi ni future ya nchi kwani waziri mkuu akiwa na utendaji fake basi kila kitu kinakuwa fake, we dont hopeless PM ambaye hawezi kudeliver.
 
Jamaa alikuwa Usalama wa taifa na mpaka sasa ni afisa Mwandamizi tena Waziri mkuu .unatgememea angesoma saa ngapi?>kwani ukona alivyoongea jana.Yeyes siyo Mwanasiasa
 

Kwa hiyo wenye ngoma wasishike sehemu za uongozi? Kuna gharama gani katika kupata PM? Lowassa kaachia ngazi siku chache zilizopita na leo Pinda anapeta. Gharama gani uliyoingia? Masuala ya ngoma ni kati ya nafsi yake na waliomteua. Mimi nasubiri nimuone kazini. Awe kavaa singleti, awe na ngoma atapimwa na utendaji wake. Akibolonga avaliwe njuga lakini si kwa sababu hizi za kijinga, ngoma, suti, kingereza kibofu, hana Ph.D n.k. Tumpe nafasi amasivyo wote tutaonekana hatuna maana.
 
Mnamwona?



Saource: issamichuzi.blogspot.com
 
 
Kumbuka wazazi wake toka Mpanda wamefika kwenye hiyo sherehe, sasa mke wake yuko nje ya nchi au.......

Semanao,

Hakuna aibu kubwa kama kuwa na Waziri Mkuu asiye na Mke -unajua ataanza kuparamia wake za watu na waschana wa ajabu2!

Hata mimi najiuliza- je Mke wake leo alikuwepo wapi ktk tukio kubwa la kuapishwa kwake?

Waziri Mkuu kuwa na mke anayejulikana ni Muhimu ktk Mustakabali wa Taifa letu!
 

 
Kushoto ni Bi Tunu, Mke wa Waziri Mkuu, Mhe. Pinda
 
Kibunango,

Shukrani mzee!!

Nimekiona Kitu cha Pinda- kumbe anaitwa Tunu!

No further comments!

Thanks
 
Sasa redio mbao zinavyosema mambo ya migonjwa ya muda mrefu hapo soo.

Yafuatayo ni magonjwa yanayompata na kuugua kwa muda mrefu...

1. Kisukari
2. Saratani.
3. Ukimwi.
4. Ini
5. Kifafa
6. ....

So please let leave magazeti ya udaku ya judge lipi ni lipi... ukiniuliza mimi haya maneno yamewahi ku-be-proved wrong na watu wengi kwa wakati tofauti... vipimo vimewahi kuonyesha negative kwa wapenzi wawili...

Kwa hiyo jadili mengine... kama mmekosa nendeni Kiteto..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…