😆😆😆
Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Tatizo lenu hamkubali kuwa vichwa vyenu vimejaa uji uji!
Mugabe alikuwa anasemaga hivyo hivyo!
Lakini dunia hii ukifanya ujinga ujinga malipo ni hapa hapa!!
Inamaana Marekani inmuogopa Makonda? Yaani Secretary of the State wa Marekani ndio anatoa tamko la kumzuia Makonda, RC wa Dar es Salaam asiende Marekani? Yaani Secretary of the State anamuogopa RC Makonda? Je, angeambiwa atangaze kumzuia Jiwe? Si angeukimbia Usecretaty of the State? Ahahahahah! Nacheka kwa dharau!
Inamaana Marekani inmuogopa Makonda? Yaani Secretary of the State wa Marekani ndio anatoa tamko la kumzuia Makonda, RC wa Dar es Salaam asiende Marekani? Yaani Secretary of the State anamuogopa RC Makonda? Je, angeambiwa atangaze kumzuia Jiwe? Si angeukimbia Usecretaty of the State? Ahahahahah! Nacheka kwa dharau!
Ohooooo!!!Hao wakiondoka basi ujue wale wenye vitambi kwa nguvu ya ARV watapukutika sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Bogus.Inamaana Marekani inmuogopa Makonda? Yaani Secretary of the State wa Marekani ndio anatoa tamko la kumzuia Makonda, RC wa Dar es Salaam asiende Marekani? Yaani Secretary of the State anamuogopa RC Makonda? Je, angeambiwa atangaze kumzuia Jiwe? Si angeukimbia Usecretaty of the State? Ahahahahah! Nacheka kwa dharau!
".....The U.S. State Department said it was taking the action against Paul Makonda, administrative chief of the Tanzania capital, "due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the security of persons....."
Source
US sanctions Tanzanian official for targeting gays, others
The United States has sanctioned a Tanzanian official who sparked fear in the gay community by announcing plans to track and punish homosexuals in the East African nation. The U.S. statement Friday said Paul Christian Makonda, regional commissioner for Dar es Salaam, is accused of “targeting...www.sfchronicle.com
Ni zaidi ya akonda tafaki kw kinaKwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
NdugaiTaarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?
Mliwafukuza wakagoma kuondoka?Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Wala hujamtukana huyo ni Bwege hasaHuna akili wewe. Samahani kwa kukutukana.
Haina credibility ya kujibiwa.Hao wakiondoka basi ujue wale wenye vitambi kwa nguvu ya ARV watapukutika sana
Sent using Jamii Forums mobile app