Who is the best Asley Vs Rayvanny ?, song by song

Who is the best Asley Vs Rayvanny ?, song by song

Wote ni wakali ila ni Nani mkali zaidi hapa hapa kati ya Rayvanny na dogo Asley, hapa chini mlinganisho wa hits zao
Rayvanny
1. Kwetu
2. Natafuta kiki
3.Zezeta
4.Mbeleko
5.Chuma ulete
Asley
1. Naenda kusema kwa mama
2.Angekuona
3. Mhudumu
4.Beby basi
5.L I K I Z O

Hahahahahahaha japo kwa sasa hawa wasanii wanafanya vizuri kuliko Ali kiba na Diamond kwahiyo sikuona sababu ya kuwashindanisha na hao wazee wazamani ambao kwa sasa mziki wao unaendeshwa kwa kiki na promo kubwa, uwe daimond au ali kiba kwa sasa hawawafikii hawa serengeti
You can't compare two variables and use ' best' it's who is better than.....
 
Juzi nilifanya tour youtube ya kusikiliza nyimbo za dogo aslay. Binafsi niliujua mwimbo wa tete tu na mhudumu ila kwenda ku dig nikakuta kumbe aslay ana nyimbo zake nyingi ambazo kashatoa na kuna hadi zenye viewers wsioupunga 1m+ .Katika kusikiliza nyimbo neno baada ya neno nilitambua kuwa yule si dogo tena bali ni mtu mahiri katika utunzi wa mashairi na producer wa music wake yupo makini.

Kiukweli Rayvanny muziki wake ni unabebwa na label tu ya wasafi ila sijaona cha maana alichotoa zaidi ya nyimbo mbovu za mipasho!

Kura yangu ni kwa aslay, anatoa nyimbo kweli!
 
Back
Top Bottom