Lazima ufe joram
unamkumbuka UNONO wa kwenye ''Dae es salaam Usiku''!???...........utafikiri nimewahi kumuona picha niliochorewa!mwanamke mbaya kuiko neno lenyewe
watu wana vipaji hatari
Tutarudi na Roho Zetu? ndo mpango mzima...ni bonge la story idea!! Kwa hawa wa sasa, Hussein Tuwa ni habari nyingine...jamaa ni mkali katika plotting...hata story ideas zake si haba! Niliacha kumsoma Shigongo tangu alipotoa stori ya mtoto wa Kitanzania mwenye mtindio wa ubongo lakini ni genius hakuna tena duniani kiasi cha CIA kutuma timu kumteka...nikaona this's too much bhana...waliosoma story hii sijui wanaweza kunieleza hatima ya Mbongo yule mwenye mtindio wa ubongo lakini ni bonge la genius?unamkumbuka UNONO wa kwenye ''Dae es salaam Usiku''!???...........utafikiri nimewahi kumuona picha niliochorewa!mwanamke mbaya kuiko neno lenyewe
Musiba ni mkali wa lugha...uandishi isn't all about putting words in paper but tasteful your words are...kwa hili Musiba hana mpinzani!!! Jamaa ana maneno matamu yenye kumfanya msomaji apende kuendelea kusoma zaidi!W.E MUSIBA mbunifu wa kijana mahiri kwa upepelezi WILLY GAMBA kwangu mimi he is the best.