holygrail
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 1,303
- 597
hawa jamaa ni balaa sana. Wakati nakua nilikuwa napenda sana hadithi za shigongo.
Badae nikaja kuwajua waandishi wengi sana. Ila walionivutia zaidi ni hawa watatu,..tuwa,shigongo na mzee beka.
Wote ni watunzi mahiri sana ila binafsi namkubali sana tuwa. Wale wapenzi wa riwaya hebu tutiririke mnaowakubali kati ya hawa jamaa watatu.
Badae nikaja kuwajua waandishi wengi sana. Ila walionivutia zaidi ni hawa watatu,..tuwa,shigongo na mzee beka.
Wote ni watunzi mahiri sana ila binafsi namkubali sana tuwa. Wale wapenzi wa riwaya hebu tutiririke mnaowakubali kati ya hawa jamaa watatu.