Who is winning the battle between Israel and Hamas? Nilitegemea 6 day war or so ijirudie, why not this time?

Who is winning the battle between Israel and Hamas? Nilitegemea 6 day war or so ijirudie, why not this time?

Israel huwa anapigana vita vya muda mrefu sana. Kinachoshindikana kwa Israel kuifuta Hamas ni kelele za watu wa haki za binadamu na kutoka mataifa mbalimbali. Otherwise Hamas ingekuwa imesafishwa.
Safari hamas wamepigwa sana, hasa Israel walipoamua kuvamia Shifa hospital Jamaa wakaomba poo
 
Ni kelele za dunia na uwepo mwingi wa smartphones unasababisha israel ifanye ukatili wa kiasi isingekuwa hivo basi wangefanya yale zaidi ya adolf Hitler wangeua hadi kuku
Safi sana kwasababu hao kuku wa Gaza nao magaidi tuu
 
Who is winning the battle? Nilitegemea 6 day war or something near to that ijirudie, why not this time? Ina maana Israel nguvu zake kijeshi zinatelemka, and if so , IS IT WRIGHT ONE TO PREDICT THAT existence ya Israel is at stake! Maana waarabu wakipata upenyo, wanaifuta kwenye uso wa dunia! Msione wamenyamaza na unafiki, rohoni kuna uadui usiomithirika!

TIME WILL TELL
Wanadema wameiteka Gaza tayari na Hamas wamekimbia.

Sasa ni MAPIGANO gani wamesitisha?
 
Who is winning the battle? Nilitegemea 6 day war or something near to that ijirudie, why not this time? Ina maana Israel nguvu zake kijeshi zinatelemka, and if so , IS IT WRIGHT ONE TO PREDICT THAT existence ya Israel is at stake! Maana waarabu wakipata upenyo, wanaifuta kwenye uso wa dunia! Msione wamenyamaza na unafiki, rohoni kuna uadui usiomithirika!

TIME WILL TELL
mshindi ni yule alyeikalia jerusalem. haya mengine hatuyajui ila wewe unajifariji tuu. mshindi ni mwenye jiji la daudi au Jerusalem.
 
Mbona NETANYAHU waliweka wazi kabisa mwanzoni kwamba hii vita itachukua miezi 5 hadi 6.
 
Back
Top Bottom