stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Safari hamas wamepigwa sana, hasa Israel walipoamua kuvamia Shifa hospital Jamaa wakaomba pooIsrael huwa anapigana vita vya muda mrefu sana. Kinachoshindikana kwa Israel kuifuta Hamas ni kelele za watu wa haki za binadamu na kutoka mataifa mbalimbali. Otherwise Hamas ingekuwa imesafishwa.
Safi sana kwasababu hao kuku wa Gaza nao magaidi tuuNi kelele za dunia na uwepo mwingi wa smartphones unasababisha israel ifanye ukatili wa kiasi isingekuwa hivo basi wangefanya yale zaidi ya adolf Hitler wangeua hadi kuku
Wanadema wameiteka Gaza tayari na Hamas wamekimbia.Who is winning the battle? Nilitegemea 6 day war or something near to that ijirudie, why not this time? Ina maana Israel nguvu zake kijeshi zinatelemka, and if so , IS IT WRIGHT ONE TO PREDICT THAT existence ya Israel is at stake! Maana waarabu wakipata upenyo, wanaifuta kwenye uso wa dunia! Msione wamenyamaza na unafiki, rohoni kuna uadui usiomithirika!
TIME WILL TELL
mshindi ni yule alyeikalia jerusalem. haya mengine hatuyajui ila wewe unajifariji tuu. mshindi ni mwenye jiji la daudi au Jerusalem.Who is winning the battle? Nilitegemea 6 day war or something near to that ijirudie, why not this time? Ina maana Israel nguvu zake kijeshi zinatelemka, and if so , IS IT WRIGHT ONE TO PREDICT THAT existence ya Israel is at stake! Maana waarabu wakipata upenyo, wanaifuta kwenye uso wa dunia! Msione wamenyamaza na unafiki, rohoni kuna uadui usiomithirika!
TIME WILL TELL
SINA NINAKOKUSHABIKIA,mshindi ni yule alyeikalia jerusalem. haya mengine hatuyajui ila wewe unajifariji tuu. mshindi ni mwenye jiji la daudi au Jerusalem.