Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Aiseeee embu njoo piemu chap…Unaumiza huu moyo, unautesa unavyotaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee embu njoo piemu chap…Unaumiza huu moyo, unautesa unavyotaka
Ndio maana nakupenda, unaujali moyo wanguAiseeee embu njoo piemu chap…
Mambo besty[emoji12]
Usimwage mchele kwnye kuku wengi sasa jamanNdio maana nakupenda, unaujali moyo wangu
🤣🤣💃
Halafu wakishakrashiana wanarudi na kuanza kuchafuanaMelo sijui anajua kama humu kijijini kwake watu wana ma crush
Aiseee sijui itakuaje😆
cc: Paula Paul@binyi mmoja anapenda kusoma vitabu na upstairs anaonekana yupo vizuri ana mada yake ya usomaji vitabu.
@King'asti am
@skyeclatHabari wanaJamiiForum..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwalete mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kua mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..[emoji4]
NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them [emoji38]
Ndiooooooo!! [emoji8]Siri yangu