Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaahaaaUje dar
We danganywa tuuNoma sana mkuu, itabidi nitume maombi inbobo nijaribu bahati yangu
uziHabari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..😊
NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them 😆
Kwenye huu uzima naamini Joanah lazima atakuwa na ma- crushie wengi😂😂Habari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..😊
NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them 😆
Za kuambiwa?? Leo nipo hapa Kijenge, tuchekiane tafadhaliMimi ni mod… nitaku unban
Za kuambiwa zitekeleze… mambo yamebadilika.Za kuambiwa?? Leo nipo hapa Kijenge, tuchekiane tafadhali
Hapa Magogoni karibu na ChatoZa kuambiwa zitekeleze… mambo yamebadilika.
Kijenge ndio wapi tena 😂😂
🤣🤣😂 sawa bhangeshiiHapa Magogoni karibu na Chato
Joanah tatizo haonekani kule kwenye uzi pendwa, angetoa baadhi ya testimonies ingependeza sana
Kumbe wewe ndo manengelo🤷🏼♀️
Salama kabisa....mwambie basi shem nae aache kukaba mpaka penalty bwana, tunakumiss sana kule uwanja wa fisi🤣🤣🤣🤣Poa, habari ya wewe?
Si ndo maana nikauliza kwanzaNiliwahi kukwambia mimi ni huyo uliyemtaja?
Daaah kumbe file la pacha wake lipo, unaweza share link?Kuna yule joanah mwengine alimwaga story yake nayo ni hot balaaa
Hatari sana.Dah! Yule Dada Mkao wake kwenye Avatar,Tu mimi hoi...Kumbe ndio maana ya Crush! Kwa hiyo ndio nimemkosa?
Jinsi ulivyo andika comment yako ni kama unafahamu mimi ndiyeSi ndo maana nikauliza kwanza
Hahaha, niache kwanza we binti!!Jenga taswira wewe, vikipishana lia na moyo