Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 17,003
Nakufatilia kwa karibu sanaaa , mguu wako mguu wangu ππ¬πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakufatilia kwa karibu sanaaa , mguu wako mguu wangu ππ¬πππ
Ana kaupuuzi fulani huyu kali linuxπ¬πππ
Na wasiwasi ile ni id yakoπ€¨Nakufatilia kwa karibu sanaaa , mguu wako mguu wangu π
Jamaa nimemuuliza maswali comment za mwanzoni kanipotezea ππAna kaupuuzi fulani huyu kali linux
Daaah kaupuuzi gn tena jamanAna kaupuuzi fulani huyu kali linux
Sijakupotezea.Jamaa nimemuuliza maswali comment za mwanzoni kanipotezea ππ
Member gani huyo anayenihusisha?sawa inawezekana nikawa ndiye au siyeSijakupotezea.
Unajua leo ni mara ya tatu naona member wa humu anakuhusisha na manengelo ndo maana nikauliza ila ww umeichukulia personal sana
Bwana natania mie wala sijamkula...alinipiga kibomu cha vocha ya buku kumi nilitoka nduki....nilijua mbususu utaambia laki mbiliπ€£π€£π€£π€£Hahaa.. Sawa mzee baba
Tulia mrembo mie naburudisha balaza hapa, hela yenyewe ya kugegegda mrembo wa jf naitoa wapi?mzabzab me hata sura sikujui bora ujisemee tu ukweli maana uongo huo unaousema sio mzuri. Na ushahidi mbona hujaleta?
Bwana natania mie wala sijamkula...alinipiga kibomu cha vocha ya buku kumi nilitoka nduki....nilijua mbususu utaambia laki mbiliπ€£π€£π€£π€£
Tulia mrembo mie naburudisha balaza hapa, hela yenyewe ya kugegegda mrembo wa jf naitoa wapi?
Vocha ya buku kumi tuu kutuma mtihani
Bora useme maana sio kweliiTulia mrembo mie naburudisha balaza hapa, hela yenyewe ya kugegegda mrembo wa jf naitoa wapi?
Vocha ya buku kumi tuu kutuma mtihani
tamka kindikinya liborosia
Huyo huyo shemeji.... yani sitaki masihara na mtu, nawacheki tu kwenye selfika.... ntatumia mtu jini wanione mi mbaya π€¨Asakuta Same au?
nafatilia hapa nikiona umecrush nae nakuja pm na onyo kaliMimi simjui tutajie tusivuke mpaka
crush shkamoo βΊοΈHizi nyuzi za namna hii, halafu msimu wa baridi π€π€π€
Haya makopa yana maana gani mrembo wetu?ππ
kawaida, ila dry sana!! sema humu tunafanya siri nyingi sana, ningetamani siku moja nimwone.ase kwani hizo mada huwa anazichangiaje
Makopa, ishara ya upendo my dearHaya makopa yana maana gani mrembo wetu?
Halafu siku hizi umepoa sana.