Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

Ukifa ww mtoa mada sijui watasingizia nini..
#sijui
AMITABHA
 
They are valid speculations
What is your litmus test for validity?

Kobe is the hen that lays the golden eggs for his family, a loving father in the beginning of his second act, why would his wife want him dead?
 
Kiranga! Kiranga! Kiranga! How many times did I call u? 3.
Even u ??? even u ???

So u mean this does not make sense with u?
You have not answered my question.

Huyo mke wa Kobe kamuua mumewe na binti yao kwa kichaa gani?

What is her motive? Mama gani anamuua mumewe na binti yao hivyo, wakati vifo hivyo vitamletea matatizo makubwa yeye mwenyewe huyo mama?

Unaweza kuthibitisha madai yako?

Au unachafua watu kwa speculations tu?
 
Mlianza kumwandama mke wa Mengi jacline ikashindikana, sasa mmehamia kwa mke wa kobe, ina maana matajiri wote hawatakiwi kufa sio?
 
You have not answered my question.

Huyo mke wa Kobe kamuua mumewe na binti yao kwa kichaa gani?

What is her motive? Mama gani anamuua mumewe na binti yao hivyo, wakati vifo hivyo vitamletea matatizo makubwa yeye mwenyewe huyo mama?

Unaweza kuthibitisha madai yako?

Au unachafua watu kwa speculations tu?
Mke kumuua mume, or vice versa, ni jambo la kawaida. Kumuua mtoto sio jambo la kawaida but it is possible still.
Huwezi kujua labda mtota hakuwa katika safari ile, akaenda last minutes wakati mama hakuwa katika position ya kumzuia asiende.
Ila siungi mkono speculations hizi, ila tu nimetoa scenario ambayo inawezekana
 
You have not answered my question.

Huyo mke wa Kobe kamuua mumewe na binti yao kwa kichaa gani?

What is her motive? Mama gani anamuua mumewe na binti yao hivyo, wakati vifo hivyo vitamletea matatizo makubwa yeye mwenyewe huyo mama?

Unaweza kuthibitisha madai yako?

Au unachafua watu kwa speculations tu?

Do you really thinks that things cannot happen before they make sense with you first?
 
Mke kumuua mume, or vice versa, ni jambo la kawaida. Kumuua mtoto sio jambo la kawaida but it is possible still.
Huwezi kujua labda mtota hakuwa katika safari ile, akaenda last minutes wakati mama hakuwa katika position ya kumzuia asiende.
Ila siungi mkono speculations hizi, ila tu nimetoa scenario ambayo inawezekana
Very possible
 
Ili ku thibitisha conspiracy theory ya LIKUD, ipelekwe timu nzito ya CSI pale. Kina Laurence Fishburne, David Caruso, Gary Sinise, Ted Danson...!!!😁
 
Back
Top Bottom