Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

Wewe!!!! Wacha kukariri Wanawake wote wanapenda wanaume sababu ya Pesa tu
Wanawake wa kizungu huwa mara nyingi huwapenda watu weusi kwa ajili ya pesa zao tu sio kitu kingine, huyo ndugu yupo sahihi kwa asilimia kubwa.

Ipo hivi; Waafrika hupenda kuwa na wanawake wa kizungu na wanawake wa kizungu wanajua hilo, sasa inapotokea Mwanafrika hasa watu maarufu kama Kobe wanapopata ela basi hao kina dada wa kizungu huwa "wanajilengesha" kama unavyojua tofauti na watu mataifa mengine, wazungu hawana roho ya aibu na waafrika tunawapapatikia mademu wa kizungu na kusahau waafrika wenzetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo wangu uko wapi maana naona umeamua kutumia utashi wako kuzungumza hapa...

Helcopter zina rate ndogo ya ajali ukilinganisha na ndege kubwa. Kinachokufanya uzisikie ajali za helcopter na kwa sababu watumiaji wengi ni matajiri.

Soma hiyo pdf uone accidents rates baina ya fixed wings airplanes na hizo helcopters

Hao waliotoa hiyo PDF ni US Helcopter Safety Team.

Uwe unabisha vitu na evidenceView attachment 1336713

Sent using Jamii Forums mobile app
"In offshore helicopter operations in support of the oil and gas industry, the fatal accident rate is around one per 250,000 hours." Civil Aviation Authority, UK

"The FAA says the fatal accident rate across all aviation types in the US is 0.84 per 100,000 flight hours, less than the 1.02 it reports for helicopters." USA

"The fatal accident rate for helicopters in the U.S. was 0.82 per 100,000 flight hours in 2019, according to the U.S. Helicopter Safety Team, with 24 accidents claiming 55 lives. That compares to a rate of 1.029 accidents per 100,000 flight hours in 2018 in general aviation, the most recent year for which figures are available from the NTSB." Forbes walisema jana.
 
Kobe na huyo mkewe wanafahamiana miaka 20,kobe kaanza kua na huyo dem toka dem ana miaka 16..ni soulmate wake,hata alipokuja kua famous hakumwa Cha huyo dem na ndo alimuoa huyo huyo,wana watoto wa4,..tatzo waafrica njaa sana,taan nyiny mnawaza pesa tuu,wazungu wengne hawana hayo mambo mkuu
 
I smell a fish

To me the death of Kobe Bryant sound like it was premeditated.

Ndege haiwezi kulipuka yenyewe bila sababu hasa ikizingatiwa kuwa kabla ya kuruka ili fanyiwa thoroughly check up.

There was a foul play, something like Yale Yale ya Samora Machel.

Ukiona maji yapo ndani ya chupa ujue kuna MTU aliyaweka humo.

Mlipuko kwenye ndege maana yake kuna kitu kimesababisha mlipuko.

Hicho kitu kilicho sababisha mlipuko hakikujiweka chenyewe. Kiliwekwa na watu wenye malice aforethought.

# I suspect his white wife( widow) might have something to do with the plane crash.

# She probably knows what has killed her husband.

# His 500 million USDs networth might be the motive behind his murder.

Masikini Kobe, they warned him about his white wife but he wouldn't listen.

Probably she was the one behind Kobe's misunderstanding with his parents.

#Up to his death, Kobe was not talking to his parents for the reason that they sold his childhood photos to a magazine for millions of dollars without his consent.

# Guys don't forget what God told us in the book of Exodus " Honour ur parents so that ur days may be many on the earth'


I can't believe. My heart is broken. And my soul is troubled just like Jesus when he learnt about the death of his friend Lazarus.

Guys ndege binafsi is too risky. Remember How Jim Reeves Died in 1964.

I wish I was reading " Tupac is Dead".

Kobe is Gone.
The Great Rock has fallen.

May Almighty God rest his soul in Eternal Peace. Amen.

UPDATE:
# Some people get me wrong. When I opine that his wife might have an hand on his death simaanishi uchawi kwamba kamroga. Hell No!!! Nazungumzia conspiracy. Like she conspired with some evil people to plant an explosive or something in the plane just like they did with the late Samora Machel.


#. Baadhi ya watu Wana kuja na hoja kwamba the wife asingeweza kufanya mchezo mchafu Kwa sababu Kobe kafa na binti yao. Come on!!! Guys do u think MTU hawezi kumuua mtoto wake Kwa sababu ya pesa?

In addition to that she might have capitalised on this fact to work on her favour as an alibi and indeed it's a very strong Alibi.( Don't think she is dumb. She is smart and it was a very smart move. The scene have to be dressed to look like something else just like Joseph's brothers did to his robe after they sold him to captivity.

Anyways Kobe might had think the same and may be he might have used her as a shield just like Habyarimana did with Cyprian Ntaryamira in 1994. He sensed foul play and used Ntaryamira as a shield but it couldn't help him.

# Whoever say money cannot change a person's heart or cannot get a person to do anything has not got enough of it.

# If they give you ten million dollars 4 ur mother's head u might not think twice just like ur mother if she is " blessed" with the same opportunity. In practice pesa ndio mungu wa dunia hii. Drey aliwahi kuimba " If money is the root, I want the tree',

# Achana kabisa na kitu kinaitwa pesa.


# This is my opinion. It's not a fact
Mwandiko wako kama wa Mange vile
 
I smell a fish

To me the death of Kobe Bryant sound like it was premeditated.

Ndege haiwezi kulipuka yenyewe bila sababu hasa ikizingatiwa kuwa kabla ya kuruka ili fanyiwa thoroughly check up.

There was a foul play, something like Yale Yale ya Samora Machel.

Ukiona maji yapo ndani ya chupa ujue kuna MTU aliyaweka humo.

Mlipuko kwenye ndege maana yake kuna kitu kimesababisha mlipuko.

Hicho kitu kilicho sababisha mlipuko hakikujiweka chenyewe. Kiliwekwa na watu wenye malice aforethought.

# I suspect his white wife( widow) might have something to do with the plane crash.

# She probably knows what has killed her husband.

# His 500 million USDs networth might be the motive behind his murder.

Masikini Kobe, they warned him about his white wife but he wouldn't listen.

Probably she was the one behind Kobe's misunderstanding with his parents.

#Up to his death, Kobe was not talking to his parents for the reason that they sold his childhood photos to a magazine for millions of dollars without his consent.

# Guys don't forget what God told us in the book of Exodus " Honour ur parents so that ur days may be many on the earth'


I can't believe. My heart is broken. And my soul is troubled just like Jesus when he learnt about the death of his friend Lazarus.

Guys ndege binafsi is too risky. Remember How Jim Reeves Died in 1964.

I wish I was reading " Tupac is Dead".

Kobe is Gone.
The Great Rock has fallen.

May Almighty God rest his soul in Eternal Peace. Amen.

UPDATE:
# Some people get me wrong. When I opine that his wife might have an hand on his death simaanishi uchawi kwamba kamroga. Hell No!!! Nazungumzia conspiracy. Like she conspired with some evil people to plant an explosive or something in the plane just like they did with the late Samora Machel.


#. Baadhi ya watu Wana kuja na hoja kwamba the wife asingeweza kufanya mchezo mchafu Kwa sababu Kobe kafa na binti yao. Come on!!! Guys do u think MTU hawezi kumuua mtoto wake Kwa sababu ya pesa?

In addition to that she might have capitalised on this fact to work on her favour as an alibi and indeed it's a very strong Alibi.( Don't think she is dumb. She is smart and it was a very smart move. The scene have to be dressed to look like something else just like Joseph's brothers did to his robe after they sold him to captivity.

Anyways Kobe might had think the same and may be he might have used her as a shield just like Habyarimana did with Cyprian Ntaryamira in 1994. He sensed foul play and used Ntaryamira as a shield but it couldn't help him.

# Whoever say money cannot change a person's heart or cannot get a person to do anything has not got enough of it.

# If they give you ten million dollars 4 ur mother's head u might not think twice just like ur mother if she is " blessed" with the same opportunity. In practice pesa ndio mungu wa dunia hii. Drey aliwahi kuimba " If money is the root, I want the tree',

# Achana kabisa na kitu kinaitwa pesa.


# This is my opinion. It's not a fact
MWAFRIKA KATIKA UBORA WAKE! SIJUI TUMELOGWA NA NANI JAMANI HII NGOZI MBONA HATUNA AKILI.KWAIHYO KWA MAWAZO YAKO AJALI HUWA ZINATOKEA KWASABABU YA FOUL PLAY.You must be crazy or very superstitious!
 
Akifa tajiri utasikia maneno meengi utafikiri tajiri hatakiwi kufa,akifa masikini utasikia huyu naye mzembe si angetumia hiki au kile au si angefanya hivi au vile!Siku yako ya kifo ikifika there must be a reason for your death,ni lazima hicho kitu kitokee na kitaacha maswali yasio na majibu,iwe ni mlipuko,mlio,kitu kugonga,Bundi,ndoto,mabishano,kivuli n.k,hiyo ni lazima itokee ili ku justfy kifo chako.Hatujui siku wala saa kifo kitakapotujia,tujiandae kwa maombi,sala na toba ili kuandaa hatima zetu...
 
MWAFRIKA KATIKA UBORA WAKE! SIJUI TUMELOGWA NA NANI JAMANI HII NGOZI MBONA HATUNA AKILI.KWAIHYO KWA MAWAZO YAKO AJALI HUWA ZINATOKEA KWASABABU YA FOUL PLAY.You must be crazy or very superstitious!
Next time dont quote me in vain
 
Back
Top Bottom