Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

U got a very little and limited understanding about tabia za pesa. Money is selfish. U don't need to share it with any one.kama watu wawili mna co own Dola mil 500 , pesa itataka utafute means uwe the sole owner of that money.

Hivi mwanamke aliechuma mali na.mumewe halafu akamtanguliza mumewe huwa anamtanguliza Kwa sababu hawezi kuishi maisha mazuri mumewe akiwepo?

Hukusikiaga kuhusu attempt ya Mama Mengi Og mpaka Mzee akasusa ndoa?

Kwani hakuwa na uhakika wa yeye pamoja na watoto kuishi maisha mazuri?

Akili ya mwanamke unaijua vizuri kweli wewe ?

U got a very little understanding about women and what they are capable of doing in the name of money.

When it comes to money women are so selfish.

Mwanamke anaweza kuacha ndoa na watoto watatu wadogo akaenda kuolewa mtaa wa pili Kwa sababu ya pesa.

Acha kuwaza kitoto mkuu.
Mkuu don't just waste your precious time writing such imaginary theories about the things me and you know less about, infact not of our business. We're and we'll still remain one of his fans( and that is our business). In the meantime, let's mourn and send our condolences to his family, NBA family and others for such loss.
 
Ushawahi kuona wapi mchawi ana andika kiingereza?
[emoji3][emoji2][emoji1][emoji16][emoji38][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji24][emoji851][emoji74][emoji75][emoji81][emoji85][emoji86][emoji192]
[emoji205]

Jibu saaafi kabisa.. Jibu mujarab

Distributed Denial-of-Service
 
Mkuu don't just waste your precious time writing such imaginary theories about the things me and you know less about, infact not of our business. We're and we'll still remain one of his fans( and that is our business). In the meantime, let's mourn and send our condolences to his family, NBA family and others for such loss.
Hilo Malo neno
 
Wewe unadhani kama huyo mkewe ndiyo kahusika....anawezaje kupanga mauwaji ya binti yake kipenzi Gigi? Impossible!.

Msiba ulishatokea...tunyamaze tu.
 
Mnapenda kukuza vitu.. Kifo kikifika haijalishi utakufa vipi. Nature ndio inaamua mazingira ya kifo chako.
Plane crash inaweza kutokea kwa sababu nyingi sana. Acheni Conspiracy theories bongolanders, tafuteni maarifa na pesa

“Kifo kikifika haijalishi utakufa vipi”... Kwa kauli yako hata mtu akipigwa risasi akafa pale pale huyo kifo chake kinakuwa kimepangwa hivyo I stand to differ, kwa kauli kama hiyo hata crime investigation zisingekuwa zinafanyika. We all need to know that there is normal death (God panned death) na zingine ambazo zinatokana na hila za shetani kupitia watu wenye roho mbaya. Kwahiyo huyu jamaa aliyeweka huu uzi yawezekana yupo sahihi kuwa suspicious juu ya kifo kile.! Ni hayo tu


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Jamaa umeongea uongo wa viwango vya juu.
Helicopters zina moving parts nyingi kuliko ndege za kawaida.
Helicopters zinatembea height fupi kutoka kwenye ground hivo muda wa kufanya maamuzi kukitokea tatizo ni mdogo.
Haziko stable, ndege ya kawaida yenye engine mbili ikizima engine moja inaweza tua kwa kutumia ile moja iliyobaki, helicopter haiwezi maana tail rotor ikizima ujue ajari hiyo wakati main rotor ipo. Kama ina blade tatu au nne, moja ikiharibika tatizo kubwa la kuleta ajari.
Ukizima engine zote za ndege inaweza serereka angani kilometa kadhaa maana mabawa yake yanatoa force ya kuiweka angani, helicopter ikizima engine ni chini tu.
Ndege ikipata ajari inaweza dondokea tumbo "belly" helicopter inazunguka angani na lazima ianze kichwa juu miguu chini au idondokee upande.
Helicopter inaruka na kutua mara nyingi katika flight hours zake kuliko ndege. Hizi ndo moments ambazo zinaleta ajari mara nyingi zaidi hivo risk kwa copter ni kubwa.
Fanya ukaguzi, fuata sheria zote lakini rate ya ajari ni kubwa kwa helicopters.
Uongo wangu uko wapi maana naona umeamua kutumia utashi wako kuzungumza hapa...

Helcopter zina rate ndogo ya ajali ukilinganisha na ndege kubwa. Kinachokufanya uzisikie ajali za helcopter na kwa sababu watumiaji wengi ni matajiri.

Soma hiyo pdf uone accidents rates baina ya fixed wings airplanes na hizo helcopters

Hao waliotoa hiyo PDF ni US Helcopter Safety Team.

Uwe unabisha vitu na evidenceView attachment Facts4_Accident Rates.pdf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I smell a fish

To me the death of Kobe Bryant sound like it was premeditated.

Ndege haiwezi kulipuka yenyewe bila sababu hasa ikizingatiwa kuwa kabla ya kuruka ili fanyiwa thoroughly check up.

There was a foul play, something like Yale Yale ya Samora Machel.

Ukiona maji yapo ndani ya chupa ujue kuna MTU aliyaweka humo.

Mlipuko kwenye ndege maana yake kuna kitu kimesababisha mlipuko.

Hicho kitu kilicho sababisha mlipuko hakikujiweka chenyewe. Kiliwekwa na watu wenye malice aforethought.

# I suspect his white wife( widow) might have something to do with the plane crash.

# She probably knows what has killed her husband.

# His 500 million USDs networth might be the motive behind his murder.

Masikini Kobe, they warned him about his white wife but he wouldn't listen.

Probably she was the one behind Kobe's misunderstanding with his parents.

#Up to his death, Kobe was not talking to his parents for the reason that they sold his childhood photos to a magazine for millions of dollars without his consent.

# Guys don't forget what God told us in the book of Exodus " Honour ur parents so that ur days may be many on the earth'


I can't believe. My heart is broken. And my soul is troubled just like Jesus when he learnt about the death of his friend Lazarus.

Guys ndege binafsi is too risky. Remember How Jim Reeves Died in 1964.

I wish I was reading " Tupac is Dead".

Kobe is Gone.
The Great Rock has fallen.

May Almighty God rest his soul in Eternal Peace. Amen.

UPDATE:
# Some people get me wrong. When I opine that his wife might have an hand on his death simaanishi uchawi kwamba kamroga. Hell No!!! Nazungumzia conspiracy. Like she conspired with some evil people to plant an explosive or something in the plane just like they did with the late Samora Machel.


#. Baadhi ya watu Wana kuja na hoja kwamba the wife asingeweza kufanya mchezo mchafu Kwa sababu Kobe kafa na binti yao. Come on!!! Guys do u think MTU hawezi kumuua mtoto wake Kwa sababu ya pesa?

In addition to that she might have capitalised on this fact to work on her favour as an alibi and indeed it's a very strong Alibi.( Don't think she is dumb. She is smart and it was a very smart move. The scene have to be dressed to look like something else just like Joseph's brothers did to his robe after they sold him to captivity.

Anyways Kobe might had think the same and may be he might have used her as a shield just like Habyarimana did with Cyprian Ntaryamira in 1994. He sensed foul play and used Ntaryamira as a shield but it couldn't help him.

# Whoever say money cannot change a person's heart or cannot get a person to do anything has not got enough of it.

# If they give you ten million dollars 4 ur mother's head u might not think twice just like ur mother if she is " blessed" with the same opportunity. In practice pesa ndio mungu wa dunia hii. Drey aliwahi kuimba " If money is the root, I want the tree',

# Achana kabisa na kitu kinaitwa pesa.


# This is my opinion. It's not a fact
Wabongo bwana. Akili zetu zimejaa mavi matupu.
 
Mimi nimezungumza fixed wing aiplanes kuwa na ajali nyingi kuliko helcopters wewe umekuja na helcopters kuwa risk.
Jamaa umeongea uongo wa viwango vya juu.
Helicopters zina moving parts nyingi kuliko ndege za kawaida.
Helicopters zinatembea height fupi kutoka kwenye ground hivo muda wa kufanya maamuzi kukitokea tatizo ni mdogo.
Haziko stable, ndege ya kawaida yenye engine mbili ikizima engine moja inaweza tua kwa kutumia ile moja iliyobaki, helicopter haiwezi maana tail rotor ikizima ujue ajari hiyo wakati main rotor ipo. Kama ina blade tatu au nne, moja ikiharibika tatizo kubwa la kuleta ajari.
Ukizima engine zote za ndege inaweza serereka angani kilometa kadhaa maana mabawa yake yanatoa force ya kuiweka angani, helicopter ikizima engine ni chini tu.
Ndege ikipata ajari inaweza dondokea tumbo "belly" helicopter inazunguka angani na lazima ianze kichwa juu miguu chini au idondokee upande.
Helicopter inaruka na kutua mara nyingi katika flight hours zake kuliko ndege. Hizi ndo moments ambazo zinaleta ajari mara nyingi zaidi hivo risk kwa copter ni kubwa.
Fanya ukaguzi, fuata sheria zote lakini rate ya ajari ni kubwa kwa helicopters.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Conspiracy theorists watasema Kobe bryant alikuwa Freemason na akakosea masharti, ndo maana kauliwa
 
Mnapenda kukuza vitu.. Kifo kikifika haijalishi utakufa vipi. Nature ndio inaamua mazingira ya kifo chako.
Plane crash inaweza kutokea kwa sababu nyingi sana. Acheni Conspiracy theories bongolanders, tafuteni maarifa na pesa
Wapumbavu sana hawa. Kazi yao kuleta uswahili kwenye kila jambo. Halafu eti moja kwa moja anamuhusisha ex wife yani uswahili uswahili.....ujinga ujinga tu
 
Relax Jamaa . Don't take it serious. We are not talking about ur mother here
Wapumbavu sana hawa. Kazi yao kuleta uswahili kwenye kila jambo. Halafu eti moja kwa moja anamuhusisha ex wife yani uswahili uswahili.....ujinga ujinga tu
 
I smell a fish

To me the death of Kobe Bryant sound like it was premeditated.

Ndege haiwezi kulipuka yenyewe bila sababu hasa ikizingatiwa kuwa kabla ya kuruka ili fanyiwa thoroughly check up.

There was a foul play, something like Yale Yale ya Samora Machel.

Ukiona maji yapo ndani ya chupa ujue kuna MTU aliyaweka humo.

Mlipuko kwenye ndege maana yake kuna kitu kimesababisha mlipuko.

Hicho kitu kilicho sababisha mlipuko hakikujiweka chenyewe. Kiliwekwa na watu wenye malice aforethought.

# I suspect his white wife( widow) might have something to do with the plane crash.

# She probably knows what has killed her husband.

# His 500 million USDs networth might be the motive behind his murder.

Masikini Kobe, they warned him about his white wife but he wouldn't listen.

Probably she was the one behind Kobe's misunderstanding with his parents.

#Up to his death, Kobe was not talking to his parents for the reason that they sold his childhood photos to a magazine for millions of dollars without his consent.

# Guys don't forget what God told us in the book of Exodus " Honour ur parents so that ur days may be many on the earth'


I can't believe. My heart is broken. And my soul is troubled just like Jesus when he learnt about the death of his friend Lazarus.

Guys ndege binafsi is too risky. Remember How Jim Reeves Died in 1964.

I wish I was reading " Tupac is Dead".

Kobe is Gone.
The Great Rock has fallen.

May Almighty God rest his soul in Eternal Peace. Amen.

UPDATE:
# Some people get me wrong. When I opine that his wife might have an hand on his death simaanishi uchawi kwamba kamroga. Hell No!!! Nazungumzia conspiracy. Like she conspired with some evil people to plant an explosive or something in the plane just like they did with the late Samora Machel.


#. Baadhi ya watu Wana kuja na hoja kwamba the wife asingeweza kufanya mchezo mchafu Kwa sababu Kobe kafa na binti yao. Come on!!! Guys do u think MTU hawezi kumuua mtoto wake Kwa sababu ya pesa?

In addition to that she might have capitalised on this fact to work on her favour as an alibi and indeed it's a very strong Alibi.( Don't think she is dumb. She is smart and it was a very smart move. The scene have to be dressed to look like something else just like Joseph's brothers did to his robe after they sold him to captivity.

Anyways Kobe might had think the same and may be he might have used her as a shield just like Habyarimana did with Cyprian Ntaryamira in 1994. He sensed foul play and used Ntaryamira as a shield but it couldn't help him.

# Whoever say money cannot change a person's heart or cannot get a person to do anything has not got enough of it.

# If they give you ten million dollars 4 ur mother's head u might not think twice just like ur mother if she is " blessed" with the same opportunity. In practice pesa ndio mungu wa dunia hii. Drey aliwahi kuimba " If money is the root, I want the tree',

# Achana kabisa na kitu kinaitwa pesa.


# This is my opinion. It's not a fact
Mbona hata Filikunjombe alifariki kwenye Chopa?.
Time will tell
 
Back
Top Bottom