Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

Don't be selfish
Due to the foggy conditions, the Los Angeles Police Department grounded its helicopters Sunday morning, a spokesman told CNN. Police spokesman Josh Rubenstein said the weather conditions did not meet the minimum standards for flying.
 
Siyo kweli. Statistics zinasema ndege za kawaida zinapata ajali nyingi kuliko hata hizo helcopters.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa umeongea uongo wa viwango vya juu.
Helicopters zina moving parts nyingi kuliko ndege za kawaida.
Helicopters zinatembea height fupi kutoka kwenye ground hivo muda wa kufanya maamuzi kukitokea tatizo ni mdogo.
Haziko stable, ndege ya kawaida yenye engine mbili ikizima engine moja inaweza tua kwa kutumia ile moja iliyobaki, helicopter haiwezi maana tail rotor ikizima ujue ajari hiyo wakati main rotor ipo. Kama ina blade tatu au nne, moja ikiharibika tatizo kubwa la kuleta ajari.
Ukizima engine zote za ndege inaweza serereka angani kilometa kadhaa maana mabawa yake yanatoa force ya kuiweka angani, helicopter ikizima engine ni chini tu.
Ndege ikipata ajari inaweza dondokea tumbo "belly" helicopter inazunguka angani na lazima ianze kichwa juu miguu chini au idondokee upande.
Helicopter inaruka na kutua mara nyingi katika flight hours zake kuliko ndege. Hizi ndo moments ambazo zinaleta ajari mara nyingi zaidi hivo risk kwa copter ni kubwa.
Fanya ukaguzi, fuata sheria zote lakini rate ya ajari ni kubwa kwa helicopters.
 
Mbona Vannesa siyo mzungu au ni mspaniola
 
You're smarter than that. Mali alizozichuma were sufficient enough for his and his daughters' generation to live Royal lives. Directing your mind into such class of thoughts, creates doubts about your beliefs and reasoning.
U got a very little and limited understanding about tabia za pesa. Money is selfish. U don't need to share it with any one.kama watu wawili mna co own Dola mil 500 , pesa itataka utafute means uwe the sole owner of that money.

Hivi mwanamke aliechuma mali na.mumewe halafu akamtanguliza mumewe huwa anamtanguliza Kwa sababu hawezi kuishi maisha mazuri mumewe akiwepo?

Hukusikiaga kuhusu attempt ya Mama Mengi Og mpaka Mzee akasusa ndoa?

Kwani hakuwa na uhakika wa yeye pamoja na watoto kuishi maisha mazuri?

Akili ya mwanamke unaijua vizuri kweli wewe ?

U got a very little understanding about women and what they are capable of doing in the name of money.

When it comes to money women are so selfish.

Mwanamke anaweza kuacha ndoa na watoto watatu wadogo akaenda kuolewa mtaa wa pili Kwa sababu ya pesa.

Acha kuwaza kitoto mkuu.
 
Wewe ndo ulikuwa unasema unataka kazi usalama wa Taifa?
Unahitaji upewe miaka mingapi kuandika nilicho andika?
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, nazo zimejaa taabu...
IMG-20200127-WA0004.jpeg
IMG-20200127-WA0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Last seconds of the legend Ndege ilipoteza mwelekeo ikawa kama kuna kitu kinaizungusha hewani View attachment 1336539

Jr[emoji769]
Yaani nawewe unaleta video isiyo yenyewe hapa. Ile moment ya crash hakuna aliyerekodi hata polisi wenyewe walianza kutafuta eneo la tukio. Mzee aliyepiga simu alikuwa kanisani na kusikia sauti ya hovering then kishindo.
 
Kobe was not talking to his parents. Wikipedia hata wewe unaweza ku edit uka andika unacho taka.

# mine was an opinion. Not a fact. If u like take it. If u like don't take it.

Is this English?

# mine was an opinion. Not a fact. If u like take it. If u like don't take it.
 
Ndio video inayotrend sasa kama sio sina hakika....
Yaani nawewe unaleta video isiyo yenyewe hapa. Ile moment ya crash hakuna aliyerekodi hata polisi wenyewe walianza kutafuta eneo la tukio. Mzee aliyepiga simu alikuwa kanisani na kusikia sauti ya hovering then kishindo.

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom