Tetesi: Who killed Kobe Bryant?

Ukifa ww mtoa mada sijui watasingizia nini..
#sijui
AMITABHA
 
Thank you, all that other jibber jabber and abracadabra pitter patter needs to be put in the context of speculation.
They are valid speculations
 
They are valid speculations
What is your litmus test for validity?

Kobe is the hen that lays the golden eggs for his family, a loving father in the beginning of his second act, why would his wife want him dead?
 
Why do you think a wife killing her doting, money making, famous husband that she just had a fourth baby with is common sense?
Kiranga! Kiranga! Kiranga! How many times did I call u? 3.
Even u ??? even u ???

So u mean this does not make sense with u?
 
Kiranga! Kiranga! Kiranga! How many times did I call u? 3.
Even u ??? even u ???

So u mean this does not make sense with u?
You have not answered my question.

Huyo mke wa Kobe kamuua mumewe na binti yao kwa kichaa gani?

What is her motive? Mama gani anamuua mumewe na binti yao hivyo, wakati vifo hivyo vitamletea matatizo makubwa yeye mwenyewe huyo mama?

Unaweza kuthibitisha madai yako?

Au unachafua watu kwa speculations tu?
 
Mlianza kumwandama mke wa Mengi jacline ikashindikana, sasa mmehamia kwa mke wa kobe, ina maana matajiri wote hawatakiwi kufa sio?
 
Mke kumuua mume, or vice versa, ni jambo la kawaida. Kumuua mtoto sio jambo la kawaida but it is possible still.
Huwezi kujua labda mtota hakuwa katika safari ile, akaenda last minutes wakati mama hakuwa katika position ya kumzuia asiende.
Ila siungi mkono speculations hizi, ila tu nimetoa scenario ambayo inawezekana
 

Do you really thinks that things cannot happen before they make sense with you first?
 
Very possible
 
Ili ku thibitisha conspiracy theory ya LIKUD, ipelekwe timu nzito ya CSI pale. Kina Laurence Fishburne, David Caruso, Gary Sinise, Ted Danson...!!!😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…