WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

Yah tutapona coz corona ina mwezi na haijaleta lolote la kutisha. Kwa takwimu ni 0.000004 ya watanzania wameathirika. Huoni hii corona haina la maana?

Senti bai yuzingi tecno T301
Mkuu ili uone corona ni hatari inabidi kwanza uone ratio ya watanzania wanaokufa ikiwa kubwa si ndo hivyo?by the way huo mchumi na mapato mnayoyasema ni kwa ajiri ya nani hasa? Je ni kwa ajiri ya hawa 0.00004 wanaokufa au ni kwa ajiri ya mishahara na marupurupu yenu tu?
 

Is this a joke?
 
Thank you for this.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchumi unaongelea namba. Hiyo namba inatosha kufunga watu ndani?Shida mmejazwa sana hofu.

Senti bai yuzingi tecno T301
 

Wewe umeamini ni kweli kuwa ni wa kutoka tanzania? Kama uganda imedanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…