WHO na kesi dhidi ya mila za Rwanda za kuongeza Kisimi

WHO na kesi dhidi ya mila za Rwanda za kuongeza Kisimi

Waende huko thailand kabila la "KAYAN" au "PANDAUNG" wanawake wana utamaduni wa kurefusha shingo kwa kuvaa mabangili shingoni tokea wakiwa wadogo kitu kinachosababisha misuli ya shingo kulegea na hivyo kuwafanya wawe tegemezi wa hayo mabangili watu shingo zinakuwa ndefu yaani ukimuangalia mtu ni kama twiga yani. hili naona kiafya ni baya na linatakiwa kupigwa marufuku .
Ila wao wameona hilo la kuongeza kisimi? Hebu waacha ujinga wao ,nina mpango niki hit 25 niende nikachague mlimbwende mwenye kisimi inchi 5 na mimi ni enjoy mema ya nchi sasa wanataka nivurugia mipango.

《Caprichar o teu sorriso》
 
Waendelee tu na hio mila na tamaduni yao, maana mpaka muda huu hakuna mwanamke yoyote alielalamika kupata madhara kutokana na hilo zoezi la vuta nkuvute.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vuta nikuvute

《Caprichar o teu sorriso》
 
wilson kaiser senior,
labia minora au labia majora sio kisimi. wanyarwanda, waganda, baadhi ya wahaya etc huvuta mashavu ya nje na sio kisimi. kama sikosei hata wakerewe. ni nzuri kwa katerero, ila yakiwa yananing'inia yanaweza kusababisha disconfort kwa mdada anayefanya mazoezi au kutembea sana kwasababu atakuwa anayabana na kuyachubua. but kwenye sex mimi hupenda mwanamke mwenye mashavu marefu. hata kuyashika tu inafurahisha.
 
labia minora au labia majora sio kisimi. wanyarwanda, waganda, baadhi ya wahaya etc huvuta mashavu ya nje na sio kisimi. kama sikosei hata wakerewe. ni nzuri kwa katerero, ila yakiwa yananing'inia yanaweza kusababisha disconfort kwa mdada anayefanya mazoezi au kutembea sana kwasababu atakuwa anayabana na kuyachubua. but kwenye sex mimi hupenda mwanamke mwenye mashavu marefu. hata kuyashika tu inafurahisha.
hapo nmekupata mkuu
 
yaani nimeiona kichwa cha habari mpaka utumbo umeniruka!!
 
wilson kaiser senior Wewe na hao WHO mnaona wivu tu. Nitokako mimi hapa Tanzania hii kitu inafanyika sana kwa kutumia majani ya mti aina ya LISAMWA aka Sausage Tree na sijawahi kusikia au kuona madhara yoyote Mika nenda miaka rudi!
 
Back
Top Bottom