Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
Maigizo ya corona yanaendelea....
Tuko Episode ya ngapi vile???
Tuko Episode ya ngapi vile???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye MADINI.DRC???!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tayarisha na KALIO ili waligonge vizuri.Nimeshalitayarisha BEGA LANGU kupata hizo CHANJO MBILI.....
Hilo dubwana wanalibadili badili majina tu ndio hiyohiyo uviko kovidi, Corona,nkNi Delta sio Corona tena?
Akili kumkichwa ukilemaa umeachwa ferrySasa wamewatengenezea chenu special. Za mwanzo mlichomoka sasa wanatimiza lengo lao.
Maelezo yote yaelekezwa african, ili mnunue chanjo.View attachment 1837855Wimbi la tatu la janga la COVID-19 kwa kirusi cha Delta linasambaa kwa kasi barani Afrika na mpaka sasa nchi 16 za bara hilo zimebainika kukumbwa na kirusi hicho.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya duniani (WHO), kirusi hicho kinasambaa kwa kasi zaidi barani Afrika kuliko wakati wowote ukilinganisha na idadi ya wagonjwa waliobainika juma lililopita.
Mkurugezi wa WHO kanda ya Afrika, Dokta Matshidiso Moeti amesema, kuongezeka kwa kasi ya kusambaa kwa kirusi hicho kwenye wimbi la tatu la janga la COVID- 19 ni tishio kwa bara Afrika.
Visa vya wagojwa waliobainika kuwa na virusi vya Delta vimeogezeka zaidi karibu katika wiki sita mfululizo.
Kwa mujibu wa takwimu mpya, wimbi hilo la Delta limebainika kwa asilimia 97% na 79% katika nchi ya Jamhuri ya Demokrasi ya Congo.
Wakati visa vya Delta vikiendelea kuongezeka na watu kulazwa, WHO inakadiria kwamba mahitaji ya oksijen barani Afrika sasa ni asilimia 50% zaidi kuliko ilivyokuwa waka jana lilipoibuka wimbi la kwanza.
Imeandikwa.Tukisimama na Mungu tena tutashinda.
Ni jukumu letu sote kila mmoja kwa imani yake tumwombe Mungu atuepushe na janga hili.