#COVID19 WHO: Nchi 16 Afrika zimekumbwa na kirusi kipya cha Delta

Maelezo yote yaelekezwa african, ili mnunue chanjo.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Wanataka kuwaondoa wakongo wengi iwezekanavyo ili wachukue Mali ya kutosha bila kelele zozote
 
Tukisimama na Mungu tena tutashinda.

Ni jukumu letu sote kila mmoja kwa imani yake tumwombe Mungu atuepushe na janga hili.
Imeandikwa.
Kizazi hiki kinataka muujiza, nawaambieni hakika hamtapata muujiza tena zaidi ya ule wa Yona alivyomezwa na samaki"
,, Basi yule mtu akasema ,, Bwana wangu akitoka mtu huku akaenda kuwaonya ndugu zangu, basi wataacha uovu wao na kukwepa adhabu hii ninayoipata" jibu- ,,wanao Musa na manabii wawaamini wao"

Mungu amekupa akili ili kwenye jambo la akili yakupasa utumie akili yako. Sayansi uliyonayo unayotumia kutengeneza hizi dawa ni Mungu amekupa. Jichunguzeni binadamu ikiwa mnahitaji miujiza bila kuwajibika"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…