WHO wailaumu Tanzania kwa kuficha uchunguzi wa muathrika aliyeshukiwa kuugua Ebola - Reuters

Nani kakwambia hatuwezi kujitibu, dawa za mitishamba kibao zimetuzunguka, kwani mkuu, wewe shida yako haswa ni nini.
 
Wakenya kwa kuabudu wazungu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nani kakwambia hatuwezi kujitibu, dawa za mitishamba kibao zimetuzunguka, kwani mkuu, wewe shida yako haswa ni nini.
 
Nani kakwambia hatuwezi kujitibu, dawa za mitishamba kibao zimetuzunguka, kwani mkuu, wewe shida yako haswa ni nini.

Hehehe! Umenikumbusha Wanijeria walivyokumbwa na Ebola, wakawa na jeuri kama hizi zenu, waganga wakaweka mabango kwamba wanatibu huo ugonjwa, watu wakatiririka kuwafuata, aisei walifyekwa wote hadi na hao waganga. Ebola ni moto.
Ndio yale yale yenu ya kikombe cha babu, mliwaua watu wengi sana maana serikali iliidhinisha na kusema kweli kinatibu, watu wakaamini maana serikali huendeshwa kisayansi.
 
Na kwa taarifa yako hao WHO wako wameshasalimu amri..this is Tanzania..
 
Bongo mizizi kibao tu na wataalam wa jadi wapo kila kona,tena babu wa kikombe amerejea😂😂😂😂
 
Kuna ukweli umeongea hapa,.Tusiombee hilo balaa.Kula laiki yangu.
 
Serikali haikusema chochote, serikali yetu ni secular, zaidi sana waliwajengea lami na airport ya customers from kenya ili wajinga wakaliwe.
Babu wa watu kishatoka kimaisha sasa hivi na kuna lami inafika hadi kijijini kwake, win win situation.
Back to the topic, dawa za mitishamba ni og kuliko hizo artificial laboratory pharmaceutical.
 

Nchi ya washirikina kama nyie muombe sana kitu kama Ebola kisiibuke huko maana mtatuangamiza sote kwa kujaribu ule ujinga wa mababu zenu majimaji rebellion.
Kikombe cha babu kilinyweo na serikali yote kuanzia ikulu hadi kajamba wa mtaani, mnaishi ovyo sana hamna wataalam wa kutolea tamko wakati mnafanya vitu vya ajabu ajabu.
Ndio maana unakuta nchi yenu pekee dunia yote ndiko albino wanachinjwa na kuliwa.

 
Jana niliona kwenye BBC swahili, nilifadhaika. WHO wanasema Tz inakwamisha mapambano dhidi ya Ebola kwa kuficha taarifa za mgonjwa aliyefariki kwa Ebola. Walienda mbele zaidi na kusema, vipimo vilionyesha mgonjwa huyo alikuwa na Ebola.
 
Jana niliona kwenye BBC swahili, nilifadhaika. WHO wanasema Tz inakwamisha mapambano dhidi ya Ebola kwa kuficha taarifa za mgonjwa aliyefariki kwa Ebola. Walienda mbele zaidi na kusema, vipimo vilionyesha mgonjwa huyo alikuwa na Ebola.

Sio poa hizi habari kuendelea kutangazwa hivi, muhimu sana WHO wakashirikishwa kikamilifu ili waondoe huu wasiwasi, mfahamu kuna maingilian makubwa baina ya hizi nchi zetu na sote tunaweza tukaangamia.
 
waswahili mnaficha ugonjwa jaman! uharo wa ebola na hilo joto la dar sipati picha!
 
Nao hao babu zetu kwanini walikubali kupumbazwa?
 
waswahili mnaficha ugonjwa jaman! uharo wa ebola na hilo joto la dar sipati picha!

WHO wamesema tangu mwanzo kwamba sio wao wanasema Tanzania kuna Ebola, kile wamekua wakiomba ni ushirikiano, waruhusiwe wakague wenyewe kama tetesi zilizopo zina ukweli wowote. Hili limewashinda Watanzania kuelewa, wanafyatuka sana na kulaumu mabeberu, hawana habari kitu kama Ebola kikilipuka watawalilia hao hao mabeberu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…