Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya Kabendera kudakwa sasa husikii chokochoko za 'the Economist" wameamua kuja na staili mpya ya' the Ebola'....
Waandishi wa habari fake na corrupt hawaiiishi kwa sababu ya njaa...
MK254 keep peddling along...
Tanzania niwatu wa ajabu sana sasa inshu nyet kama Ebora wanaficha ili iweje, wakat kikinuka ndo haohao mabeberu wataenda kuwalilia.mficha maradhi kifo humuumbua,,,,
Unajua siwaelewi nyie watu, hivi kuna kitu kipya ambacho WHO wamekisema hapo kwenye hiyo video tofauti na walivyokua wanasema tangu mwanzo.
WHO wamerudia mara kadhaa sana na wanasisitiza kwamba sio wao wamesema Tanzania kuna Ebola, walichokiomba ni kuruhusiwa kupata access na taarifa kuhusu mgonjwa aliyeshukiwa kuugua Ebola. Mumejitoa ufahamu na kufyatuka kwa kutaja taja mabeberu.
Kitu kama Ebola lazima kizikwe kabisa maana ukanda wote tunakua hatarini.
WHO gani unayosema were wakati country representative wao pale Bongo amekataa hilo taarifa, stop peddling lies and fake news...
Ebola hua haifichiki...
WHO gani unayosema were wakati country representative wao pale Bongo amekataa hilo taarifa, stop peddling lies and fake news...
Ebola hua haifichiki...
SIKU UKIWA MKUBWA UTAELEWA VIZURI DUNIA HII BRO[emoji1241][emoji1139][emoji1666][emoji106][emoji173]Sasa kama mnajua haupo mbona mnagoma kuwaachia wakague wao, mumetia saini mikataba ya uwazi likija kwenye suala la magonjwa kama haya, watapiga sana haya makelele na mtashangaa kwa Watanzania wanaosafiri kwenda nje ya nchi yaani mnapokelewa na kupitishwa kwenye ukaguzi wa hali ya juu.
Yaani ile unasema umetokea Tanzania jamaa wanachakarika balaa.