JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Inaelezwa kuwa mbili ya tatu ya watu waliopo Afrika wameambukizwa Ugonjwa wa Uviko-19 ndani ya miaka miwili, ikiwa ni mara 97 ya takwimu zilizoripotiwa na mamlaka husika. Takwimu hizo ni kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO).
Taarifa hiyo iliyotoka wiki hii inaonyesha kuwa maambukizi yaliyoandikishwa ni watu milioni 11.5 na watu 252,000 wamepoteza maisha kwa Afrika.
Kiongozi wa WHO Ukanda wa Afrika, Matshidiso Moeti amesema kwa Afrika Nchi iliyoripotiwa kuwa na maambukizi mengi ni Afrika (watu milioni 3.7) wakati takwimu za duniani kote kwa jumla ni mara 16 zaidi ya inavyoripotiwa.
Source: Aljazeera
Taarifa hiyo iliyotoka wiki hii inaonyesha kuwa maambukizi yaliyoandikishwa ni watu milioni 11.5 na watu 252,000 wamepoteza maisha kwa Afrika.
Kiongozi wa WHO Ukanda wa Afrika, Matshidiso Moeti amesema kwa Afrika Nchi iliyoripotiwa kuwa na maambukizi mengi ni Afrika (watu milioni 3.7) wakati takwimu za duniani kote kwa jumla ni mara 16 zaidi ya inavyoripotiwa.
Source: Aljazeera