Whozu afungiwa miezi 6, Mbosso na Billnass wafungiwa miezi 3. Wote wapigwa faini Tsh. Mil. 3. Wimbo wa 'Ameyatimba' umewaponza

Wenye channels uchwara Youtube wameupload kwenye channels zao na hio video now imewapa views nyingi ,maana baada ya kusikia kufungiwa watu wameenda kutizama.
ni kweli mkuu
 
Mbona Billnas verse yake ipo Clean tu? Mboso ndiyo ameyetimba na kupaka wese kwenye mkono na kumuonyesha msichana wakido something.
Umesikiza kwa makini verse ya Bill Nas ? tena mule ndio kuna Matusi tele tena inaweza kuwa zaidi ya verse ya Mbosso.

Mifano kama sikosei ; "Amekutana na beki napiga miguu yote" hapa anamaanisha anapiga mbele na kinyume na maumbile nk.
 
Wenye channels uchwara Youtube wameupload kwenye channels zao na hio video now imewapa views nyingi ,maana baada ya kusikia kufungiwa watu wameenda kutizama.
Aseeh...watu Wana ujinga mwingi sana
 
Mbona Billnas verse yake ipo Clean tu? Mboso ndiyo ameyetimba na kupaka wese kwenye mkono na kumuonyesha msichana wakido something.
Duh alikuwa anapaka wese ili amle 713 [emoji1] kweli dem aliyatimba

Ova
 
Wasanii kama hamna vitu vya kuimba kwenye remix mmkae kimya, huu wimbo hata audio remix ni mbovu kipande cha Mbosso. IT'S BETTER THIS WAY video mbaya.
 

Video nyingi za wasanii wetu maudhui yake ni ngono tu.
 
Umesikiza kwa makini verse ya Bill Nas ? tena mule ndio kuna Matusi tele tena inaweza kuwa zaidi ya verse ya Mbosso.

Mifano kama sikosei ; "Amekutana na beki napiga miguu yote" hapa anamaanisha anapiga mbele na kinyume na maumbile nk.
hao wote ni wahuni tu nyimbo zao zidhibitiwe. La sivyo wakaimbe kwa wahuni wenzao kwenye makasino. Bangi mbaya sana
 
Sa itakuaje tena Goma la beach boyz
 

Attachments

  • 5518173-a8c512983eaa8671518346f3828ccedd.mp4
    5.4 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…