Whozu asaini too much money zaidi ya milioni 60+

Aseme kabisa gharama za kujitoa, ukiwa na matatizo TZS 60 million ni nyingi ila kwa uhalisia wa uchumi wa sasa kujikwamua lazma weledi wa kiwango cha juu utumike hasa kwa mtu mwenye umaarufu.
 
yeye na kaka ake wote wezi
 
Milioni 60 ni vocha ya Diamond kwa mwezi
Ndivyo mafukara mnavyowaza....
hiyo 60 m jamaa anaikatikia kiuno balaa ili walau aoene hata faida maana nyuma yake kuna watu wengi wanasubiri gawio kama kina babu tale and the like....
 
Acha kumvunja moyo huyu MANGI mbona na bonge la FUTURE kimuziki labda wewe humpendi tuu
 
Acha kumvunja moyo huyu MANGI mbona na bonge la FUTURE kimuziki labda wewe humpendi tuu

Hamna kitu anabebwa tu huyu. Ukitaka kujua wasanii wa kweli njoo mtaani ndio utajua hiz mbiv au mbich. Hiv unamjua msanii anaitwa b2k? yupo kwenye maredio yao ? Ila njoo mtaani ndio utamjua
 
Ndivyo mafukara mnavyowaza....
hiyo 60 m jamaa anaikatikia kiuno balaa ili walau aoene hata faida maana nyuma yake kuna watu wengi wanasubiri gawio kama kina babu tale and the like....
Babu tale,sallam,mkubwa fela,madensa wake km 8,watu wa make up,DJs,n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…