Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ushamba na lack of exposure, kwanza Mzungu hapigwi mizinga ya kijinga kijinga kama tunavopigwa, atakimbia in one day.Wakuu nimeulizwa swali hilo hapo juu.karibu kwa majibu.
Utakuja kufa kwa tamaa, kuna wamatumbi tuna hela hao wazungu was3nge tuSura zao tu ni hela
Sura zao tu ni hela
Mwa mwa🥰Ngozi nyeupe kazi ndogo malipo makubwa
Ngozi nyeusi kazi kubwa malipo madogo
Ni ngumu kutoboa ndioq maana wanapenda ushirikina[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahio sura nyeusi ni ufukara tu
Hamnaaa ni bahatitoka kwaMunguNi ushamba na lack of exposure, kwanza Mzungu hapigwi mizinga ya kijinga kijinga kama tunavopigwa, atakimbia in one day.
Aliyewaloga dada zetu naye karogwa tenaWakuu nimeulizwa swali hilo hapo juu. Karibu kwa majibu.
Je kakamuuza mambooo dah huoni haya unagawa trakoo unanuka mxiuuu 🤮🤮🤮🤮dada muuza mamboo.
Ni ngumu kutoboa ndioq maana wanapenda ushirikina
Leta mwaya halafu tumtafute Mzungu atulee shida Ipo wapi kila kitu mtu awe muwaziDah asa mimi mweusi nikileta posa kwenu watanikubali?