Why Africa girls think all white men have money?

Why Africa girls think all white men have money?

Antonnia pole yako nishapata bebii mtakoma 👌
👏👏👏👏👏👏👏👏!
Akupe tunda sasa sio ukampigie nyeto tu 😁... hapo mbwa kala mbwaaaaaaa mbona kupatwa kwa Unique Flawa lol 🤣🤣🤣! Izo Kichwa mbili akili zenu mnazijua wenyewe walaii hahaaa!! Mtoto lazima atatoka chizi pro max 😂😂😂😂😂😂!
 
Kwasababu white man akija huku afrika na zile hela zao kidogo tu akizibadili anaweza kula bata la maana hapa bongo na kununua ardhi na kujenga nyumba hata kwa mwezi mmoja tu

Weupe wamejenga sana nyumba kwao na mademu zao tena kwa muda mfupi sana,yaan nyumba ya 30 mil inajengwa mchana na usiku
Unaona mxiuu halafu tugandane hapa hamna hata 50k
 
Ukweli ni kwamba watu white na pesa ni kama pombe na mlevi pesa zinawapenda sana watu weupe kuliko weusi..

Kule zanzibar kila nyumba inapigania ipate chotara la kizungu au kiarabu wanaamini ukiwa na watu hao kwenye ukoo basi ni dalili ya kuneemeka na ndio ilivyo kwa wengi.
chai
 
Back
Top Bottom