Why always Tundu Antiphas Mughwai Lissu?

Why always Tundu Antiphas Mughwai Lissu?

Mwaka 2010, Tundu Lissu aligombea kwa mara ya kwanza nafasi ya ubunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 42. Mgombea wa Urais wa CHADEMA alikuwa Dr. Wilbrod Slaa na huku wa CCM akiwa ni Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwa kauli yake mwenyewe, tena akiwa anatetea urais wake, Kikwete alikaririwa akisema kuwa ni heri dr. Slaa awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuliko Lissu kuwa Mbunge. Lissu akatoboa. Akauwasha moto mkali sana Bungeni. Why always Lissu?

Mwaka 2017, Lissu alitangaza kugombea urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS). Ikawa nongwa. CCM na Serikali tukajipanga na kupangika katika kumzuia asishinde Urais wa TLS. Tukawasukumia makada wakuda kwenye kugombea naye. Uwekezaji na nguvu kubwa vilitumika kumzuia. Akatoboa. Lakini hakumaliza uongozi wake.

Katika kumzuia Lissu na yeyote wa aina yake kuwa Rais wa TLS, yakafanyika mabadiliko ya sheria zinazoratibu TLS. Wanasiasa na watumishi wa umma wakazuiwa kisheria kugombea. Wakiwa wa CCM, huwa wanagombea lakini kutoboa huwa ngumu kama njumu.

Mwaka huo huo 2017, mwezi Septemba, Lissu alitoa hoja za haja Bungeni akipinga na kukosoa kwa ajili ya kurekebishwa mikataba mbalimbali ya kimataifa na sheria zinazohusu rasilimali asili za Tanzania. Hoja zake hazikupendwa. Alipotoka tu Bungeni wakati wa mapumziko ya mchana, akashambuliwa kwa nia ya kuuliwa. Akatoboa na amezidi 'kupoa'.

Mwaka huu, Lissu ametangaza na ameshajaza fomu za kugombea Uenyekiti wa CHADEMA. CCM na Serikali yetu imetubidi tubadili gia angani. Tumeugeuka msimamo na masimango yetu kwa Mbowe kubaki Mwenyekiti wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka 20. Waziwazi, tunamuunga mkono Mbowe ili aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Kisa ni Lissu. Lazima azuiliwe asiwe Mwenyekiti.

Kwanini Lissu anaogopwa kwa kiasi hiki na CCM na Serikali yake? Ana upekee gani? Kwanini upekee huo wa Lissu usitumike kwa manufaa ya taifa letu la Tanzania?

Why always Tundu Antiphas Mughwai Lissu?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Masasi, Mtwara)


Kitambo Sana mzee Tupa Tupa sijakusikia..
Asante Kwa Tafakuri hii
 
Mwaka 2010, Tundu Lissu aligombea kwa mara ya kwanza nafasi ya ubunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 42. Mgombea wa Urais wa CHADEMA alikuwa Dr. Wilbrod Slaa na huku wa CCM akiwa ni Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwa kauli yake mwenyewe, tena akiwa anatetea urais wake, Kikwete alikaririwa akisema kuwa ni heri dr. Slaa awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuliko Lissu kuwa Mbunge. Lissu akatoboa. Akauwasha moto mkali sana Bungeni. Why always Lissu?

Mwaka 2017, Lissu alitangaza kugombea urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS). Ikawa nongwa. CCM na Serikali tukajipanga na kupangika katika kumzuia asishinde Urais wa TLS. Tukawasukumia makada wakuda kwenye kugombea naye. Uwekezaji na nguvu kubwa vilitumika kumzuia. Akatoboa. Lakini hakumaliza uongozi wake.

Katika kumzuia Lissu na yeyote wa aina yake kuwa Rais wa TLS, yakafanyika mabadiliko ya sheria zinazoratibu TLS. Wanasiasa na watumishi wa umma wakazuiwa kisheria kugombea. Wakiwa wa CCM, huwa wanagombea lakini kutoboa huwa ngumu kama njumu.

Mwaka huo huo 2017, mwezi Septemba, Lissu alitoa hoja za haja Bungeni akipinga na kukosoa kwa ajili ya kurekebishwa mikataba mbalimbali ya kimataifa na sheria zinazohusu rasilimali asili za Tanzania. Hoja zake hazikupendwa. Alipotoka tu Bungeni wakati wa mapumziko ya mchana, akashambuliwa kwa nia ya kuuliwa. Akatoboa na amezidi 'kupoa'.

Mwaka huu, Lissu ametangaza na ameshajaza fomu za kugombea Uenyekiti wa CHADEMA. CCM na Serikali yetu imetubidi tubadili gia angani. Tumeugeuka msimamo na masimango yetu kwa Mbowe kubaki Mwenyekiti wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka 20. Waziwazi, tunamuunga mkono Mbowe ili aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Kisa ni Lissu. Lazima azuiliwe asiwe Mwenyekiti.

Kwanini Lissu anaogopwa kwa kiasi hiki na CCM na Serikali yake? Ana upekee gani? Kwanini upekee huo wa Lissu usitumike kwa manufaa ya taifa letu la Tanzania?

Why always Tundu Antiphas Mughwai Lissu?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Masasi, Mtwara)
Uko masasi sehemu gani nije kukusalimu?
 
Si kweli, chawa hula kutokana na uchafu uliomgandamana bwana wake.

Sasa ukitegemea hela chafu kama za akina Abdul kutoka kwa Lissu njaa itakuua.

Ukiona mtu anamsapoti Lissu jua huyo anafanya voluntarily tu na ana akili inayofanya kazi.
Chawa chawa tu hayo mapambio yote hayo ni uchawa tu
 
Mwaka 2010, Tundu Lissu aligombea kwa mara ya kwanza nafasi ya ubunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 42. Mgombea wa Urais wa CHADEMA alikuwa Dr. Wilbrod Slaa na huku wa CCM akiwa ni Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwa kauli yake mwenyewe, tena akiwa anatetea urais wake, Kikwete alikaririwa akisema kuwa ni heri dr. Slaa awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuliko Lissu kuwa Mbunge. Lissu akatoboa. Akauwasha moto mkali sana Bungeni. Why always Lissu?

Mwaka 2017, Lissu alitangaza kugombea urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS). Ikawa nongwa. CCM na Serikali tukajipanga na kupangika katika kumzuia asishinde Urais wa TLS. Tukawasukumia makada wakuda kwenye kugombea naye. Uwekezaji na nguvu kubwa vilitumika kumzuia. Akatoboa. Lakini hakumaliza uongozi wake.

Katika kumzuia Lissu na yeyote wa aina yake kuwa Rais wa TLS, yakafanyika mabadiliko ya sheria zinazoratibu TLS. Wanasiasa na watumishi wa umma wakazuiwa kisheria kugombea. Wakiwa wa CCM, huwa wanagombea lakini kutoboa huwa ngumu kama njumu.

Mwaka huo huo 2017, mwezi Septemba, Lissu alitoa hoja za haja Bungeni akipinga na kukosoa kwa ajili ya kurekebishwa mikataba mbalimbali ya kimataifa na sheria zinazohusu rasilimali asili za Tanzania. Hoja zake hazikupendwa. Alipotoka tu Bungeni wakati wa mapumziko ya mchana, akashambuliwa kwa nia ya kuuliwa. Akatoboa na amezidi 'kupoa'.

Mwaka huu, Lissu ametangaza na ameshajaza fomu za kugombea Uenyekiti wa CHADEMA. CCM na Serikali yetu imetubidi tubadili gia angani. Tumeugeuka msimamo na masimango yetu kwa Mbowe kubaki Mwenyekiti wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka 20. Waziwazi, tunamuunga mkono Mbowe ili aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Kisa ni Lissu. Lazima azuiliwe asiwe Mwenyekiti.

Kwanini Lissu anaogopwa kwa kiasi hiki na CCM na Serikali yake? Ana upekee gani? Kwanini upekee huo wa Lissu usitumike kwa manufaa ya taifa letu la Tanzania?

Why always Tundu Antiphas Mughwai Lissu?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Masasi, Mtwara)
Mi mawazo yangu yananiambia wewe unajua ila unatutega, ebu yamwage hapa ili tupate kujua.
 
Au ndo mpango wa Mbowe na Lissu kuwa wagombee nafasi moja ili CCM tuachane na hoja ya ukomo wa Mbowe?
 
Mwaka 2010, Tundu Lissu aligombea kwa mara ya kwanza nafasi ya ubunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 42. Mgombea wa Urais wa CHADEMA alikuwa Dr. Wilbrod Slaa na huku wa CCM akiwa ni Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwa kauli yake mwenyewe, tena akiwa anatetea urais wake, Kikwete alikaririwa akisema kuwa ni heri dr. Slaa awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuliko Lissu kuwa Mbunge. Lissu akatoboa. Akauwasha moto mkali sana Bungeni. Why always Lissu?

Mwaka 2017, Lissu alitangaza kugombea urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS). Ikawa nongwa. CCM na Serikali tukajipanga na kupangika katika kumzuia asishinde Urais wa TLS. Tukawasukumia makada wakuda kwenye kugombea naye. Uwekezaji na nguvu kubwa vilitumika kumzuia. Akatoboa. Lakini hakumaliza uongozi wake.

Katika kumzuia Lissu na yeyote wa aina yake kuwa Rais wa TLS, yakafanyika mabadiliko ya sheria zinazoratibu TLS. Wanasiasa na watumishi wa umma wakazuiwa kisheria kugombea. Wakiwa wa CCM, huwa wanagombea lakini kutoboa huwa ngumu kama njumu.

Mwaka huo huo 2017, mwezi Septemba, Lissu alitoa hoja za haja Bungeni akipinga na kukosoa kwa ajili ya kurekebishwa mikataba mbalimbali ya kimataifa na sheria zinazohusu rasilimali asili za Tanzania. Hoja zake hazikupendwa. Alipotoka tu Bungeni wakati wa mapumziko ya mchana, akashambuliwa kwa nia ya kuuliwa. Akatoboa na amezidi 'kupoa'.

Mwaka huu, Lissu ametangaza na ameshajaza fomu za kugombea Uenyekiti wa CHADEMA. CCM na Serikali yetu imetubidi tubadili gia angani. Tumeugeuka msimamo na masimango yetu kwa Mbowe kubaki Mwenyekiti wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka 20. Waziwazi, tunamuunga mkono Mbowe ili aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Kisa ni Lissu. Lazima azuiliwe asiwe Mwenyekiti.

Kwanini Lissu anaogopwa kwa kiasi hiki na CCM na Serikali yake? Ana upekee gani? Kwanini upekee huo wa Lissu usitumike kwa manufaa ya taifa letu la Tanzania?

Why always Tundu Antiphas Mughwai Lissu?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Masasi, Mtwara)
Labda nikuulize wewe maswali kadhaa.
1. Una hakika Lissu akiwa bungeni alitaka.kurekebisha sheria ya mikataba au alipinga sheria mpya ya Magufuli kuvunja mikataba mibovu ya nishati na madini? Maana nakumbuka hoja ilianzia kilamatwa kwa Makinikia ya Acacia.
2. Isitoshe yanipa wasiwasi Mama Samia alipoingia madarakani akiwa Belgium.alienda kumtembea Tundu Lissu hospital. Wakaongea Je, unajua waliongea nini? Iweje Tundu Lissu alodai Usalama wa Taifa ulitaka kumuua ghafla arudi Tanzania bila kuhakikishiwa Usalama wake? Na kama alihakikishiwa usalama alipewa masharti gani? Je, Mhaini ambaye anatafutwa na TISS anaweza kurudi nchini kinyemela tu na asishughulikiwe? Na amewezaje kuishi toka 2021 hana Ubunge, hana biashara jana ajira yoyote inayojuikana kumletea kipato - Anaishije mjini?
3. Kwa nini Lissu ataje rushwa na ufisadi wa Mbowe sasa hivi? Akiwa Makamu Mwenyekiti hakuyaona haya wakati wote 2021, 2022,2023, 2024 mpaka leo hii 2025 imebakia miezi 10 tu kufikia Uchaguzi Mkuu wa Taifa ndio aje na tuhuma nzito zote hizo?
4. Tundu Lissu akiwa rais wa TLS alifanya kipi ambacho kilifanya Serikali itunge sheria mpya dhidi yake na sii kuimarisha utendaji wa TLS. Kuna mwiba wa serikali kuliko Mwambukusi?
 
Mwaka 2010, Tundu Lissu aligombea kwa mara ya kwanza nafasi ya ubunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 42. Mgombea wa Urais wa CHADEMA alikuwa Dr. Wilbrod Slaa na huku wa CCM akiwa ni Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwa kauli yake mwenyewe, tena akiwa anatetea urais wake, Kikwete alikaririwa akisema kuwa ni heri dr. Slaa awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuliko Lissu kuwa Mbunge. Lissu akatoboa. Akauwasha moto mkali sana Bungeni. Why always Lissu?

Mwaka 2017, Lissu alitangaza kugombea urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS). Ikawa nongwa. CCM na Serikali tukajipanga na kupangika katika kumzuia asishinde Urais wa TLS. Tukawasukumia makada wakuda kwenye kugombea naye. Uwekezaji na nguvu kubwa vilitumika kumzuia. Akatoboa. Lakini hakumaliza uongozi wake.

Katika kumzuia Lissu na yeyote wa aina yake kuwa Rais wa TLS, yakafanyika mabadiliko ya sheria zinazoratibu TLS. Wanasiasa na watumishi wa umma wakazuiwa kisheria kugombea. Wakiwa wa CCM, huwa wanagombea lakini kutoboa huwa ngumu kama njumu.

Mwaka huo huo 2017, mwezi Septemba, Lissu alitoa hoja za haja Bungeni akipinga na kukosoa kwa ajili ya kurekebishwa mikataba mbalimbali ya kimataifa na sheria zinazohusu rasilimali asili za Tanzania. Hoja zake hazikupendwa. Alipotoka tu Bungeni wakati wa mapumziko ya mchana, akashambuliwa kwa nia ya kuuliwa. Akatoboa na amezidi 'kupoa'.

Mwaka huu, Lissu ametangaza na ameshajaza fomu za kugombea Uenyekiti wa CHADEMA. CCM na Serikali yetu imetubidi tubadili gia angani. Tumeugeuka msimamo na masimango yetu kwa Mbowe kubaki Mwenyekiti wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka 20. Waziwazi, tunamuunga mkono Mbowe ili aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Kisa ni Lissu. Lazima azuiliwe asiwe Mwenyekiti.

Kwanini Lissu anaogopwa kwa kiasi hiki na CCM na Serikali yake? Ana upekee gani? Kwanini upekee huo wa Lissu usitumike kwa manufaa ya taifa letu la Tanzania?

Why always Tundu Antiphas Mughwai Lissu?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Masasi, Mtwara)

Lissu ni special leader huo ndiyo ukweli kama Nyerere au Mandela tutake tusitake
 
LISSU sio mla RUSHWA.
Nenda makampuni ya madini nafikiri hutarudi tena hapa kutushuhudia ujinga wako hapa. Tangu lini mpagani TAL hali rushwa? Are you serious?!! Kitu gani kilimpata baada ya ujio wa EN Lowassa CDM na kupewa fursa ya kugombea wakati siku chache tu alitoka kumnanga lakini ndiye aliyemsafisha hadharani!! Rushwa sio lazima upewe pesa ni pana sana kigego!! Mbona yeye mwenyewe alishakiri kupelekewa pesa za kumpooza asisemeseme na kweli anachokiongea kwenye utawala huu sicho alichokuwa anakiongea leo amejaa uoga, uongo, kusema siri hadharani kwa kinga ya mazwazwa wake wasimshtukie.
 
Nenda makampuni ya madini nafikiri hutarudi tena hapa kutushuhudia ujinga wako hapa. Tangu lini mpagani TAL hali rushwa? Are you serious?!! Kitu gani kilimpata baada ya ujio wa EN Lowassa CDM na kupewa fursa ya kugombea wakati siku chache tu alitoka kumnanga lakini ndiye aliyemsafisha hadharani!! Rushwa sio lazima upewe pesa ni pana sana kigego!! Mbona yeye mwenyewe alishakiri kupelekewa pesa za kumpooza asisemeseme na kweli anachokiongea kwenye utawala huu sicho alichokuwa anakiongea leo amejaa uoga, uongo, kusema siri hadharani kwa kinga ya mazwazwa wake wasimshtukie.
Kwanini unazunguruka zunguruka wewe sema tu kuwa Lissu alipewa RUSHWA na fulani siku fulani halafu hilo swali tunalipeleka Club House.

Tunachotaka ni UWAZI...🙂
 
Kwanini unazunguruka zunguruka wewe sema tu kuwa Lissu alipewa RUSHWA na fulani siku fulani halafu hilo swali tunalipeleka Club House.

Tunachotaka ni UWAZI...🙂
Msukule wa Magufuli huo ulishalishwa matango pori na Magufuli kuwa Lissu alikuwa anatumika.

Kumbe dikteta uchwara wao alishindwa kumjibu Lissu kwa hoja akaishia kumtungia uongo. Alipoona uongo wake haufanyi kazi akataka kumuua
 
Back
Top Bottom