Why apple?

Na mimi nahitaji kujua kwakweli, why Apple, nilishatumia huko nyumba kama ishara ya mapenzi but nilitumia kwa kuona wengine wanalitumia so I need to know Why Apple na ci tikiti maji au embe!
 

Mamamia, thanks a lot. Hivyo ndo kusema naweza kukupa apple nikiashiria ndani yangu kuwa na evil

intention? Na imethibitishwaje kwamba hawa wandugu wa kwanza walikula apple?

 
Mamamia, thanks a lot. Hivyo ndo kusema naweza kukupa apple nikiashiria ndani yangu kuwa na evil intention? Na imethibitishwaje kwamba hawa wandugu wa kwanza walikula apple?
Hilo la kwanza, intention ya mtu anaijua mwenyewe, mtu anaweza kupewa sumu hata kwenye asali. Na mara nyingi "bad intentions" huzikwa kwenye "utamu".
Hilo la pili wala sijalitaja hapa, ila nilisema Abel na Cain walizaliwa (ni matunda ya) wazazi wao waliokula tunda.


Pamoja na yote hayo, haya ni mawazo yangu, hata ukiniambia nithibitishe kwa "data na facts" sitoweza kuthibitisha.
 

wow mpaka nimekuzimia ghafla! lol... so bravo.
 

Ah ok. Thats fyn. . . At least i ve got some insights
 
Inabidi tuache hayo mazoea na tuanze kupeana maparachichi sasa..
 
ni kugeza wazungu tu hakuna chochote kizito behind that......
 
ni kugeza wazungu tu hakuna chochote kizito behind that......

Dah, kama kugeza tumegeza mengi. Kuanzia kuvaa, kula, kunywa and all that! Haya mambo ya cheers,toast, champagne,keki za unga, and all that ni yao 2! Thanks for us chagga people! Despite all the attacks we receive here at least we have maintained one thing. Ndafu na mbege!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…