Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
- Sasa Mengi toka lini anagombea Urais unajichanganya ndio matatizo ya kubebeshwa uzushi bila kuchuja kichwani ubongo mzito sana kijana mwembamba hahahahahaha
Le Mutuz
Nenda kafanye mazoezi upunguze mafuta Kichwani na uache kwenda kwenye pat za Vitoto school bash, Akili zako Zimekariri Membe ni Mungu wako na unadhani atakuwa Rais ili Anana kilango awe Waziri mkuu ! Membe hana chake safari hii Laana ya balozi wa libya inamtafuna ile mbaya hata akigombea Mjumbe wa nyumba kumi hapati.
- Source ya uzushi wako huna ni wewe mwenyewe na wembaba wako supposedly hahahahahahaha unaona unajivua nguo mwenyewe kuwa ni mzushi huna Source nyamaza tu kama humpendi mgombea ongea hoja sio uzushi uzushi kama huu wa kitoto sana ni kweli lazima utakuwa mtoto sana kiakili maana tuhuma nzito huna Source hahahaha
Le Mutuz
Leo asubuhi tumeshuhudia makala ya kipropaganda dhidi ya Waziri Membe ikisambazwa na kijana Yericko Nyerere akimsema Waziri Membe kuwa hana historia kubwa katika mafanikio ya kielimu na uongozi na amechangia kudidimiza diplomasia yetu. Pia amehoji weredi wa Waziri Membe katika idara ya usalama wa taifa.
Tunachoweza kumjibu kijana Yericko Nyerere ambaye baadhi yetu tumekuwa tukisoma baadhi ya makala zake katika gazeti la Mawio ni kwamba Waziri Membe kielimu hana historia legevu au dhoofu kutokana na ukweli kwamba elimu yake haiwezi kuhojiwa mahali kutokana na uhalali wake.
Yericko Nyerere arejee makala ya Prof.Kitila Mkumbo kuhusu Waziri Membe ambaye ni mwanachama mwenzao wa upinzani na Mhadhiri wa chuo kikuu.
Itakuwa ajabu kwa watu aina ya Yericko kuacha kuhoji ubatili wa elimu ya Waziri Membe miaka ya nyuma waje wahoji leo mwaka wa uchaguzi.Hakika hizi ni hekaya za abunuwasi.Hakika Yericko katumwa kumchafua Waziri Membe.
Kuhusu weredi wa Waziri Membe idara ya usalama wa taifa eti hakuna mission aliyowahi kuisimamia na kuifanikisha hatutopenda kuzungumzia haya kwasababu hatuna mamlaka ya kufanya hivyo.
Kwa kuhitimisha tu niwaase vijana aina ya Yericko kuwa wanafanya utafiti kabla ya kuandika.Waziri Membe hajawahi kuwa naibu waziri wa mambo ya nje.Nina imani tumeeleweka!
Hahahaha huyo jamaa mafuta ya kwenye ubongo wake umehamia mwilini. Maranyingi anatumia masaburi kufikiri...... Na alivyo mnene najua kuna watu wanalifaidi litakoreee....
Kwa vigezo vyako binafsi na kwa mtizamo wako wenyewe utaona Hizi ni tuhuma tu, lakini wajanja na welevu wanajua kuwa Membe alipora pesa ya Gadafi kisha akamteketeza balozi ili kuficha Ushahidi wa idadi ya mapesa ya Gadafi aliyopora, inaelekea wewe umepata Mgao ndiyo maana umeamua kumtetea kwa nguvu zako zote japo wee ni bonge ( tipwa tipwa) lakini subirini kidogo hilo Bomu la pesa za Gadafi na pesa za Ununuzi wa nyumba za mabalozi litalipuka mda si mrefu na sijui utajificha wapi na Unene wako kama wa mzee wa Msituni cpt John komba.
Bernard Kamilius Membe ni waziri wa Mashauri ya Kigeni nchini Tanzania, ni mwanachama wa chama cha mapinduzi,
Historia ya Membe ...
Mathalani Mgogoro na Malawi wa Ziwa Nyasa, Mgogoro na Rwanda, Mgogoro na Kenya, Mgorogoro na Uingeraza, Mgogoro na ummoja wa nchi wa Hisani wa Maendeleo za Ulaya,
Haya yote yametukia katika uongozi wa Bernard Membe katika wizara inayohusika na mashauri ya Kigeni, lakini hili linatokana na historia ya mtumishi huyu ambaye hajawahi kuwa kiongozi wala hajawahi kujiongoza yeye mwenyewe,
...alipoingia kwenye siasa, hivyo uongozi sio kipaji chake!
- Kama kawaida yenu huwa mnajisema wenyewe kuhusu tabia zenu kumbe na wewe una hizi tabia duh hahahahahahahah pole sana hapa sio Mombasa mkuu, vipi kile kikao chako cha kumtoa Pinda kazi mlichofanyia Ikulu au bado kunaendelea? hahahahahahaha
Le Mutuz
- Hivi kweli mkuu ulihitaji kumjibu mtu anayetumwa tumwa kila siku kuchafua wanasiasa kwenye mitandao? Alisema Bunge la katiba linavunjwa na halikuvunjwa toka pale huwa siamini anything anachosema huwa anatumwa na wanasiasa kumjibu ni kumpa ujiko wa bure mkuu nex time ni kumjibu kwenye thread yake, kumjibu like this unampa ujiko wa bure mkuu sasa kweli gazeti la mawio unaweza kulihesabu kuwa ni gazeti ofisi zake zipo wapi kama sio mtaani, please!!
Le Mutuz
Usijitoe ufahamu wenye tabia hiyo wanajulikana chief. Ni Nyalandu, Wewe, Makonda, na Membe anahisiwa......
Ingekuwa busara kama na wewe ungetoa sababu za kwanini Yericko sio credible kwa kutumia hiyo thread yake ya Membe
- Chini ya uwaziri wake Tanzania kwa mara ya kwanza tumefanikiwa kununua majengo yetu wenyewe ya ubalozi, katika nchi kama za USA, UN New York, Lusaka, Malawi na France kitendo ambacho kimelipunguzia taifa mzigo mkubwa wa gharama za kuendesha hizo ofisi, hizi siasa za urais zinakuwa na makengeza mpaka hata ukweli unauruka makusudi, hivi mkuu wewe si UKAWA sasa wagombea wa Urais CCM wanakuhusu vipi?
Le Mutuz
hakuna mahali panapotaja uimara wake kiakili darasani wala hakuna tukio lolote la kishujaa la kukumbukwa, iwe katika mitiahani, michezo, uongozi shuleni ama sifa yoyote toka kwa wakufunzi wake.
Kwaujumla alikuwa ni mwanafunzi wa kawaida kabisa ambae hawezi kusonga mbele bila usimamizi wa walimu wake kinyume na wanafunzi wengine,
Nilisoma pia kwenye makala ya Kitila Nkumbo akimuelzea kwamba hata mtihani wa kidato cha sita alipata ufaulu hafifu
Huo ndio ukweli mkuu
- Hivi kweli mkuu ulihitaji kumjibu mtu anayetumwa tumwa kila siku kuchafua wanasiasa kwenye mitandao? Alisema Bunge la katiba linavunjwa na halikuvunjwa toka pale huwa siamini anything anachosema huwa anatumwa na wanasiasa kumjibu ni kumpa ujiko wa bure mkuu nex time ni kumjibu kwenye thread yake, kumjibu like this unampa ujiko wa bure mkuu sasa kweli gazeti la mawio unaweza kulihesabu kuwa ni gazeti ofisi zake zipo wapi kama sio mtaani, please!!
Le Mutuz
Leo asubuhi tumeshuhudia makala ya kipropaganda dhidi ya Waziri Membe ikisambazwa na kijana Yericko Nyerere akimsema Waziri Membe kuwa hana historia kubwa katika mafanikio ya kielimu na uongozi na amechangia kudidimiza diplomasia yetu. Pia amehoji weredi wa Waziri Membe katika idara ya usalama wa taifa.
Tunachoweza kumjibu kijana Yericko Nyerere ambaye baadhi yetu tumekuwa tukisoma baadhi ya makala zake katika gazeti la Mawio ni kwamba Waziri Membe kielimu hana historia legevu au dhoofu kutokana na ukweli kwamba elimu yake haiwezi kuhojiwa mahali kutokana na uhalali wake.
Yericko Nyerere arejee makala ya Prof.Kitila Mkumbo kuhusu Waziri Membe ambaye ni mwanachama mwenzao wa upinzani na Mhadhiri wa chuo kikuu.
Itakuwa ajabu kwa watu aina ya Yericko kuacha kuhoji ubatili wa elimu ya Waziri Membe miaka ya nyuma waje wahoji leo mwaka wa uchaguzi.Hakika hizi ni hekaya za abunuwasi.Hakika Yericko katumwa kumchafua Waziri Membe.
Kuhusu weredi wa Waziri Membe idara ya usalama wa taifa eti hakuna mission aliyowahi kuisimamia na kuifanikisha hatutopenda kuzungumzia haya kwasababu hatuna mamlaka ya kufanya hivyo.
Kwa kuhitimisha tu niwaase vijana aina ya Yericko kuwa wanafanya utafiti kabla ya kuandika.Waziri Membe hajawahi kuwa naibu waziri wa mambo ya nje.Nina imani tumeeleweka!
mbona umejumuisha migogoro ambayo ipo tangu enzi za mwalimu? ni heri ungesema membe ameshindwa itatua migogoro hiyo kama mawaziri waliopita...