Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Yani hichi ulichokiandika hapa Membe akisoma yeye mwenyewe atachukia badala ya kufurahi kama ulivyotarajia wewe.
Umejibu hoja too shallow,
Bandiko la yericko halijasema kuwa elimu ya membe ni batili,
Membe amesemwa kuwa hana tabia ya kufaulu kuanzia shule hadi kazini, sasa wewe ili kumpinga yeriko ungekuja may be na matokeo yake yenye alama za high performance, au ungeleta hapa valid certificates of acceptance na mengineyo ya kisiasa aliyowahi kufaulu.
Hivi Paul Makonda mbona unaacha joka la mdimu linaaibishwa namna hii?
Umejibu hoja too shallow,
Bandiko la yericko halijasema kuwa elimu ya membe ni batili,
Membe amesemwa kuwa hana tabia ya kufaulu kuanzia shule hadi kazini, sasa wewe ili kumpinga yeriko ungekuja may be na matokeo yake yenye alama za high performance, au ungeleta hapa valid certificates of acceptance na mengineyo ya kisiasa aliyowahi kufaulu.
Hivi Paul Makonda mbona unaacha joka la mdimu linaaibishwa namna hii?
Last edited by a moderator: