Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

Mmhh!.Si bure mmetumwa nyinyi kumchafua Membe.
 
Ukiwa mfutiliaji wa masuala ya kisiasa hususani siasa za mitandaoni unaweza jiuliza hili swali je nani kamuibua membe gafla ikiwa 2020 bado?

Je kaibuliwa na kundi maalumu la mkakati wa 2020 ambalo limejipanga likaja gafla kwenye mitandao ya jamii na kufukua makaburi?

Je ni sisi wanainchi ambao tunatumia mitandao ya kijamii na wadau wa siasa tumechoshwa na muelekeo wa siasa za sasa hivyo tumemkumbuka membe?

Je ni genge ndani ya chama tawala kimemchoka kimemchoka mwenyekiti wao hivyo kinamtaka membe?

Ebu tujiulize nani kamuibua membe.
 
Timu jiwe mmepaniq vibaya Sana, hii nchi ni yetu wote,
Hapana sio kweli. Hii nchi ni ya wazalendo! Wasio wazalendo hawataki hii nchi ilendelee ku-exist. Ndiyo maana wanapinga kila kitu.

Clews;
1. Bombardier walizipinga mpaka kutumia mbinu ya kutafuta makampuni ya kutushtaki. Sasa wanapanda.

2. Dreamliner waliipinga sasa wanapanda.

3. SGR waliipinga, nadhani wataipanda.

4. Golf over waliipinga, lakini sasa wanazitumia.

5. Sheria mpya za kudhibiti uporaji wa madini yetu waliipinga na kuligomea Bunge.

6. Ukuta wa Mererani wa kulinda madini yetu ya Tanzanite yasiibiwe nao waliupinga na bado wanaupinga.

Do they really belong to Tanzania? Of course not!

Ningependa uasili wa Zitto Kabwe na Tundu Lissu uchunguzwe!
 
Watanzania ni wanafiki sana,eti wanajifanya kuwa hawajui kuwa mtu mwenye maamuzi ya nani awe rais kwenye nchi hii ni CcCM na wala siyo wao!!......kura huchakachuliwa,kura huibiwa,mizengwe hutumika na policeccm hutumika pia kufanikisha hilo na sisi Watanzania hutulia kimya kama maji kwenye mtungi!!
 
Nimejiuliza Mara nyingi hayo maswali, sina majibu labda watu wa Lumumba waje watupe majib sahih
 
Hii ccm ya kuchezea box la kura kimachomacho limemuibua Membe. Wanaccm wengi sasa wanaona fika Magu na genge lake wameshindwa kufanya siasa za ushindani bali wamebaki kuburuza wananchi bila ridhaa yao. Kitendo cha Magu kuhakikisha mgombea wa ccm tena aliyemtoa upinzani na kuhakiksha anatangazwa mshindi kimewaacha wanaccm asilia na donge moyoni, hivyo wameamua wamtoe mapema.

Na hivi viashiria vya magu kutaka kujiongezea muda wa kukaa madarakani kimemfanya jasusi Membe kutoka alipokuwa kwani wanajua kabisa wakikaa kimya jamaa atajiongezea muda maana haheshimu box la kura. Hivyo kuna kundi kubwa ndani ya ccm halikubaliani na mwenendo wa magu na wameapa 2020 kumpiga chini.
 
Membe anafaa kuwa raisi wa Mamba, sisi ni eidha Lissu au Maalim Seif
Membe wanamtaka ili arudishe ufisadi Tanzania.

Lissu na Malim Seif wanawataka ili kuja kuvunja muungano na umoja wetu. Tanzania iwe Tanganyika dependent state na Zanzibar irejeshwe tena kwa Sultan wa Oman.
 
Mtukufu jiwe anatumia nguvu nyingi sana kubaki madarakani.
 
2020 ndio mwisho wa ccm kimeshapasuka
Niaminishe hata kidogo mkuu, kuwa Membe ana nguvu kuliko alizokuwa naxo Lowassa ndani ya ccm, make huku kanda ya ziwa hata hatumjui, kma tulivyomjua Lowassa.
 
Dah.... mitandao bongo?...Tena Jf? ...Hili halihitaji hata cheti Cha form 4....mbona mtu mmoja tu mwenye ID 15 anaweza kuanzisha nyuzi kadhaa na akazijadili mwenyewe...
Mbona mwaka 2010 Dr. Slaa alishinda urais humu kwa 80% humu JF...Kiko wapi?.....
2015 Lowassa alishinda humu kwa 98%...kiko wapi?....
Ni ujinga mkubwa kurudia njia zilezile zilizoshindwa kutatua tatizo lilelile awali...[emoji13] [emoji41] [emoji87]
 
Waliomuibua Membe ni waliokuwa wanapiga kelele eti Mbowe aachie madaraka wakati hawaongozi wao....nadhani wameona huko pamebuma wamerudisha majeshi nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…