Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

Membe has to do a self assessment
Personally if I am to mention the right candidates for 2015 presidential post he is not in my top 5
Mind you being a a foreign minister does not guarantee you of being the next president clear that Myth in you
 

umemu-attack personally kuliko hoja alizotoa, mfano aliongelea 'how to break a poverty circle' na akasema ni kwa kufanya 'rular transformation' ndo tunaweza kutoka kwenye hii circle....do you agree with him?, why? and you have to give yours too...tukupime...ulichofanya ni kumu-attack personally kama mtu anayesaka uraisi na sio hoja muhimu kwa taifa alizozitoa...ni hatari kwa taifa kuwa na watu 7 selfish kama wewe, nenda kasome 'LEVIATHAN' ya Thomas Hobbes na urudi na mawazo mazuri.
 
Last edited by a moderator:

Huyu ni January Makamba undercover. Hizi ni aina za speech mbofu mbofu alizokuwa anamwandikia JK; anatumia maneno ya ajabu ajabu ya kiingereza kunogesha hotuba bila kujali hoja ya hotuba yenyewe.
 
Mbona umejaza broken english? ....tunataka rais shupavu kama KAGAME ambaye hatetereki na siasa uchwara kama hizi:
Hawa wana sifa na uwezo huo-:
Bernard Membe
John Magufuli
Kagasheki
January Makamba
 
pia nashauri mods waiondoe thread hii kwa vile inapandikiza chuki kwa viongozi(Membe vs Magufuli) wakati hawa si maadui ,kama ni propaganda zenu "mumebugi men"
 
Hata hii nafasi aliyonayo hafai, tusifanye makosa jamani huyu hafai kabisaaaaaa
 
......what if is not nominated from his part who is going to be our next president?
 

This sounds like Mzee Punch's come-back! 10 New commandments
Good brain exercise. I would have executed it in a diiferent way. We lack time to examine all aspirants of the position like we do time to edit our pasted scripts eventually coming with uneven line and paragraph spaces.

Why spend time on Membe disqualification exercise? Let us examine and re-shape our system. Where the ambitious; clever, stupid, etc. will be at level-guided. Getting a genius for appreciation of the populous Tanzanian won't come ahead as it had never been. May be those dead two, who interchangeably closes the line of victory depending on the side of this country where you are. I mean Karume and Nyerere. Of course we pretend to forget their hopelessness and miseries inflicted to us, simply nobody is allowed to refer to their bad-past (forget about the courageous Mtikila).

Btw. Very few countries had ever been ruled/governed by clever people. It is a group of such voracious people who eventually scoops power. You know how Silvio Berluscon is on his way back to the European politics. Just give this guy a chance. Who knows? This is a wasanii country. They are here just for entertainment. And you are waiting for maendeleo! 🙂)
 
In this country being mediocre seems a surest way to climb the leadership ladder. What you underscore as the 'unfitnesses' could actually be the very qualities our voters enjoy!

And that`s where dictators like Kagame score.Knowing the risk ahead they wont give an inch as a chance for these kamikaze stars to abuse the sane world.

Its not only Membe even the Dhaifu himself wouldn't even take a lane toward the direction of the place he is now.These pathetic creatures were supposed to be barmen somewhere in town mixing &serving cocktails with funny acrobatic moves .Unfortunately these barmen are determinant of our future , destroying our present while day dreaming of our future.

we have gone too far , we are too deep in this business of compromising everything.

Dhaifu blackmailed the nation with Mwalimu`s quotes, and this is what we see.Now another kamikaze trinity stars(Jussa, Makamba,ZItto) are up for the same o deal.
 
Neither Membe nor Magufuli can lead this country!!

membe :the above analysis says it all.Pombe oops, ndio kimeo wa mwisho.Aliyesikia hotuba yake yake bungeni kwa wizara yake alivyokuwa akijipendekeza kwa JK na kumalizia kwa kujikomba na kujichekesha kwa Mbowe hadi nikahofia mambo mengi yake binafsi.Hawezi kuwa rais mwenye kujiomba vile, atawaface vipi wafadhili na viongozi wa nchi nyingine wanaojua ku portrays so many intimidating images, commanding languages, na huku wakipata back up ya military might, and economic stick while sisi tukiwa pushed na njaa zetu kama si mikwara ya jirani zetu.
 
Mti wenye matunda.......

kwetu hatupigi matunda mawe,wala kuwachoma ng`ombe ili kuwaweka alama.Sisi huw atunapiga mawe mti wenye wadudu na wanyama wabaya ambao hawafikiwi kirahisi, kama nyoka , na wanyama waharibifu.Bado mnapiga mawe matunda?Ndio maana basi matunda yanakosa thamani hata kwa mlaji ktk famailia zenu.
 
Membe has to do a self assessment
Personally if I am to mention the right candidates for 2015 presidential post he is not in my top 5
Mind you being a a foreign minister does not guarantee you of being the next president clear that Myth in you

Njowepo the guy is simply delusional and he forgets both Nyerere and Mwinyi never occupied the foreign ministry docket and yet they ascended to the presidency
 
Last edited by a moderator:

Nicholas hata wapambe wake kwenye hii mada wako taabani wameshindwa kumtetea kabisa..........
 
Last edited by a moderator:
In this country being mediocre seems a surest way to climb the leadership ladder. What you underscore as the 'unfitnesses' could actually be the very qualities our voters enjoy!
[MENTION]
Kitila Tumbo[/MENTION] Being presidential material and winning the State House are not necessarily the same thing......
 

MchunguZI Discussing our potential leaders is part of analyzing the rot in our system that if Membe can be a president then our system is beyond reformation...............or a reason to reform it even more urgently.......so he is just a case study, though.......
 
Last edited by a moderator:
Mbona umejaza broken english? ....tunataka rais shupavu kama KAGAME ambaye hatetereki na siasa uchwara kama hizi:
Hawa wana sifa na uwezo huo-:
Bernard Membe
John Magufuli
Kagasheki
January Makamba

Is there ever a greenstar in this garbage?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…