Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

Endelea kukenua meno na kusambaza uzandiki. Uongo hautakufikisha mbali katika uwanja huu wa siasa. Utabaki hapo hapo ukipiga kwata. Kuna mambo mengi huyajui katika jamii zaidi ya kusimuliwa. Unachofanya ni kudhoofisha na kufanya upinzani uonekane umejaa mbumbumbu kama wewe. Hii ni hatari sana kwa vuguvugu la mabadiliko nchini.
Naona Membe kafura huku akijifichia kwenye kichaka cha madiliko,ndo maana tunasema Membe sio jasiri!anabwata tuuuh ameshindwa kujibu hoja kabisa.Kelele kibao ameshindwa kudhibitisha uongo wa YN Amebakwi kubwata.Hongera Yericko umepiga pin ya nguvu na wengine tumeshuhudia udhaifu
 
Kati ya vitu naanza kumkubali Membe ni kwa kuwa anaonekana hayupo obsessed sana na urais na anataka kama kuupata aupate kwa njia sahihi ndio maana ata ahangaiki kununua watu kwa pesa na wala ahangaiki kuyanunua magazeti wala kununua watu wa kumpigia debe kama afanyavyo mwajiri wa Ocampo Four, Lowassa.

Maana katika nchi iliyokosa maadili kama inavyoelekea yetu, kwenye nchi ambayo uongozi unatafutwa na pesa, yet ahangaiki kuhonga wala kununua vyombo vya habari?wa hili atajijengea heshima sana maana ni nadra sana kufanyika.

Una uhakika na unayoyasema mkuu..... Kama hujui jaribu kufanya udadisi, acha kuropoka.......
 
Kazi anayojua Membe ni fitna na kuchafuana kwenye Mitandao lakini kazi yake aliyopewa jukumu hafanyi ndiyo maana balozi wa UK wamemnunua kwa kumpa Ganji ya zile pesa za kuuza Viza kisha watu hawapati viza na pesa hailudi na inaliwa na wajanja wakigawana na Membe.
 
Bernard Kamilius Membe ni waziri wa Mashauri ya Kigeni nchini Tanzania, ni mwanachama wa chama cha mapinduzi,

Historia ya Membe inaanzia mbali kidogo toka kusini mwa Tanzania katika mikono salama ya upadre, chini ya ukasisi wa Namupa Seminari.

Bernard Kamilius Membe kijana wa kati mwenye uso angavu akiketi dawati la Tatu kutoka kulia, alikuwa mtoto mwenye akili ya kawaida akiwa nyuma ya watoto wenye vipaji shuleni hapo, Kasisi Mariano anamueleza kama Bernard mvivu wakusimamiwa kila jambo,

Hayo ni ya Namupa Seminari na Itaga Seminari katika mapito yake kielimu. Bernard Membe kutoka Darasa la awali hadi High School yani kidato cha sita, hakuna mahali panapotaja uimara wake kiakili darasani wala hakuna tukio lolote la kishujaa la kukumbukwa, iwe katika mitiahani, michezo, uongozi shuleni ama sifa yoyote toka kwa wakufunzi wake.
Kwaujumla alikuwa ni mwanafunzi wa kawaida kabisa ambae hawezi kusonga mbele bila usimamizi wa walimu wake kinyume na wanafunzi wengine,

Mwaka 1978 Membe aliingia kwenye ajira ya serikali akihudumu Ofisi ya Rais Idara ya Usalama wa Taifa kitengo cha uchambuzi wa taarifa za kijasusi, Kazi hiyo amehudumu kwa mika kumi na mbili tu akahamishiwa Wizara ya Mashauri ya Kigeni na kwenda Ottawa Canada kuwa mshauri wa Kibalozi kutoka 1992-2000,

Utumishi wake ndani ya Idara ya Usalama haukuwa wa kutukuka na hakuna kumbukumbu lake na la mfano ndani ya idara kwa ujumla zaidi ya kuwa mmoja ya majasusi wa Tanzania waliopata mafunzo ya mda kuke Scotland Uk, Hakuna mission yoyote aliyowahi kupewa na akaifanya kwa ufanisi wenye kukubalika ndani ya Idara, anamshinda hata Eliamkim Maswi yule wa Escrow ambae yeye alipewa mission ya kuiua NCCR ya Mrema na akafanikiwa kwakujipenyeza mpaka kuwa mbeba mikoba wa Mrema enzi zile na kuizika NCCR MAGEUZI kabisa,

Mwaka 2000 aliingia kwenye siasa akawa Mbunge wa Jimbo la Mtama, nakisha tarehe 17/10/2006 hadi 1/11/2007 aliteuliwa kuwa naibu Waziri wa Nishati na Madini, na kisha 1/12/2007 mpaka sasa ni Waziri kamili wa Mashauri ya Kigeni,

Kulegalega kwa Diplomasia ya Tanzania kunatokana na udhaifu wa Bernard Membe katika wizara hii ya mashaiuri ya Kigeni, Diplomasia ya nchi imeshuka na sasa sio Tanzania ile yenye sauti ya UTU.

Katika kipiti cha utmishi wa Bernard Membe ndani ya Wizara taifa limeshuhudia migogoro mikubwa ya Kidiplomasia na mataifa ya kigeni, ambayo kimsingi ni ufinyu wa maarifa wa Bernard Membe katika kukabiliana nayo,

Mathalani Mgogoro na Malawi wa Ziwa Nyasa, Mgogoro na Rwanda, Mgogoro na Kenya, Mgorogoro na Uingeraza, Mgogoro na ummoja wa nchi wa Hisani wa Maendeleo za Ulaya,

Haya yote yametukia katika uongozi wa Bernard Membe katika wizara inayohusika na mashauri ya Kigeni, lakini hili linatokana na historia ya mtumishi huyu ambaye hajawahi kuwa kiongozi wala hajawahi kujiongoza yeye mwenyewe,

Je dhamana kubwa kabisa ya Urais wa Jamhuri anaweza ikiwa Wizara tu imemshinda?

Zingatia, Bernard Membe hajawahi kuwa kiongozi wa umma tangu AZALIWE 1953 mpaka 2000 alipoingia kwenye siasa, hivyo uongozi sio kipaji chake!

Nimesoma maelezo yako yooote, sijaona mahali umesema amechukua rushwa, amefilisi shirika, ameshindwa kutimiza wajibu. Hebu nyoosha maelezo AMEFELI KIVIPI?
 
Bernard Kamilius Membe ni waziri wa Mashauri ya Kigeni nchini Tanzania, ni mwanachama wa chama cha mapinduzi,

Historia ya Membe inaanzia mbali kidogo toka kusini mwa Tanzania katika mikono salama ya upadre, chini ya ukasisi wa Namupa Seminari.

Bernard Kamilius Membe kijana wa kati mwenye uso angavu akiketi dawati la Tatu kutoka kulia, alikuwa mtoto mwenye akili ya kawaida akiwa nyuma ya watoto wenye vipaji shuleni hapo, Kasisi Mariano anamueleza kama Bernard mvivu wakusimamiwa kila jambo,

Hayo ni ya Namupa Seminari na Itaga Seminari katika mapito yake kielimu. Bernard Membe kutoka Darasa la awali hadi High School yani kidato cha sita, hakuna mahali panapotaja uimara wake kiakili darasani wala hakuna tukio lolote la kishujaa la kukumbukwa, iwe katika mitiahani, michezo, uongozi shuleni ama sifa yoyote toka kwa wakufunzi wake.
Kwaujumla alikuwa ni mwanafunzi wa kawaida kabisa ambae hawezi kusonga mbele bila usimamizi wa walimu wake kinyume na wanafunzi wengine,

Mwaka 1978 Membe aliingia kwenye ajira ya serikali akihudumu Ofisi ya Rais Idara ya Usalama wa Taifa kitengo cha uchambuzi wa taarifa za kijasusi, Kazi hiyo amehudumu kwa mika kumi na mbili tu akahamishiwa Wizara ya Mashauri ya Kigeni na kwenda Ottawa Canada kuwa mshauri wa Kibalozi kutoka 1992-2000,

Utumishi wake ndani ya Idara ya Usalama haukuwa wa kutukuka na hakuna kumbukumbu lake na la mfano ndani ya idara kwa ujumla zaidi ya kuwa mmoja ya majasusi wa Tanzania waliopata mafunzo ya mda kuke Scotland Uk, Hakuna mission yoyote aliyowahi kupewa na akaifanya kwa ufanisi wenye kukubalika ndani ya Idara, anamshinda hata Eliamkim Maswi yule wa Escrow ambae yeye alipewa mission ya kuiua NCCR ya Mrema na akafanikiwa kwakujipenyeza mpaka kuwa mbeba mikoba wa Mrema enzi zile na kuizika NCCR MAGEUZI kabisa,

Mwaka 2000 aliingia kwenye siasa akawa Mbunge wa Jimbo la Mtama, nakisha tarehe 17/10/2006 hadi 1/11/2007 aliteuliwa kuwa naibu Waziri wa Nishati na Madini, na kisha 1/12/2007 mpaka sasa ni Waziri kamili wa Mashauri ya Kigeni,

Kulegalega kwa Diplomasia ya Tanzania kunatokana na udhaifu wa Bernard Membe katika wizara hii ya mashaiuri ya Kigeni, Diplomasia ya nchi imeshuka na sasa sio Tanzania ile yenye sauti ya UTU.

Katika kipiti cha utmishi wa Bernard Membe ndani ya Wizara taifa limeshuhudia migogoro mikubwa ya Kidiplomasia na mataifa ya kigeni, ambayo kimsingi ni ufinyu wa maarifa wa Bernard Membe katika kukabiliana nayo,

Mathalani Mgogoro na Malawi wa Ziwa Nyasa, Mgogoro na Rwanda, Mgogoro na Kenya, Mgorogoro na Uingeraza, Mgogoro na ummoja wa nchi wa Hisani wa Maendeleo za Ulaya,

Haya yote yametukia katika uongozi wa Bernard Membe katika wizara inayohusika na mashauri ya Kigeni, lakini hili linatokana na historia ya mtumishi huyu ambaye hajawahi kuwa kiongozi wala hajawahi kujiongoza yeye mwenyewe,

Je dhamana kubwa kabisa ya Urais wa Jamhuri anaweza ikiwa Wizara tu imemshinda?

Zingatia, Bernard Membe hajawahi kuwa kiongozi wa umma tangu AZALIWE 1953 mpaka 2000 alipoingia kwenye siasa, hivyo uongozi sio kipaji chake!

Mhemishimwa Bernad MEMBE tafadhali njoo hapa umjibu ndugu Nyerere. Hizi hoja ni nzito,zinahitaji ufafanusi wako ili watanzania tufanye maamuzi sahihi October 2015,
 
Last edited by a moderator:
Bernard Kamilius Membe ni waziri wa Mashauri ya Kigeni nchini Tanzania, ni mwanachama wa chama cha mapinduzi,

Historia ya Membe inaanzia mbali kidogo toka kusini mwa Tanzania katika mikono salama ya upadre, chini ya ukasisi wa Namupa Seminari.

Bernard Kamilius Membe kijana wa kati mwenye uso angavu akiketi dawati la Tatu kutoka kulia, alikuwa mtoto mwenye akili ya kawaida akiwa nyuma ya watoto wenye vipaji shuleni hapo, Kasisi Mariano anamueleza kama Bernard mvivu wakusimamiwa kila jambo,

Hayo ni ya Namupa Seminari na Itaga Seminari katika mapito yake kielimu. Bernard Membe kutoka Darasa la awali hadi High School yani kidato cha sita, hakuna mahali panapotaja uimara wake kiakili darasani wala hakuna tukio lolote la kishujaa la kukumbukwa, iwe katika mitiahani, michezo, uongozi shuleni ama sifa yoyote toka kwa wakufunzi wake.
Kwaujumla alikuwa ni mwanafunzi wa kawaida kabisa ambae hawezi kusonga mbele bila usimamizi wa walimu wake kinyume na wanafunzi wengine,

Mwaka 1978 Membe aliingia kwenye ajira ya serikali akihudumu Ofisi ya Rais Idara ya Usalama wa Taifa kitengo cha uchambuzi wa taarifa za kijasusi, Kazi hiyo amehudumu kwa mika kumi na mbili tu akahamishiwa Wizara ya Mashauri ya Kigeni na kwenda Ottawa Canada kuwa mshauri wa Kibalozi kutoka 1992-2000,

Utumishi wake ndani ya Idara ya Usalama haukuwa wa kutukuka na hakuna kumbukumbu lake na la mfano ndani ya idara kwa ujumla zaidi ya kuwa mmoja ya majasusi wa Tanzania waliopata mafunzo ya mda kuke Scotland Uk, Hakuna mission yoyote aliyowahi kupewa na akaifanya kwa ufanisi wenye kukubalika ndani ya Idara, anamshinda hata Eliamkim Maswi yule wa Escrow ambae yeye alipewa mission ya kuiua NCCR ya Mrema na akafanikiwa kwakujipenyeza mpaka kuwa mbeba mikoba wa Mrema enzi zile na kuizika NCCR MAGEUZI kabisa,

Mwaka 2000 aliingia kwenye siasa akawa Mbunge wa Jimbo la Mtama, nakisha tarehe 17/10/2006 hadi 1/11/2007 aliteuliwa kuwa naibu Waziri wa Nishati na Madini, na kisha 1/12/2007 mpaka sasa ni Waziri kamili wa Mashauri ya Kigeni,

Kulegalega kwa Diplomasia ya Tanzania kunatokana na udhaifu wa Bernard Membe katika wizara hii ya mashaiuri ya Kigeni, Diplomasia ya nchi imeshuka na sasa sio Tanzania ile yenye sauti ya UTU.

Katika kipiti cha utmishi wa Bernard Membe ndani ya Wizara taifa limeshuhudia migogoro mikubwa ya Kidiplomasia na mataifa ya kigeni, ambayo kimsingi ni ufinyu wa maarifa wa Bernard Membe katika kukabiliana nayo,

Mathalani Mgogoro na Malawi wa Ziwa Nyasa, Mgogoro na Rwanda, Mgogoro na Kenya, Mgorogoro na Uingeraza, Mgogoro na ummoja wa nchi wa Hisani wa Maendeleo za Ulaya,

Haya yote yametukia katika uongozi wa Bernard Membe katika wizara inayohusika na mashauri ya Kigeni, lakini hili linatokana na historia ya mtumishi huyu ambaye hajawahi kuwa kiongozi wala hajawahi kujiongoza yeye mwenyewe,

Je dhamana kubwa kabisa ya Urais wa Jamhuri anaweza ikiwa Wizara tu imemshinda?

Zingatia, Bernard Membe hajawahi kuwa kiongozi wa umma tangu AZALIWE 1953 mpaka 2000 alipoingia kwenye siasa, hivyo uongozi sio kipaji chake!

- Chini ya uwaziri wake Tanzania kwa mara ya kwanza tumefanikiwa kununua majengo yetu wenyewe ya ubalozi, katika nchi kama za USA, UN New York, Lusaka, Malawi na France kitendo ambacho kimelipunguzia taifa mzigo mkubwa wa gharama za kuendesha hizo ofisi, hizi siasa za urais zinakuwa na makengeza mpaka hata ukweli unauruka makusudi, hivi mkuu wewe si UKAWA sasa wagombea wa Urais CCM wanakuhusu vipi?

Le Mutuz
 
Acha papara. Umedai hapo awali kuwa "...hivyo uongozi sio kipaji chake (Membe)". Ulikuwa unamaanisha nini hapo? Kubali tu kuwa huna ufahamu wa kitu unachoongelea. Si wote humu ni watoto wa jana kama ulivyo.

Membe ni mtu hatari sana alikula njama na balozi wa Libya wakakomba pesa zote za Gadafi na kwenda kuzichimbia kwenye Mahandaki akijiandaa kuzitumia kuhonga aje kuwa Rais wa Tz, na baada ya kuzificha hizo pesa akala njama balozi akauawa kisha wakamshikisha bunguki na kuzuga kuwa kajiua huu Unyama aliufanya ili kuficha Ushahidi na iwe rahisi kuchukuchia pesa za Gadafi.
 
Mengi ni mtu hatari sana alikula njama na balozi wa Libya wakakomba pesa zote za Gadafi na kwenda kuzichimbia kwenye Mahandaki akijiandaa kuzitumia kuhonga aje kuwa Rais wa Tz, na baada ya kuzificha hizo pesa akala njama balozi akauawa kisha wakamshikisha bunguki na kuzuga kuwa kajiua huu Unyama aliufanya ili kuficha Ushahidi na iwe rahisi kuchukuchia pesa za Gadafi.

- Source ya huu umbeya wa siasa za majitaka? Duh!!

Le Mutuz
 
Membe ni mtu hatari sana alikula njama na balozi wa Libya wakakomba pesa zote za Gadafi na kwenda kuzichimbia kwenye Mahandaki akijiandaa kuzitumia kuhonga aje kuwa Rais wa Tz, na baada ya kuzificha hizo pesa akala njama balozi akauawa kisha wakamshikisha bunguki na kuzuga kuwa kajiua huu Unyama aliufanya ili kuficha Ushahidi na iwe rahisi kuchukuchia pesa za Gadafi.
Mkuu Minyoo edit hapo kdg, ni Membe not Mengi
 
Kiukweli ccm kiujumla haina kwa sasa viongozi ambao waataaminika kwa wtz mwenyewe uwezo wa kuona na kutambua chukua chako mapema mh
 
Eee bhana mkuu sijawahi kutilia shaka andiko lako hata siku moja , asante sana kwa kuendelea kuwaibua hawa jamaa .
 
Mkuu una haki ya kutoa mwazo yako kama bwana Nyerere. Ila uelewe kuwa pale kukosea kuhusu Uwaziri mdogo wa mambo ya nje badara ya ndani siyo issue kubwa. Hata serikali ukosea wakati inatoa baadhi ya taarifa zake.

Cha msingi ni kufanya arguments zenye mshiko katika mambo unayaona siyo ya kweli kuhusu Mhs Membe.
 
Mkuu Minyoo edit hapo kdg, ni Membe not Mengi

Aminia pole nina Usongo na Membe hadi nimejisahau kwa kweli Membe ni janga la kitaifa, Ufisadi wake juu ya pesa za Viza pale Ubalozi wa UK upo wazi sasa, kumbe ile pesa ambazo watu hulipia kuomba viza ilitakiwa iwe inaludishwa pindi mtu akikosa Viza, lakini wamesema Membe hupewa mgao wake ndiyo maana wakosa viza kwenda UK wameongezeka na pesa zao zimekwenda Tumboni kwa Membe.
 
Mengi ni mtu hatari sana alikula njama na balozi wa Libya wakakomba pesa zote za Gadafi na kwenda kuzichimbia kwenye Mahandaki akijiandaa kuzitumia kuhonga aje kuwa Rais wa Tz, na baada ya kuzificha hizo pesa akala njama balozi akauawa kisha wakamshikisha bunguki na kuzuga kuwa kajiua huu Unyama aliufanya ili kuficha Ushahidi na iwe rahisi kuchukuchia pesa za Gadafi.

Mengi au Membe? Nani ni nani? Mmejichanga au mnafanya kwa makusudi?
 
Wapambe wa MEMBE mapovu yanawatoka ovyoo midomoni mwenu.

Mtu wenu hauziki.
Ushahidi upo,Kizota Dodoma ni familia ya Kikwete ndio ilimnusuru na Aibu ya Karne.
 
Back
Top Bottom