Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

halafu mbona tunasikia alibadilisha dini na kuwa mwislam??
 
Umeongea kiusahihi kabisa, nobody should waste his or her precious time in responding to a post posted by a bipolar or a character of the like.
Let's put the fact that Yericko may be working for someone and concentrate on his thread. On what grounds are you disagreeing with what his thread has pointed out?
 
Huo ndio ukweli mkuu

Una uhakika na unayoyasema mkuu..... Kama hujui jaribu kufanya udadisi, acha kuropoka.......

Ningejuaje kuwa wewe ni miongoni mwa waajiriwa wa mtandaoni?Membe kwa nafasi yake angeweza kabisa kununua magazeti na kuwanunua waandishi na kuajiri watu kama mlivyoajiriwa nyie kupiga debe, lakini hafanyi hivyo.Na hiyo ni heshima sana kwake na ni ishara kuwa yawezekana anafahamu kuwa sio sahihi kuutafuta uraisi kwa uhalifu.
 






SEHEMU YA MAKALA YA PROF KITILA...https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mafanikio-na-utata-wa-membe-kidiplomasia.html
..........................................................................................................................................................
Kikazi, tunaweza kusema Membe ni mtu aliyekulia katika ushoroba wa madaraka (power corridors).

Mara baada ya kumaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa, Membe aliajiriwa kufanya kazi katika ofisi ‘nyeti’ ya Rais. Na hata baada ya kuhitimu masomo yake ya shahada ya kwanza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alirudi kuendelea na kazi yake ya ukachero
na hivyo kushindwa kuchukua kazi aliyokuwa amepewa ya uhadhiri msaidizi katika Chuo hicho.

Membe alipanda ngazi na hata kuwa msaidizi wa waliopata kuwa wakurugenzi wakuu wa Idara nyeti ya Usalama wa Taifa, Dk. Hans Kitine na Apson Mwang’onda.

Baada ya kumaliza masomo ya Shahada ya Uzamiri katika Chuo Kikuu cha John Hopkins nchini Marekani, Membe hakurudi tena kufanya kazi Ikulu bali alipelekwa ubalozi wa Tanzania nchini Canada kama Mwambata wa Ubalozi (Minister Plenipotentiary), akichukua nafasi ya Dk. Augustine Mahiga akiyekuwa amehamishiwa Umoja wa Mataifa.
.............................................................................................................................................................

MyTake: Sasa bahati mbaya yawezekana Yericko huko chuo kikuu labda hujafika,
ebu ulizia hapo Mlimani ni wanafunzi gani amabo uwa wanapewa nafasi ya kubakia chuo kuwa Wahadhiri Wasaidizi??kwa hatua hiyo ya chuo kikuu cha Dar es Salaam kutaka kumbakiza abaki chuo kufundisha ni wazi kuwa alikuwa anajiweza sana darasani kwake.

Sasa huenda hujaelewa logic ya makala yangu, hebu soma tena mkuu, utaona
 
Ningejuaje kuwa wewe ni miongoni mwa waajiriwa wa mtandaoni?Membe kwa nafasi yake angeweza kabisa kununua magazeti na kuwanunua waandishi na kuajiri watu kama mlivyoajiriwa nyie kupiga debe, lakini hafanyi hivyo.Na hiyo ni heshima sana kwake na ni ishara kuwa yawezekana anafahamu kuwa sio sahihi kuutafuta uraisi kwa uhalifu.

Yawezekana we ni mgeni au hujui yanayoendelea humu ndani.... Vijana wa Membe wako tele kuna wakina Lizaboni, Chabruma Hotlady, kasesela, nk....... Jaribu kuperuz post za nyuma mkuu.....
 
Mimi binafsi nilisha mdiskolifai yericko nyerere kama mwandishi wa habari.

Nimesoma makala zake nyingi sana mwishowe nikahitimisha kua hakuna jipya zaidi ya uzushi na mambo ya kutunga tunga.

Unahitaji kua huna akili timamu kumchukulia yericko kama mwandishi wa habari.
 
Huo ndio ukweli mkuu

Ni kuchanganya tu, alimaanisha Membe... Kwa wanaoelewa haraka tulimwelewa....

Sio kuelewa haraka, mliopewa hilo desa...tatizo wenzenu kichwa chake kizito.

Nimekumbuka enzi za utoto tunatumwa kwenda dukani, unaambiwa kanunue chumvi sasa ili usisahau..unaenda dukani huku ukiimba chumvi...chumvi...chumvi...mara umehamia chungwa....unaenda dukani unaulizia chungwa...ndicho kilichompa mwenzenu, kaambiwa Memmbe basi kaimbaaa Membe...Membe...Membe kaishia Mengi...taabu kwelikweli.

Mtatumika sana vijana.
 
usipoteze muda kumjibu Yericko! Ni mpika uongo aliye kubuhu ana julikana.
 
mbona umejumuisha migogoro ambayo ipo tangu enzi za mwalimu? ni heri ungesema membe ameshindwa itatua migogoro hiyo kama mawaziri waliopita...

Kabla ya yeye kushika wizara hatukuona mitafaruku hii
Hii kazi Yericko leo imekushinda, lakini hopeful waajiri wako watakupa next chance.

Maana kama Membe ndio kaanzisha mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi basi unahitaji kwenda Mirembe haraka sana.

Au nikupe kidogo benefit of doubt..ebu sema kwa maoni yako kwenye mgogoro ule wa Tanzania na Malawi, Tanzania imekosea kitu gani kwa jinsi ilivyodeal na mgogoro ule??tuanzie hapa.
 
Trust, trust trust....ndio gundi inayounganisha watu kwenye maisha
 
hii ndo shida ya kupiga voroba tangu asubuhi..........madhara yake zinakuja thread za mazingaombwe kama hizi
 
Sasa huenda hujaelewa logic ya makala yangu, hebu soma tena mkuu, utaona

Labda kama hujaandika wewe hili bandiko hivyo hujalisoma mwenyewe na kulielewa.

Kwa kukusaidia kwa kuweka hoja ya alivyokuwa darasani kimasomo maana yake unajenga hoja kuwa Membe darasani alikuwa na uwezo mdogo sana, aka kilaza, kama ulivyosema wewe hapo
"
hakuna mahali panapotaja uimara wake kiakili darasani wala hakuna tukio lolote la kishujaa la kukumbukwa, iwe katika mitiahani, michezo, uongozi shuleni ama sifa yoyote toka kwa wakufunzi wake.
Kwaujumla alikuwa ni mwanafunzi wa kawaida kabisa ambae hawezi kusonga mbele bila usimamizi wa walimu wake kinyume na wanafunzi wengine"
.

Hivyo kwa hoja hiyo ndio maana nimekuuliza "HIVI MTU HUYO MWENYE UWEZO MDOGO SANA DARASANI KULINGANA NA WENZAKE YET YEYE HUYO DHAIFU ATAKIWE ABAKI CHUO AFUNDISHE?", kwa tuliopitia pale tunatambua nafasi hiyo upewa wanafunzi walio juu zaidi kimasomo katika darasa husika.



SEHEMU YA MAKALA YA PROF KITILA...https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mafanikio-na-utata-wa-membe-kidiplomasia.html
..........................................................................................................................................................
Kikazi, tunaweza kusema Membe ni mtu aliyekulia katika ushoroba wa madaraka (power corridors).

Mara baada ya kumaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa, Membe aliajiriwa kufanya kazi katika ofisi ‘nyeti' ya Rais. Na hata baada ya kuhitimu masomo yake ya shahada ya kwanza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alirudi kuendelea na kazi yake ya ukachero
na hivyo kushindwa kuchukua kazi aliyokuwa amepewa ya uhadhiri msaidizi katika Chuo hicho.

Membe alipanda ngazi na hata kuwa msaidizi wa waliopata kuwa wakurugenzi wakuu wa Idara nyeti ya Usalama wa Taifa, Dk. Hans Kitine na Apson Mwang'onda.

Baada ya kumaliza masomo ya Shahada ya Uzamiri katika Chuo Kikuu cha John Hopkins nchini Marekani, Membe hakurudi tena kufanya kazi Ikulu bali alipelekwa ubalozi wa Tanzania nchini Canada kama Mwambata wa Ubalozi (Minister Plenipotentiary), akichukua nafasi ya Dk. Augustine Mahiga akiyekuwa amehamishiwa Umoja wa Mataifa.
.............................................................................................................................................................

MyTake: Sasa bahati mbaya yawezekana Yericko huko chuo kikuu labda hujafika,
ebu ulizia hapo Mlimani ni wanafunzi gani amabo uwa wanapewa nafasi ya kubakia chuo kuwa Wahadhiri Wasaidizi??kwa hatua hiyo ya chuo kikuu cha Dar es Salaam kutaka kumbakiza abaki chuo kufundisha ni wazi kuwa alikuwa anajiweza sana darasani kwake.
 
halafu mbona tunasikia alibadilisha dini na kuwa mwislam??

Hii kama niliishawahi kuikia before, the same old trick, wakati ule walisema Mzee Malechela amesilimu na kuwa na jina la Jumanne.
 
Yawezekana we ni mgeni au hujui yanayoendelea humu ndani.... Vijana wa Membe wako tele kuna wakina Lizaboni, Chabruma Hotlady, kasesela, nk....... Jaribu kuperuz post za nyuma mkuu.....

Na vijana wa Lowassa ni akina nani Mkuu?ebu tuwajue basi hao wote ili post zozote ikitoka tupuuze tu tukijua watu walio tayari kwenye KUNDI hawana moral authority ya kujadili maana wataongozwa tu na chuki binafsi.

Nilikuweka kundi hilo kwa sababu kila palipo na Lowassa hukosekani, lazima uwepo kukandamizia walio tishio au kufagilia mhusika...; otherwise peace mkuu.
 
Bernard Kamilius Membe ni waziri wa Mashauri ya Kigeni nchini Tanzania, ni mwanachama wa chama cha mapinduzi,

Historia ya Membe inaanzia mbali kidogo toka kusini mwa Tanzania katika mikono salama ya upadre, chini ya ukasisi wa Namupa Seminari.

Bernard Kamilius Membe kijana wa kati mwenye uso angavu akiketi dawati la Tatu kutoka kulia, alikuwa mtoto mwenye akili ya kawaida akiwa nyuma ya watoto wenye vipaji shuleni hapo, Kasisi Mariano anamueleza kama Bernard mvivu wakusimamiwa kila jambo,

Hayo ni ya Namupa Seminari na Itaga Seminari katika mapito yake kielimu. Bernard Membe kutoka Darasa la awali hadi High School yani kidato cha sita, hakuna mahali panapotaja uimara wake kiakili darasani wala hakuna tukio lolote la kishujaa la kukumbukwa, iwe katika mitiahani, michezo, uongozi shuleni ama sifa yoyote toka kwa wakufunzi wake.
Kwaujumla alikuwa ni mwanafunzi wa kawaida kabisa ambae hawezi kusonga mbele bila usimamizi wa walimu wake kinyume na wanafunzi wengine,

Mwaka 1978 Membe aliingia kwenye ajira ya serikali akihudumu Ofisi ya Rais Idara ya Usalama wa Taifa kitengo cha uchambuzi wa taarifa za kijasusi, Kazi hiyo amehudumu kwa mika kumi na mbili tu akahamishiwa Wizara ya Mashauri ya Kigeni na kwenda Ottawa Canada kuwa mshauri wa Kibalozi kutoka 1992-2000,

Utumishi wake ndani ya Idara ya Usalama haukuwa wa kutukuka na hakuna kumbukumbu lake na la mfano ndani ya idara kwa ujumla zaidi ya kuwa mmoja ya majasusi wa Tanzania waliopata mafunzo ya mda kuke Scotland Uk, Hakuna mission yoyote aliyowahi kupewa na akaifanya kwa ufanisi wenye kukubalika ndani ya Idara, anamshinda hata Eliamkim Maswi yule wa Escrow ambae yeye alipewa mission ya kuiua NCCR ya Mrema na akafanikiwa kwakujipenyeza mpaka kuwa mbeba mikoba wa Mrema enzi zile na kuizika NCCR MAGEUZI kabisa,

Mwaka 2000 aliingia kwenye siasa akawa Mbunge wa Jimbo la Mtama, nakisha tarehe 17/10/2006 hadi 1/11/2007 aliteuliwa kuwa naibu Waziri wa Nishati na Madini, na kisha 1/12/2007 mpaka sasa ni Waziri kamili wa Mashauri ya Kigeni,

Kulegalega kwa Diplomasia ya Tanzania kunatokana na udhaifu wa Bernard Membe katika wizara hii ya mashaiuri ya Kigeni, Diplomasia ya nchi imeshuka na sasa sio Tanzania ile yenye sauti ya UTU.

Katika kipiti cha utmishi wa Bernard Membe ndani ya Wizara taifa limeshuhudia migogoro mikubwa ya Kidiplomasia na mataifa ya kigeni, ambayo kimsingi ni ufinyu wa maarifa wa Bernard Membe katika kukabiliana nayo,

Mathalani Mgogoro na Malawi wa Ziwa Nyasa, Mgogoro na Rwanda, Mgogoro na Kenya, Mgorogoro na Uingeraza, Mgogoro na ummoja wa nchi wa Hisani wa Maendeleo za Ulaya,

Haya yote yametukia katika uongozi wa Bernard Membe katika wizara inayohusika na mashauri ya Kigeni, lakini hili linatokana na historia ya mtumishi huyu ambaye hajawahi kuwa kiongozi wala hajawahi kujiongoza yeye mwenyewe,

Je dhamana kubwa kabisa ya Urais wa Jamhuri anaweza ikiwa Wizara tu imemshinda?

Zingatia, Bernard Membe hajawahi kuwa kiongozi wa umma tangu AZALIWE 1953 mpaka 2000 alipoingia kwenye siasa, hivyo uongozi sio kipaji chake!

Ndugu yangu YERIKO NYERERE
kadiri unavyozidi kuleta thread zako ndivyo unavyoharibu image yako hapa JF. mimi ni mwenzako kiitikadi lakini,kuna vitu huwa sikukubali hata kidogo,Lengo la andiko lako kumkashifu Membe halina maana,Namupa Seminary yenyewe huijui,unasikia tu,aliyeanzisha Namupa Seminary humfahamu una depend kwenye hearsay oh ! mara dawati la tatu toka wapi? kwa nani? kwa nani? halafu huyo padre unayemtaja Mariano sijui wa wapi Lindi hatuna padre huyo wala kama alikuwa ni Mbenediktini mmisionari hayupo tena,Kifupi wewe ni muongo hujui chochote kuhusu membe hasa maisha yake ya Useminari Namupa! Fanya tafiti kwanza halafu uje na data za maana.

Matamko aliyoyatoa Membe juu ya mgogoro wa Rwanda,Malawi ziwa nyasa ni sawa,angenyamaza kimyaa ungekuwa wa kwanza kupiga kelele,mimi sifurahii kuona rais wa nchi anatukanwa na Nchi fulani,hata kama rais huyo anatoka chama tofauti na nachokipenda,Rais ni wa wote kama taifa bila kujali chama.

Kifupi ulichoandika kuhusu mheshimiwa Benard Membe ni upuuzi uliopitiliza.Membe ndani ya chama chake ni mmoja ya watu wenye rekodi safi kabisa.

Angekuwa hana uwezo asingeweza kudumu usalama kwa miaka mingi hivyo.Asingepewa wizara nyeti kama hiyo.Tupende tusipende Membe ni kachero na Mwanadiplomasia Mbobezi hapa TZ.

Siku nyingine jaribu kushirikisha ubongo wako unaporusha uzi hapa.
 
- Hivi kweli mkuu ulihitaji kumjibu mtu anayetumwa tumwa kila siku kuchafua wanasiasa kwenye mitandao? Alisema Bunge la katiba linavunjwa na halikuvunjwa toka pale huwa siamini anything anachosema huwa anatumwa na wanasiasa kumjibu ni kumpa ujiko wa bure mkuu nex time ni kumjibu kwenye thread yake, kumjibu like this unampa ujiko wa bure mkuu sasa kweli gazeti la mawio unaweza kulihesabu kuwa ni gazeti ofisi zake zipo wapi kama sio mtaani, please!!

Le Mutuz

Mkuu wangu balozi wa heshima wa NBC bado unatutwa hapa
 
Back
Top Bottom