Naona uvivu kujibu post yako coz' uliyoandika yote ni irrelevant materials! Badala ya hoja yako kumwelekezea NasDaz naona unaanza personal attacks kwa kumuonesha NasDaz ndie Membe... !! Do you believe nina sababu ya kujibu post kama hii?Afadhali umekuja mwenyewe Membe aka NasDaz! Joka la Mdimu ameweza kuwafitinisha hadi wabunge wa Mtwara! Ilikuwaje Investment zake hazikuguswa wakati ule wa vurugu za wanamtwara? Ulimsikia Anna Abdallah alivyoweka bayana Fitna zako Membe? Abuazizi aliekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa mlikosana kwa sababu gani? Hivi fitna za Kiwanda ni Unafiq mwingine unaojaribu kuwapandikizia watanzania! Wote tunajua jinsi ambavyo Mudhihir alivyokuwa anapigania mkoa wa Lindi kiasi cha kutoa hata tafsi ya CCM kuhusiana na Lindi kuwa ni Tundu la Choo !!! Haukuishia hapo bali ulifanikiwa kumuandalia ajali iliyopelekea kukatwa mkono! R.I.P Salome Mbatia... Hakika Damu za Watanzania zitakurudi tu ... R.I.P Mvungi et al ... Jitihada zako za kuwania urais kwa kuwafitini wenzako haitafanikiwa! Ungekuwa smart ungeanza kwanza kupata uungwaji mkono kutoka kwa wanakusini wenzako badala ya kuwafitinisha... Kumbuka maneno ya Anna Abdallah kuwa 'Watanzania si wajinga eti katika kipindi kifupi Rais atoke kanda moja" ... Fedha za Ghadafi zitaisha, Fitna zako ziko hadharani sasa, JK amekushtukia, soon familia yake nayo itakutosa tu... Kwenye medani za kimataifa umeshindwa kabisa ku-deliver!! Tunapigwa mkwara kila upande wa nchi! Wakenya sasa wanalazimisha kufanya utalii Serengeti bila tozo, tulipowakatalia wamekuja na mbinu nyingine ya kuua Precision Air na sasa wanatoza nauli kubwa Dar - Nairobi. PK ana nguruma ....
Last edited by a moderator: