Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

Uchaguzi 2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

Afadhali umekuja mwenyewe Membe aka NasDaz! Joka la Mdimu ameweza kuwafitinisha hadi wabunge wa Mtwara! Ilikuwaje Investment zake hazikuguswa wakati ule wa vurugu za wanamtwara? Ulimsikia Anna Abdallah alivyoweka bayana Fitna zako Membe? Abuazizi aliekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa mlikosana kwa sababu gani? Hivi fitna za Kiwanda ni Unafiq mwingine unaojaribu kuwapandikizia watanzania! Wote tunajua jinsi ambavyo Mudhihir alivyokuwa anapigania mkoa wa Lindi kiasi cha kutoa hata tafsi ya CCM kuhusiana na Lindi kuwa ni Tundu la Choo !!! Haukuishia hapo bali ulifanikiwa kumuandalia ajali iliyopelekea kukatwa mkono! R.I.P Salome Mbatia... Hakika Damu za Watanzania zitakurudi tu ... R.I.P Mvungi et al ... Jitihada zako za kuwania urais kwa kuwafitini wenzako haitafanikiwa! Ungekuwa smart ungeanza kwanza kupata uungwaji mkono kutoka kwa wanakusini wenzako badala ya kuwafitinisha... Kumbuka maneno ya Anna Abdallah kuwa 'Watanzania si wajinga eti katika kipindi kifupi Rais atoke kanda moja" ... Fedha za Ghadafi zitaisha, Fitna zako ziko hadharani sasa, JK amekushtukia, soon familia yake nayo itakutosa tu... Kwenye medani za kimataifa umeshindwa kabisa ku-deliver!! Tunapigwa mkwara kila upande wa nchi! Wakenya sasa wanalazimisha kufanya utalii Serengeti bila tozo, tulipowakatalia wamekuja na mbinu nyingine ya kuua Precision Air na sasa wanatoza nauli kubwa Dar - Nairobi. PK ana nguruma ....
Naona uvivu kujibu post yako coz' uliyoandika yote ni irrelevant materials! Badala ya hoja yako kumwelekezea NasDaz naona unaanza personal attacks kwa kumuonesha NasDaz ndie Membe... !! Do you believe nina sababu ya kujibu post kama hii?
 
Last edited by a moderator:
Ukweli upi unaousimamia? Ninachokiona hapo umeenda kule Wikipedia ukasoma historia ya Membe then ukaingiza Umbea wako
Mi ni mtetezi wa wasema kweli na ukweli hupimwa kwa aina ya vyanzo vya habari na viambatanishi vya kuelezea ukweli wenyewe. Kwa mfano unatupatia taarifa zake za Nampa na Itaga na hakuna 'supporting documents' za kadi yake ya maendeleo kudhihirisha hilo ulilolisema. Kwa hivyo nahisi ni kama taarifa za kuungaunga au za kusikia bila kuwa na hakika nazo. Kwa Tanzania kama alikaa Ikulu miaka yote hiyo 12 na akichambua taarifa za kijasusi kama ulivyosema na akaifanya kwa ufanisi nadhani anaweza kuwa wa maana. Hivi mtu kupewa mission ni hiyo tu ya kwenda kuua NCCR kama mmoja alivyotueleza hapa? Mi nadhani mtu akifanya kazi aliyokabidhiwa kwa uagalifu na uaminifu na kuifanya kwa muda si mbaya kama tunavyotaka kudhani. Najua kipindi hiki cha kutafuta rais wa Tanzania tunapaswa kusikia mengi, ila tuwe wakweli na pale anapostahili mtu apewe iliyo stahili yake kama ni sifa au kinyume chake almradi ukweli ndo utawale kuliko fitna na propaganda za makundi ya wasaka tonge la urais. Kwa kutokueleza ukweli tunawanyima wana jamii uhalali na ukweli wa habari ili waweze kufanya uamzi sahihi juu ya nini kifanywe kuelekea uchaguzi wa mwaka huu.
 
Mi ni mtetezi wa wasema kweli na ukweli hupimwa kwa aina ya vyanzo vya habari na viambatanishi vya kuelezea ukweli wenyewe. Kwa mfano unatupatia taarifa zake za Nampa na Itaga na hakuna 'supporting documents' za kadi yake ya maendeleo kudhihirisha hilo ulilolisema. Kwa hivyo nahisi ni kama taarifa za kuungaunga au za kusikia bila kuwa na hakika nazo. Kwa Tanzania kama alikaa Ikulu miaka yote hiyo 12 na akichambua taarifa za kijasusi kama ulivyosema na akaifanya kwa ufanisi nadhani anaweza kuwa wa maana. Hivi mtu kupewa mission ni hiyo tu ya kwenda kuua NCCR kama mmoja alivyotueleza hapa? Mi nadhani mtu akifanya kazi aliyokabidhiwa kwa uagalifu na uaminifu na kuifanya kwa muda si mbaya kama tunavyotaka kudhani. Najua kipindi hiki cha kutafuta rais wa Tanzania tunapaswa kusikia mengi, ila tuwe wakweli na pale anapostahili mtu apewe iliyo stahili yake kama ni sifa au kinyume chake almradi ukweli ndo utawale kuliko fitna na propaganda za makundi ya wasaka tonge la urais. Kwa kutokueleza ukweli tunawanyima wana jamii uhalali na ukweli wa habari ili waweze kufanya uamzi sahihi juu ya nini kifanywe kuelekea uchaguzi wa mwaka huu.

Mkuu huyo unayebishana nae alishakula yamini ya kutetea ccm na uovu wake,
 
Yanafumuliwa na ambayo hayakujulikana,

Membe ametumia Pesa nyingi sana kuwachafua wenzake huku kijijini kwao ndugu zake na Ukoo wake wakitaabika kwa Ufukara wa kutisha, huduma za Jamii ni Duni sana Jimboni kwake, Membe ni mtu Mbinafsi na Mchoyo hata pesa za Gadafi kazichukuchia peke yake baada baada ya kumteketeza balozi wa Libya ili afiche ushahidi. Membe ni Fisadi mkubwa pesa za Viza pale Ubalozi wa UK anapewa Mgao ndiyo maana watu wengi wanakosa Viza na pesa zao zinaliwa bure, viza ya Uingereza ni mladi wa Membe na wenzake, Ufisadi mwingine upo kwenye Ununuzi wa nyumba za balozi huko nje Membe kaweka cha juu hata bei waliyonunulia hizo nyumba ni ya juu na inatia shaka, Membe ni mtu hatari hafai hata kuwa Mwenyekiti wa kitongoji.
 
Membe alibuni na kuasisi mbinu za kuwachafua wengine na alifanikiwa sana kabla watu hawajamjua cha Ajabu eti baada ya kusomewa madhambi yake wapambe wake wanaanza kuchachawa ! Tulieni boss wenu Membe na nyie wenyewe mchomwe Sindano za kuwatibu maradhi ya kukariri kuwa Membe ni MUNGU hana Dhambi na kila analosema linatoka Mbinguni. Nendeni mkamwambie Membe pesa za Gadafi na Laana ya marehemu balozi wa Libya Vinatosha kumnyima sifa na nafasi ya kugombea Urais , Ufisadi pesa za Viza Ubalozi wa UK , pesa za Ununuzi nyumba za balozi nje ya Nchi, chenji ya Rada, BAE, pesa za Kasima Wizara ya mambo ya nje na madili mengine kibao ambayo yanawekwa Kiporo kama Siraha za Akiba pindi Membe akiendelea na Tabia yake Mbovu ya kuwachafua wenzake.

mpaka sasa ccm,membe ni mtu mwenye rekodi safi iliyotukuka,ndo maana jamaa mnamchafua kabla hata hajatmka kuwa atagombea uraisi.Mnaposikia jina la membe tu,mavi yanaanza kugonga C.H.U.P.I yanarudi!
kama ndivyo leta concrete evidence! yeye ni mtu mwenye uwezo wa kupambana na UKAWA !
 
Hiyo pesa ya BAE system Membe kaipiga, pesa za Gadafi kapiga, pesa kununua nyumba za balozi nje ya Nchi kapiga, pesa za Viza kwenye Ubalozi wa UK nazo anazipiga ana percent zake kila balozi hapa Nchini, Membe ni bonge la mwizi hafai hata kidogo, Wakiletwa FBI toka USA wamchunguze nina hakika atafungwa jela hata miaka 100 kwani ana Madhambi Mengi hakuna mfano.

Chenge,tibaijuka,to mention few,hao ndio walipaswa wawe jela! Usalma wa taifa wako wapi?
 
mpaka sasa ccm,membe ni mtu mwenye rekodi safi iliyotukuka,ndo maana jamaa mnamchafua kabla hata hajatmka kuwa atagombea uraisi.Mnaposikia jina la membe tu,mavi yanaanza kugonga C.H.U.P.I yanarudi!
kama ndivyo leta concrete evidence! yeye ni mtu mwenye uwezo wa kupambana na UKAWA !

Nani anamchafua Membe? Membe hachafuliwi bali Watu Wanasema Ukweli Mtupu! Yeye Membe ndiye anawachafua watu, Membe ni bingwa Mtetezi wa kuchafua watu ( mkuki kwa nguruwe) kumbe alidhani watu hawajui Madhambi yake? Wewe inaelekea umekunywa Mkojo wa Membe na kukariri kuwa Membe ni Mungu kila analikulisha linatoka Mbinguni.
 
Membe hata Akigombea Urais na KIVULI watu watakipigia KIVULI kura na kushangaza Ulimwengu, Membe hana mvuto hata Sauti yake huzungumza kama ananong'oneza mtu hana sauti ya Kiume, sauti ya kumtoa Cobra shimoni hana, ni mtu wa Visasi na fisadi mkubwa na Mnafki wa karne.
 
Angekuwa kilaza kama unavyotuaminisha asingekuwa mchambuzi wa mambo ya usalama au analyst kwa kimombo. Wanausalama wa kipindi hicho wanasifika kwa weledi. Hakuna hoja yoyote hapa.

Acha uongo miaka hiyo wasomi walikuwa wachache hivyo kazi zilikuwa nyingi kuliko wasomi waliokuwepo wakati huo.

Kwenye makala ya Mkumbo alisema Membe form six alipata matokeo hafifu lakini kumbuka Membe aliajiriwa na idara hiyo akiwa hajaanza masomo ya elimu ya juu. Maana yake alipata kazi kwenye idara hiyo na matokeo yake hafifu.

Kuwa mchambuzi wa masuala ya kijasusi ndo yalikuwa majukumu yake ambayo siyo lazima kuwa yalihitaji mtu mwenye uelewa wa hali ya juu sana.

Kwa wanaoelewa unaweza kujiita accountant kumbe kazi zako ni kuandika vocha ama kufanya kazi za cashier kitu ambacho hakihitaji ufahamu wa juu wa masuala ya uhasibu.

So inaweza kazi zake kama kwa nafasi ya mchambuzi ikawa ni kupanga mafail kulingana na nature ya cases presented ili kuwarahisishia na seniors kazi za uchambuzi, just mfano, usijenipiga mawe bure.
 
Acha uongo miaka hiyo wasomi walikuwa wachache hivyo kazi zilikuwa nyingi kuliko wasomi waliokuwepo wakati huo.

Kwenye makala ya Mkumbo alisema Membe form six alipata matokeo hafifu lakini kumbuka Membe aliajiriwa na idara hiyo akiwa hajaanza masomo ya elimu ya juu. Maana yake alipata kazi kwenye idara hiyo na matokeo yake hafifu.

Kuwa mchambuzi wa masuala ya kijasusi ndo yalikuwa majukumu yake ambayo siyo lazima kuwa yalihitaji mtu mwenye uelewa wa hali ya juu sana.

Kwa wanaoelewa unaweza kujiita accountant kumbe kazi zako ni kuandika vocha ama kufanya kazi za cashier kitu ambacho hakihitaji ufahamu wa juu wa masuala ya uhasibu.

So inaweza kazi zake kama kwa nafasi ya mchambuzi ikawa ni kupanga mafail kulingana na nature ya cases presented ili kuwarahisishia na seniors kazi za uchambuzi, just mfano, usijenipiga mawe bure.

KWa hiyo unataka kusemaje?
 
KWa hiyo unataka kusemaje?

Acha uongo miaka hiyo wasomi walikuwa wachache hivyo kazi zilikuwa nyingi kuliko wasomi waliokuwepo wakati huo.

Kwenye makala ya Mkumbo alisema Membe form six alipata matokeo hafifu lakini kumbuka Membe aliajiriwa na idara hiyo akiwa hajaanza masomo ya elimu ya juu. Maana yake alipata kazi kwenye idara hiyo na matokeo yake hafifu.

Kuwa mchambuzi wa masuala ya kijasusi ndo yalikuwa majukumu yake ambayo siyo lazima kuwa yalihitaji mtu mwenye uelewa wa hali ya juu sana.

Kwa wanaoelewa unaweza kujiita accountant kumbe kazi zako ni kuandika vocha ama kufanya kazi za cashier kitu ambacho hakihitaji ufahamu wa juu wa masuala ya uhasibu.

So inaweza kazi zake kama kwa nafasi ya mchambuzi ikawa ni kupanga mafail kulingana na nature ya cases presented ili kuwarahisishia na seniors kazi za uchambuzi, just mfano, usijenipiga mawe bure.

Kuwa acha uongo!
 
Acha uongo miaka hiyo wasomi walikuwa wachache hivyo kazi zilikuwa nyingi kuliko wasomi waliokuwepo wakati huo.

Kwenye makala ya Mkumbo alisema Membe form six alipata matokeo hafifu lakini kumbuka Membe aliajiriwa na idara hiyo akiwa hajaanza masomo ya elimu ya juu. Maana yake alipata kazi kwenye idara hiyo na matokeo yake hafifu.

Kuwa mchambuzi wa masuala ya kijasusi ndo yalikuwa majukumu yake ambayo siyo lazima kuwa yalihitaji mtu mwenye uelewa wa hali ya juu sana.

Kwa wanaoelewa unaweza kujiita accountant kumbe kazi zako ni kuandika vocha ama kufanya kazi za cashier kitu ambacho hakihitaji ufahamu wa juu wa masuala ya uhasibu.

So inaweza kazi zake kama kwa nafasi ya mchambuzi ikawa ni kupanga mafail kulingana na nature ya cases presented ili kuwarahisishia na seniors kazi za uchambuzi, just mfano, usijenipiga mawe bure.
Ebu weka hiyo source ya matokeo ya Membe, maana nimeisoma ile ya Kitila kuhusu elimu anazungumzia kuwa Membe alitakiwa kubaki kufundisha chuo kikuu Dar es Salaam lakin akatakiwa na Serikali aende Canada Ubalozini.

Ebu weka hiyo source ya matokeo ya form 6 kabla hatujaendelea.
 
Ebu weka hiyo source ya matokeo ya Membe, maana nimeisoma ile ya Kitila kuhusu elimu anazungumzia kuwa Membe alitakiwa kubaki kufundisha chuo kikuu Dar es Salaam lakin akatakiwa na Serikali aende Canada Ubalozini.

Ebu weka hiyo source ya matokeo ya form 6 kabla hatujaendelea.

Mkuu rudia kusoma upya hiyo story ya Kitila, form four alifanya vizuri, form six alipata matokeo hafifu na chuo alifanya vizuri kiasi kwamba alipewa barua ya ajira kufundisha UDSM.
Source: Prof Kitila Mkumbo.
 
hilo la Membe kufukuzwa kazi Usalama wa Taifa limenitisha sana. sasa akiwa rais itabidi alipize kisasi kwa former spies au itakuwaje?

Tuoeni details zaidi za yeye kufukuzwa TISS
 
Back
Top Bottom