Yote yanawezekana ila ni kwa vile tu weupe ndio unapendwa sana hivyo hakuna anayejihangaisha kutengeneza mkorogo wa kuwa mweusiHalafu hua najiuliza kwanini ni rahisi mweusi kua mweupe tena kwa haraka tu, kuliko mweupe kua mweusi?
Wataalamu msaada plz.
Yote yanawezekana ila ni kwa vile tu weupe ndio unapendwa sana hivyo hakuna anayejihangaisha kutengeneza mkorogo wa kuwa mweusi
Never hawaipendi kihivyo bali wanapenda kuoa/kuolewa na weusi na wana sababu zao fulani za kijinga kwamba weusi ni so humble na kiukweli ni wazungu wachache, kama kweli wangeipenda nyeusi kihivyo tayari wangeshafanya mamboKuna wazungu husema wanapenda rangi nyeusi, je ni kweli wameshindwa kutengeneza mkorogo wakawa weusi na wao au tayari wametengeneza ila hawajaanza kutumia au tayari kuna waliowahi kutumia.
????
Evolution ndio ina lead color of ur skins to lighten,human being is a tropical animal by nature but when humans started moving out of Africa towatds colder climates thats when they started lo loose their dark color
Never hawaipendi kihivyo bali wanapenda kuoa/kuolewa na weusi na wana sababu zao fulani za kijinga kwamba weusi ni so humble na kiukweli ni wazungu wachache, kama kweli wangeipenda nyeusi kihivyo tayari wangeshafanya mambo
Wapo zeruzeru weupe wanatisha kweliKumbe hujifanya wanaipenda kinafki,
Na wakizaa na mweusi, mtoto anatoka na colour flan hv amaizing,
Ila me najiuliza pia, hawa wazungu hawana vinasaba vya albinism kweli! Maana weupe wao hua siuelewi kbs.
Mbona Tz Tunaishi na watu aina zote # Muhindi, Mchina, Mkorea na Mwarabu na wengine wengi ILA HAWABADIRIKI na kuwa kama sisi ikiwa ni kweli Tunategemea Tropical and Nature to change color...?Evolution ndio ina lead color of ur skins to lighten,human being is a tropical animal by nature but when humans started moving out of Africa towatds colder climates thats when they started lo loose their dark color
Hivi siyo kwamba mtu mweupe akitoka sehemu ya joto akahamia sehemu ya baridi rangi yake ubadilika na kuwa mweusi?Evolution ndio ina lead color of ur skins to lighten,human being is a tropical animal by nature but when humans started moving out of Africa towatds colder climates thats when they started lo loose their dark color
Hao unaowaona hapa Tanzania chimbuko lako lilihamia aidha enzi za utumwa au utafutaji maisha wakajikuta wameingia nchini na kupiga kambi.Mbona Tz Tunaishi na watu aina zote # Muhindi, Mchina, Mkorea na Mwarabu na wengine wengi ILA HAWABADIRIKI na kuwa kama sisi ikiwa ni kweli Tunategemea Tropical and Nature to change color...?
Evolution takes centuries and centuries as such you can not witness changes in the same century which you are living in!Mwenyewe sijashawishika kwa hilo...
Hivi siyo kwamba mtu mweupe akitoka sehemu ya joto akahamia sehemu ya baridi rangi yake ubadilika na kuwa mweusi?
Mbona Tz Tunaishi na watu aina zote # Muhindi, Mchina, Mkorea na Mwarabu na wengine wengi ILA HAWABADIRIKI na kuwa kama sisi ikiwa ni kweli Tunategemea Tropical and Nature to change color...?