Lelommassy
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 426
- 398
kwani wewe hujiulizi kwanini sie weusi hatujianiki juani kama wazungu beach.Hivi siyo kwamba mtu mweupe akitoka sehemu ya joto akahamia sehemu ya baridi rangi yake ubadilika na kuwa mweusi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani wewe hujiulizi kwanini sie weusi hatujianiki juani kama wazungu beach.Hivi siyo kwamba mtu mweupe akitoka sehemu ya joto akahamia sehemu ya baridi rangi yake ubadilika na kuwa mweusi?
Exactly mkuu.... nafikir walimu hawakutoa darasa vizuri, somo la historia limewaharibu vijana, ila kwenye biology ndio unaipata vizuri hii mada.
Kinachosababisha tabaka flani la watu kuwa na rangi flani na lingine kiwa na rangi tofauti ni SUBSTANCE MOJA AMBAYO INAITWA MELANIN.
Kimsingi matabaka ya watu hupangwa kwa kutumia kiwango cha MELANIN ambacho tabaka hilo husika huwanacho.
Katika bimadamu wote watu weusi ndo huwa na kiwango kikubwa sana cha MELANIN wakifuatiwa na watu wa mashariko ya mbali na asia huku wazungu wakiwa wa mwisho.
MELANIN ndo msingi wa kila kitu katika maisha ya mwanadamu. MELANIN haiishii tu kwenye kuupa mwili rangi bali huja mbaka kwenye milango yote ya fahamu na kupitia MELANIN ndo milango hiyo huweza kuganya kazi.
Kwa mfano wazungu hawana uwezo wa kubadilisha mwanga wa jua kiwa vitamin d lakini watu weusi wanaweza,wazungu hawana uwezo wa kuangalia jua lakin watu weusi wanaweza,hata kupata harufu ya chakula au radha waafrika huwa na uwezo zaidi wa kufanya hivyo kuliko wazungu.
MELANIN huzalishwa na tezi muhimu sana katika mwili wa mwanadamu ambayo huitwa PINEAL GLAND.
Katika maana nyepesi hiyo tezi ndo huitwa jicho la tatu na watu wanaofanya meditation huwa wanaelewa hapo nazungumzia kitu gani.
Nimalize kwa kusema kuwa MELANIN ndo kitu muhimu katika mwili wa mwanadamu hata kuliko seli za mwili.
Hakuna kilichokosewa wala kilichopungua au kuzidi.Mola aliyeumba kila kitu amekiumba kwa makusudio yake.Na Mola haulizwi kwa yale afanyayo.Habari za Asubuhi Wadau....?
Ukiwa umebarikiwa kuiona siku Hii salama na umejiandaa na kupambana na umasikini kwa leo, Fanya yote hayo ila usisahau kunifafanulia "Kwanini Kuwe na Mtu MWEUSI na Mtu MWEUPE....
Na Kama Mtu mweusi anaweza kuwa Mweupe Je' Mtu mweupe hawezi kuwa Mweusi...!?
NINI KIMEKOSEWA AU NINI KIMEPUNGUA KWA RANGI HIZI 2...!?
Mola wetu aliyetukuka,ametuumba mataifa mbali mbali na makabila mbali mbali lengo na shabaha ni kuweza kufahamiana wala si mmoja kujiona bora zaidi ya mwenzake.Mwanadamu ameumbwa katika umbile lililo kamili,awe mweupe au mweusi na mfano wake.Habari za Asubuhi Wadau....?
Ukiwa umebarikiwa kuiona siku Hii salama na umejiandaa na kupambana na umasikini kwa leo, Fanya yote hayo ila usisahau kunifafanulia "Kwanini Kuwe na Mtu MWEUSI na Mtu MWEUPE....
Na Kama Mtu mweusi anaweza kuwa Mweupe Je' Mtu mweupe hawezi kuwa Mweusi...!?
NINI KIMEKOSEWA AU NINI KIMEPUNGUA KWA RANGI HIZI 2...!?
Duuh ! Hizi elimu nyingine mtihani sana.Evolution ndio ina lead color of ur skins to lighten,human being is a tropical animal by nature but when humans started moving out of Africa towatds colder climates thats when they started lo loose their dark color
Watu kama nyie ndio mtakao kuja kuulizwa kwanini mlipewa akili na hamkuzitumia vizuri ? Sijui mtajibuje hili swali.Evolution ndio ina lead color of ur skins to lighten,human being is a tropical animal by nature but when humans started moving out of Africa towatds colder climates thats when they started lo loose their dark color
Watu kama nyie ndio mtakao kuja kuulizwa kwanini mlipewa akili na hamkuzitumia vizuri ? Sijui mtajibuje hili swali.