Why can't guys be like this when they sleep together in one bed?

Why can't guys be like this when they sleep together in one bed?

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
My question is, why can't guys be like this when they sleep together in one bed? 🤔
1738259516377.jpg
 
Etii wanashindwa nini kulala hivyo kama siyo akili zao tu ndio mbovu, umenikumbusha shule niliyosoma mimi boarding wanaume ilikuwa hata kuambiana usiku mwema baada ya prep ni mtihani, mwanaume akiinama utaona mwenzie akitaka kupita nyuma yake anamuambia ainuke kwanza ndio apite basi utasikia "oyaa pozi gani hilo mwanangu"
 
Etii wanashindwa nini kulala hivyo kama siyo akili zao tu ndio mbovu, umenikumbusha shule niliyosoma mimi boarding wanaume ilikuwa hata kuambiana usiku mwema baada ya prep ni mtihani, mwanaume akiinama utaona mwenzie akitaka kupita nyuma yake anamuambia ainuke kwanza ndio apite basi utasikia "oyaa pozi gani hilo mwanangu"
tunaoneshana upendo, ila kiroho ngumu(tough love)

sio kwamba tunaishi kiadui, hapana.
 
serious kabisa unauliza hili ukilenga nini?
 
Back
Top Bottom