Why can't guys be like this when they sleep together in one bed?

Why can't guys be like this when they sleep together in one bed?

tunaoneshana upendo, ila kiroho ngumu(tough love)

sio kwamba tunaishi kiadui, hapana.
Yeah naelewa hilo na ndio maana utegemezi wenu wa kihisia kwa wanawake hauwezi kuisha, unajua sisi wanawake ni kawaida kabisa kukumbatiana na kubusiana mashavuni na kuitana majina kama mpenzi sijui nini na kusiwe na shida yoyote kitu ambacho ninyi wanaume hamuwezi, ndio maana mkizinguliwa tu na wapenzi wenu huwa mnapata stress maana hamna mbadala ila sisi wanawake tuna njia nyingi za kupata hiyo faraja nje ya mwanaume
 
Etii wanashindwa nini kulala hivyo kama siyo akili zao tu ndio mbovu, umenikumbusha shule niliyosoma mimi boarding wanaume ilikuwa hata kuambiana usiku mwema baada ya prep ni mtihani, mwanaume akiinama utaona mwenzie akitaka kupita nyuma yake anamuambia ainuke kwanza ndio apite basi utasikia "oyaa pozi gani hilo mwanangu"
Kiuhalisia nature ya masculine ni boldness. Sasa 2 bold people wakumbatiane huo si umama kabisa. Labda mmoja awe na vitabia. Ukileta jogoo mpya nyumbani lazima zidundwe na jogoo aliepo.. that's masculinity. Hilo swala la goodnight lina connotation ya kimapenzi ndo maana linaepukwa kwa wanaume. Wanawake they're sensual in nature ndo maan utaskia wanaitana kipenzi, sjui my na mengineyo
 
Kuna jamaa tulifahamiana bar tunakunywa tungi, katika story akaniomba namba, ile kisela , kishkaji tu nikaona huyu ni mwamba kama mimi haina mbaya, nikaondoka kuelekea nyumbani, ile nimetulia ,naona text yake inaingia eti 'umefika salama?', aisee!! jamaa nilimlamba block moja ya hatari ikifuatiwa na kandege kwa juu.

Mwanaume mwenzangu, tumefahamiana siku hio, saa 6 usiku unaniuliza 'umefika salama?'... shenzi kabisa.
 
Yeah naelewa hilo na ndio maana utegemezi wenu wa kihisia kwa wanawake hauwezi kuisha, unajua sisi wanawake ni kawaida kabisa kukumbatiana na kubusiana mashavuni na kuitana majina kama mpenzi sijui nini na kusiwe na shida yoyote kitu ambacho ninyi wanaume hamuwezi, ndio maana mkizinguliwa tu na wapenzi wenu huwa mnapata stress maana hamna mbadala ila sisi wanawake tuna njia nyingi za kupata hiyo faraja nje ya mwanaume
Yani niachwe na mpenzi,afu nifarijike kwa rafiki yangu wa kike kuniita mpenzi!?,au sijaelewa
 
Kuna jamaa tulifahamiana bar tunakunywa tungi, katika story akaniomba namba, ile kisela , kishkaji tu nikaona huyu ni mwamba kama mimi haina mbaya, nikaondoka kuelekea nyumbani, ile nimetulia ,naona text yake inaingia eti 'umefika salama?', aisee!! jamaa nilimlamba block moja ya hatari ikifuatiwa na kandege kwa juu.

Mwanaume mwenzangu, tumefahamiana siku hio, saa 6 usiku unaniuliza 'umefika salama?'... shenzi kabisa.
Jamani! 😂😂😂 Tatizo nini kwani mtu anakujali.
 
Duuuh 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Sasa kama umeachwa na mpenzi wako ...na wewe ni Binti ..huyo rafiki wako wa kike anakupooza nini!?? KVipi!?? ...Kwa kumbato tu na kukupiga busu shavuni na kukuita baby bestie!?? Lazima MuMarthaMwaipajane ndio mtafarijiana....
 
Jamani! 😂😂😂 Tatizo nini kwani mtu anakujali.
Hakuna kujaaliana kwa hivyo, yaani tufahamiane siku hio hio, sikujui hunijui, usiku wa manane unaniuliza 'umefika salama', halafu mwanaume mwenzangu, wanaume tukiwa kwenye mkutaniko labda sherehe usiku halafu tukaondoka, tunapigiana simu asubuhi, usiku kila mmoja anajua atafikaje.

Wanaume tuna codes zetu na mipaka, mfano huwezi kuona mwanaume mwenzako amejaza kifua halafu uanze kumuambia "una kifua kizuri", hapo ni kutoka kwenye protocol.
 
Kiuhalisia nature ya masculine ni boldness. Sasa 2 bold people wakumbatiane huo si umama kabisa. Labda mmoja awe na vitabia. Ukileta jogoo mpya nyumbani lazima zidundwe na jogoo aliepo.. that's masculinity. Hilo swala la goodnight lina connotation ya kimapenzi ndo maana linaepukwa kwa wanaume. Wanawake they're sensual in nature ndo maan utaskia wanaitana kipenzi, sjui my na mengineyo
Yeah naelewa hilo mkuu nilikuwa nazingua tu, binafsi mwenyewe naamini kuna vitu mwanaume hatakiwi hata kuvifikiria achilia mbali kuvifanya ikiwemo na hilo la mtoa mada, mimi hata mwanaume kusuka au kuvaa hereni bado inanipa ukakasi japo naona kwenye jamii yetu ishaanza kuchukuliwa kawaida tu
 
Yani niachwe na mpenzi,afu nifarijike kwa rafiki yangu wa kike kuniita mpenzi!?,au sijaelewa
Kama kwako mapenzi ni ngono tu basi sidhani kama unaweza kunielewa kuna wakati mtu anaweza kuwa anapitia hali ngumu na anahitaji faraja ambayo si lazima ihusishe romantic gestures, wanaume faraja ya namna hiyo huwa wanataka waipate kutoka kwa wanawake tu ila wanawake wana njia nyingi, ujue kuna wakati mwanamke anaweza akafarijika kwa kuwaona tu watoto wake na kuwa karibu nao ila mwanaume hata kama ana watoto mke wake akimzingua tu kidogo lazima atafute mchepuko
 
images-7.jpeg


Ni jela tu ndo wanaruhusu mlalo wa mugongo mugongo sawa kijana
 
Kama kwako mapenzi ni ngono tu basi sidhani kama unaweza kunielewa kuna wakati mtu anaweza kuwa anapitia hali ngumu na anahitaji faraja ambayo si lazima ihusishe romantic gestures, wanaume faraja ya namna hiyo huwa wanataka waipate kutoka kwa wanawake tu ila wanawake wana njia nyingi, ujue kuna wakati mwanamke anaweza akafarijika kwa kuwaona tu watoto wake na kuwa karibu nao ila mwanaume hata kama ana watoto mke wake akimzingua tu kidogo lazima atafute mchepuko
💯 Sis!
 
Back
Top Bottom