Sio kundi bali ni advance aliyokula, kwa hiyo ni mwendo wa kufuata maelekezo mpaka gari liingie mtaroniKundi linalomdanganya Mbowe kuwa bado anaushawishi katika Chama wamemwingiza cha kike....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kundi bali ni advance aliyokula, kwa hiyo ni mwendo wa kufuata maelekezo mpaka gari liingie mtaroniKundi linalomdanganya Mbowe kuwa bado anaushawishi katika Chama wamemwingiza cha kike....
Chadema ishakuwa na mamluki na wala rushwa hakitaleta mabadiliko yoyote kama CUF ya Lipumba ni vyema Tundu na wenzake kutafuta jukwaa jengine la salama, watanzania wanahitaji upinzani mpya na siasa nyengine mpyaKuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche” ameridhia kwa hiyari kabisa ujio wa hawa watu,tena ameomba astaafu chama awaachie LISSU na wenzake ila mwanae wa kiume (Rungwe JR) na baadhi ya viongozi wa juu hicho wawekwe kwenye kamati kuu ya Chama
Hatua hii inafuatia baada ya kuonekana kwa msigano na mvutano mkubwa sana unaoendelea pale CHADEMA,kwani Mbowe anataka aendelee kuongoza Chama yeye na genge lake,huku wanachama wengi wakimtaka Lissu ila inaonekana ni vigumu sana kwa TAL kushinda kulingana na wajumbe wengi kuwa vibaraka wa Mbowe na waliwekwa kimkakati kabisa
Unaambiwa ndani ya huu mpango wapo John Heche,Godbless Lema etc…..kinachosubiriwa ni hiyo siku ya Uchaguzi wa chama chao,endapo akishindwa TAL basi njia itakuwa ni kwenda kuungana na Hashim Rungwe Sipunda
Naiona CHAUMMA ikienda kuwa Chama kikuu cha upinzani ambacho kitakuwa hakina utapeli au hakina mafungamano na dola
VIVA CHAUMMA VIVA✊🏿
Mashekh wameona hii misosi wanaweza kuuza misikiti ili tu wale ubwabwa ...sheh mazinge mpooo shekh adriz shekh FaizaFoxyTupo nae pamoja.
View attachment 3182165
Ndio hivyo mkuu watu wanapenda kula na kujilimbikiza mali za uma kila mtu anataka mfuko uw mnene ukipwaya mfuko wanapiga kelelemkuu hoja yako inamantiki sana, nadhan biashara ya kuw mwanasiasa inalipa sana na wot n wazee wa mipigo inaonekana mbowe anawanyima magawio wenzake,, tz hakna upnzan wa kwel na hata ukijalib kuw mpnzan w kwel ccm watakutulza t mfano zito kabwe aliamniw san na wataka mabadiliko lakn akawekwa gamban, hata hao wakiend CHAUMA n tamaa ya kutaka kuitwa mezan na bwna mkubw nao wawe wanapata magawio kwa ukubwa stahiki.
Lema ni mtu wa haki sana hapendi janja janja kabisaLema ni kirusi hapo!
Asiaminiwe!
Zimebaki takribani siku 9 tu waanze kazi rasmi✍️✍️Lini wataanza kazi?
Wengi ni machawa wake mkuu. wanaojielewa wote wanaona Mbowe muda wake umeisha aachie wengine.Kundi linalomdanganya Mbowe kuwa bado anaushawishi katika Chama wamemwingiza cha kike....
Sawa Ukiendekeza tumbo maendeleo yanachelewaTofauti na tumbo hakuna maisha .
Unawaza kitoto sana.Unafikiri huyo Mbowe ni wa kumuamini tena? Hujiulizi mpaka TBC wanarusha live mkutano wake kuna nini?
Watatimiza ahadi ya kugawa ubwabwa ?Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche” ameridhia kwa hiyari kabisa ujio wa hawa watu,tena ameomba astaafu chama awaachie LISSU na wenzake ila mwanae wa kiume (Rungwe JR) na baadhi ya viongozi wa juu hicho wawekwe kwenye kamati kuu ya Chama
Hatua hii inafuatia baada ya kuonekana kwa msigano na mvutano mkubwa sana unaoendelea pale CHADEMA,kwani Mbowe anataka aendelee kuongoza Chama yeye na genge lake,huku wanachama wengi wakimtaka Lissu ila inaonekana ni vigumu sana kwa TAL kushinda kulingana na wajumbe wengi kuwa vibaraka wa Mbowe na waliwekwa kimkakati kabisa
Unaambiwa ndani ya huu mpango wapo John Heche,Godbless Lema etc…..kinachosubiriwa ni hiyo siku ya Uchaguzi wa chama chao,endapo akishindwa TAL basi njia itakuwa ni kwenda kuungana na Hashim Rungwe Sipunda
Naiona CHAUMMA ikienda kuwa Chama kikuu cha upinzani ambacho kitakuwa hakina utapeli au hakina mafungamano na dola
VIVA CHAUMMA VIVA✊🏿
SahihiWapinzani wa kweli wako ndani ya CCM.
Wengi ni machawa wake mkuu. wanaojielewa wote wanaona Mbowe muda wake umeisha aachie wengine.
Maendeleo ndio tumbo lenyewe hizo nyingine ni mbwembwe tu.Sawa Ukiendekeza tumbo maendeleo yanachelewa
Toka zakoMaendeleo ndio tumbo lenyewe hizo nyingine ni mbwembwe tu.
Lakini siasa sio za kuziamini.. Unaweza shangaa mbowe na lissu wanakutana fresh ila wengine ndo wanaumizana onlineMkuu CHADEMA haipo tena watu Wana gombania fito
Chanzo tiifu ni wao wenyewe kusema na wewe kuweka sauti zao au maandishi yao hapa. Nje ya wao ni porojo.Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu
Mkuu alikuambia nani mzee wa ubweche sio mtu wa kunako??? 🤣 🤣 🤣 🔊Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche” ameridhia kwa hiyari kabisa ujio wa hawa watu,tena ameomba astaafu chama awaachie LISSU na wenzake ila mwanae wa kiume (Rungwe JR) na baadhi ya viongozi wa juu hicho wawekwe kwenye kamati kuu ya Chama
Hatua hii inafuatia baada ya kuonekana kwa msigano na mvutano mkubwa sana unaoendelea pale CHADEMA,kwani Mbowe anataka aendelee kuongoza Chama yeye na genge lake,huku wanachama wengi wakimtaka Lissu ila inaonekana ni vigumu sana kwa TAL kushinda kulingana na wajumbe wengi kuwa vibaraka wa Mbowe na waliwekwa kimkakati kabisa
Unaambiwa ndani ya huu mpango wapo John Heche,Godbless Lema etc…..kinachosubiriwa ni hiyo siku ya Uchaguzi wa chama chao,endapo akishindwa TAL basi njia itakuwa ni kwenda kuungana na Hashim Rungwe Sipunda
Naiona CHAUMMA ikienda kuwa Chama kikuu cha upinzani ambacho kitakuwa hakina utapeli au hakina mafungamano na dola
VIVA CHAUMMA VIVA✊🏿