Why CHAUMMA!? Lissu, Lema, Heche et al kutimkia CHAUMMA

Why CHAUMMA!? Lissu, Lema, Heche et al kutimkia CHAUMMA

Kundi linalomdanganya Mbowe kuwa bado anaushawishi katika Chama wamemwingiza cha kike....
Sio kundi bali ni advance aliyokula, kwa hiyo ni mwendo wa kufuata maelekezo mpaka gari liingie mtaroni
 
Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche” ameridhia kwa hiyari kabisa ujio wa hawa watu,tena ameomba astaafu chama awaachie LISSU na wenzake ila mwanae wa kiume (Rungwe JR) na baadhi ya viongozi wa juu hicho wawekwe kwenye kamati kuu ya Chama

Hatua hii inafuatia baada ya kuonekana kwa msigano na mvutano mkubwa sana unaoendelea pale CHADEMA,kwani Mbowe anataka aendelee kuongoza Chama yeye na genge lake,huku wanachama wengi wakimtaka Lissu ila inaonekana ni vigumu sana kwa TAL kushinda kulingana na wajumbe wengi kuwa vibaraka wa Mbowe na waliwekwa kimkakati kabisa

Unaambiwa ndani ya huu mpango wapo John Heche,Godbless Lema etc…..kinachosubiriwa ni hiyo siku ya Uchaguzi wa chama chao,endapo akishindwa TAL basi njia itakuwa ni kwenda kuungana na Hashim Rungwe Sipunda

Naiona CHAUMMA ikienda kuwa Chama kikuu cha upinzani ambacho kitakuwa hakina utapeli au hakina mafungamano na dola

VIVA CHAUMMA VIVA✊🏿
Chadema ishakuwa na mamluki na wala rushwa hakitaleta mabadiliko yoyote kama CUF ya Lipumba ni vyema Tundu na wenzake kutafuta jukwaa jengine la salama, watanzania wanahitaji upinzani mpya na siasa nyengine mpya
 
mkuu hoja yako inamantiki sana, nadhan biashara ya kuw mwanasiasa inalipa sana na wot n wazee wa mipigo inaonekana mbowe anawanyima magawio wenzake,, tz hakna upnzan wa kwel na hata ukijalib kuw mpnzan w kwel ccm watakutulza t mfano zito kabwe aliamniw san na wataka mabadiliko lakn akawekwa gamban, hata hao wakiend CHAUMA n tamaa ya kutaka kuitwa mezan na bwna mkubw nao wawe wanapata magawio kwa ukubwa stahiki.
Ndio hivyo mkuu watu wanapenda kula na kujilimbikiza mali za uma kila mtu anataka mfuko uw mnene ukipwaya mfuko wanapiga kelele
 
Screenshot_20241222-091252~2.png
 
Kundi linalomdanganya Mbowe kuwa bado anaushawishi katika Chama wamemwingiza cha kike....
Wengi ni machawa wake mkuu. wanaojielewa wote wanaona Mbowe muda wake umeisha aachie wengine.
 
Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche” ameridhia kwa hiyari kabisa ujio wa hawa watu,tena ameomba astaafu chama awaachie LISSU na wenzake ila mwanae wa kiume (Rungwe JR) na baadhi ya viongozi wa juu hicho wawekwe kwenye kamati kuu ya Chama

Hatua hii inafuatia baada ya kuonekana kwa msigano na mvutano mkubwa sana unaoendelea pale CHADEMA,kwani Mbowe anataka aendelee kuongoza Chama yeye na genge lake,huku wanachama wengi wakimtaka Lissu ila inaonekana ni vigumu sana kwa TAL kushinda kulingana na wajumbe wengi kuwa vibaraka wa Mbowe na waliwekwa kimkakati kabisa

Unaambiwa ndani ya huu mpango wapo John Heche,Godbless Lema etc…..kinachosubiriwa ni hiyo siku ya Uchaguzi wa chama chao,endapo akishindwa TAL basi njia itakuwa ni kwenda kuungana na Hashim Rungwe Sipunda

Naiona CHAUMMA ikienda kuwa Chama kikuu cha upinzani ambacho kitakuwa hakina utapeli au hakina mafungamano na dola

VIVA CHAUMMA VIVA✊🏿
Watatimiza ahadi ya kugawa ubwabwa ?
 
Hatuhitaji utitiri wa vyama,tunahitaji katiba mpya tu.
 
Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche” ameridhia kwa hiyari kabisa ujio wa hawa watu,tena ameomba astaafu chama awaachie LISSU na wenzake ila mwanae wa kiume (Rungwe JR) na baadhi ya viongozi wa juu hicho wawekwe kwenye kamati kuu ya Chama

Hatua hii inafuatia baada ya kuonekana kwa msigano na mvutano mkubwa sana unaoendelea pale CHADEMA,kwani Mbowe anataka aendelee kuongoza Chama yeye na genge lake,huku wanachama wengi wakimtaka Lissu ila inaonekana ni vigumu sana kwa TAL kushinda kulingana na wajumbe wengi kuwa vibaraka wa Mbowe na waliwekwa kimkakati kabisa

Unaambiwa ndani ya huu mpango wapo John Heche,Godbless Lema etc…..kinachosubiriwa ni hiyo siku ya Uchaguzi wa chama chao,endapo akishindwa TAL basi njia itakuwa ni kwenda kuungana na Hashim Rungwe Sipunda

Naiona CHAUMMA ikienda kuwa Chama kikuu cha upinzani ambacho kitakuwa hakina utapeli au hakina mafungamano na dola

VIVA CHAUMMA VIVA✊🏿
Mkuu alikuambia nani mzee wa ubweche sio mtu wa kunako??? 🤣 🤣 🤣 🔊
 
Back
Top Bottom