Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Hahahaha Youtube na yenyewe tumewapiga spana, sasa si mtalaumu mitandao yote?Instagram ni ya watoto na wambea boss[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha Youtube na yenyewe tumewapiga spana, sasa si mtalaumu mitandao yote?Instagram ni ya watoto na wambea boss[emoji23][emoji23]
Kabisa. Pamoja na watu wenye IQ kiduchu hata siafu ana ahueni, binafsi huwa naipuuzilia mbali tu hata app yenyewe sijawahi bonyeza kwenye simu yangu janja.Instagram ni ya watoto na wambea boss[emoji23][emoji23]
Japo watanzania wengi pia hawapendi twitter.com lakini hata huko bado tunawapiga spana
The gape of Tanzanians on twitter you can't compare to Kenya's on Instagram
Chengine, Instagram is more expensive than Twitter 😁😁
Wacha kutuletea mipasho, tuwekee pamoja na links kabisa weye kanyaboya, kwanini husiwe na mazoea ya kutetea utopolo wako na data au links.Japo watanzania wengi pia hawapendi twitter.com lakini hata huko bado tunawapiga spana
The gape of Tanzanians on twitter you can't compare to Kenya's on Instagram
Chengine, Instagram is more expensive than Twitter 😁😁
Yaani ungejua namna watanzania walivyo tajirikia instagram usingechukulia instagram simple hivyoUkitaka kujua umaarufu wa hayo matopolo yenyu mnayoyaita celebs tuonyeshe mashabiki wao TWITTER ama other sites zenye upeo na hadhi kwenye jamii siyo hayo ma instagram ya watoto na utopolo ya waliokwenda saint Kayumba na kukomea darasa la nne.
kalb wahed.
Eti sasa umemsaidia kanyaboya mwenzio wa hapo matopeni kwa kuuleta ushuzi juu ya shuzi nyingine.https://twitter.com/JamiiForums inasogelea 1 mln mark
Millardayo ana 1.3 millionhttps://twitter.com/JamiiForums inasogelea 1 mln mark
kenya nzima hamna account ya twitter yenye 3.5 mln halafu umekaa unapiga kelele humu! Ungeonyesha basi twitter account yenye 8 mln followers kama ya Diamond yenye over 10 mln follwoers kama mpo twitter zaidi!Eti sasa umemsaidia kanyaboya mwenzio wa hapo matopeni kwa kuleta ushuzi juu ya ushuzi.
kalb wahed.
Ana 0.9 mln followers zaidi ya UhuruSidhani hata kama yesu mtu wenyu yupo insta lakini kwa hakika yupo twitter, watu mashuhuri, marais wanajibizana twitter sio huo utopolo unaotaka kuniaminisha.
Wasafi Media 2018 estSidhani hata kama yesu mtu wenyu yupo insta lakini kwa hakika yupo twitter, watu mashuhuri, marais wanajibizana twitter sio huo utopolo unaotaka kuniaminisha.
Hao watangazaji wenyu na media za kishenzi ambazo hazina hata weledi husifananishe na vyombo vyetu vyenye weledi ,kazi kuimba mapambio, haya tazama watu wazima wanavyopakatana kama madanguro vile, hapo eti ndio logo kabisa front page hhahaahhaahha, kawaambie muonekano wa kampuni kwenye mitandao ndivyo navyo weledi ulivyo.Wasafi Media 2018 est
KTN Media 2008 est
10 years difference
View attachment 1598056View attachment 1598057View attachment 1598058
Weledi umeujua lini wewe mbung'o? 😁Hao watangazaji wenyu na media za kishenzi ambazo hazina hata weledi husifananishe na vyombo vyetu vyenye weledi ,kazi kuimba mapambio, haya tazama watu wazima wanavyopakatana hapo eti ndio logo kabisa front page hhahaahhaahha, kawaambie muonekano wa kampuni kwenye mitandao ndivyo navyo weledi ulivyo.
Weledi haswaaaa ndiyo jina la Kenya la pili. Hilo unalijua mpaka ndani tunduni mwako ewe kalb hayawanWeledi umeujua lini wewe mbung'o? 😁
Weledi ni neno limeanzishwa na Jakaya Kikwete siku anafungua TBC kutoka TvTWeledi haswaaaa ndiyo jina la Kenya la pili....hilo unalijua mpaka ndani tunduni mwako...........kalb hayawan
Ukitaka kujua insta ni ya watoto tafuta head of states huaga wana tweet mishe mishe zao wala huwezi ona wakipost habari muhimu insta..Hahahaha Youtube na yenyewe tumewapiga spana, sasa si mtalaumu mitandao yote?
Hahahah, eti unanifundisha Kiingereza.....pole sana myakusya sijui myamwezi..sijui mzaramo.....hahhhhhahah.Weledi ni neno limeanzishwa na Jakaya Kikwete siku anafungua TBC kutoka TvT
Kama hujui.
Professionalism*
Hako ka media kanaingia mara elfu moja citizen kw kila kitu.Wasafi Media 2018 est
KTN Media 2008 est
10 years difference
View attachment 1598056View attachment 1598057View attachment 1598058
Hako ka media kanaingia mara elfu moja citizen kw kila kitu...
Maneno ya mkosajiUkitaka kujua insta ni ya watoto tafuta head of states huaga wana tweet mishe mishe zao wala huwezi ona wakipost habari muhimu insta..
Youtube ni mtandao wa biashar, so km mtu inategemea unapenda nn