Why does Kenya lie on number of internet subscribers?

Sasa ata wakiwa na wafuasi wengi do they add value ama kuletea pesa ndio maana mumezembea mitaani vidume vizima eti zinafuatilia umbea za wasanii nonsense.Muna tabia za kimama hivi.Actually nyie na dada zenu hamna tofauti
 
Sasa ata wakiwa na wafuasi wengi do they add value ama kuletea pesa ndio maana mumezembea mitaani vidume vizima eti zinafuatilia umbea za wasanii nonsense.Muna tabia za kimama hivi.Actually nyie na dada zenu hamna tofauti
Mimi ni mmoja kati ya Watanzania wanaomiliki youtube channel kubwa kwa hapa East Africa,

Hivi wakenya hamfatilii umbea za wasanii wenu?

Wakenya wengi hufuatilia udaku kuhusu wasanii wa Tanzania but ni ngumu kumkuta Mtanzania akifuatilia udaku wa wasanii wa kenya.
 
Endelea kufuatilia stori za Mondi dumekike wewe huna kazi la maana kufanya umbea tu
 
Endelea kufuatilia stori za Mondi dumekike wewe huna kazi la maana kufanya umbea tu
Endelea kufuatilia stori za udaku kuhusu wasanii wa Tanzania wakati hata sijui udaku wa wasanii wenu.

Mmejazana jamiiforums utadhani nchini kwenu hakuna forums kazi ni kuomba likes kwenye comments za video's za wasanii wa Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alafu hivi si ni dada zenu ndio hupenda kushoot video za pono ama unafikiri hilo hatulijui
 
Ooliskia wapi??Ama wewe ni mmoja wa hilo kundi la lgbt
Kenyan women among highest consumers of porn in the world.
A new consumer survey has ranked Kenyan women among the highest consumers of porn in the world.
According to Porn Hub, Kenyan women watched more porn than their sisters in Europe and United States.

Porn for women searches increased by 359 per cent with ‘Lesbian’ in first place, ‘lesbian scissoring’ coming in second, and ‘threesome’ in third place.
 
Ndio akili za kitanzania hizi, ukizitilia maanani utajipoteza bure. Yaani hakuna cha ziada kwenye matumizi ya internet zaidi ya mitandao ya kijamii, burudani na kuwafata fata maceleb? I mean, like seriously?

Watu wanatumia internet kubuni IT solutions ambazo zinatumiwa na wengi, hadi kwenye sekta za agri-business(kilimo biashara), sales and marketing, social outreach, finance n.k, n.k. Ndio maana Kenya itaendelea kuwa IT hub ukanda huu na kuibuka kidedea kwenye IT Innovations, Software Dev. na Online Freelancing, nyie mkiendelea kumjadili sijui Mobetto na lipsi za Dayamondi.

Hizi ndio nchi Top 20 duniani kwenye Online Freelancing. Misri, Kenya na Nigeria ndio nchi za Afrika ambazo zipo kwenye orodha hii ya sekta ambayo ni 'worth' millions ya $. K.m. kwenye kipengele cha Online Freelance Writing Kenya ni nchi ya 7 duniani baada ya, India, Bangladesh, US, Pakistan, Phillipines na UK.

 
Bro hapo umeniacha kidogo, kuhusu uchumi wa Instagram na YouTube.
 
Please go to fanabache official page to know how stupid you're. Or visit Aston villa fans to witness the no of people who comment in Swahili.
 
Nyinyi hakuna mnachojua, haya basi acha tulinganishe Citizen TV na Azam TV
Citizen TV has 2.8 million followers
https://twitter.com/citizentvkenya
Azam TV has 458k followers
https://twitter.com/azamtvtz
Bwaaaaaaahh [emoji1787][emoji1787]watz tuna tumia vyanzo vingi vya habari nyinyi hao wanasiasa wenu wana ma falo wa kikabila tu ndiyo maana [emoji1787][emoji1787] wapo a tension kupokea taharifa kwa viongozi wao za kikabila ili kumwaga damu
 
Kama ni Insta basi umetupa mbao, na randa juu yake ...wakenya wengi hawapo na hawaipendi instagram....pia youtube kivile.
Hawazipendi sababu zinakula sana data/bundle [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bwaaaaaaahh [emoji1787][emoji1787]watz tuna tumia vyanzo vingi vya habari nyinyi hao wanasiasa wenu wana ma falo wa kikabila tu ndiyo maana [emoji1787][emoji1787] wapo a tension kupokea taharifa kwa viongozi wao za kikabila ili kumwaga damu
Pole ndugu, kwa mambo za internet users mtangoja sana.
 
Angalia hapa mama, mimi hujiunga kila tarehe 1 ya mwezi,
This is equivalent to 4,000KSh
How much does safaricom offer at that price?
View attachment 1598134
Tunaongelea internet wewe unaleta vitu ambavyo havina tija..sasa kuzunguka kote ni nn, kwn tanzania mkiskia internet mnawaza bando tayari
 
Hata Tweeter na YouTube tumewazidi? What is your excuse then?
Twitter kw watu wazima kule, hamtuzidi kw lolote labda insta kw page za umbea..
Youtube wakenya kila mtu anaangalia anchokipenda sio km nynyi mnakomalia zile channel zenu za umbea na udaku..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…