Magix Enga
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 610
- 449
Sasa ata wakiwa na wafuasi wengi do they add value ama kuletea pesa ndio maana mumezembea mitaani vidume vizima eti zinafuatilia umbea za wasanii nonsense.Muna tabia za kimama hivi.Actually nyie na dada zenu hamna tofautiMental slavery,
Tunapenda vyetu na kuvithamini na ndio maana wasanii wenye followers wengi, youtube subscribers wengi, youtube views wengi wanapatikana Tanzania,
Halafu nyimbo hazijalishi zimeimbwa lugha gani kama ni nzuri itapendwa tu,
Mfano wimbo wa despacito wenye billions of watazamaji youtube...je hao watazamaji billions waliotazama wanaelewa hiyo lugha?
Mimi ni mmoja kati ya Watanzania wanaomiliki youtube channel kubwa kwa hapa East Africa,Sasa ata wakiwa na wafuasi wengi do they add value ama kuletea pesa ndio maana mumezembea mitaani vidume vizima eti zinafuatilia umbea za wasanii nonsense.Muna tabia za kimama hivi.Actually nyie na dada zenu hamna tofauti
Endelea kufuatilia stori za Mondi dumekike wewe huna kazi la maana kufanya umbea tuWakenya gani!
Unamaanisha hawa wakenya wanaosambaza porn videos 24 hours kwenye mtandao wa telegram (channels na groups)!
Au unamaanisha wale wana omba likes kwenye youtube videos eti "wapi likes za wakenya"
Bora ya Watanzania wanaopiga pesa kwenye mtandao wa instagram kuliko hao wakunya wanaosambaza ujinga.
Endelea kufuatilia stori za udaku kuhusu wasanii wa Tanzania wakati hata sijui udaku wa wasanii wenu.Endelea kufuatilia stori za Mondi dumekike wewe huna kazi la maana kufanya umbea tu
Alafu hivi si ni dada zenu ndio hupenda kushoot video za pono ama unafikiri hilo hatulijuiMimi ni mmoja kati ya Watanzania wanaomiliki youtube channel kubwa kwa hapa East Africa,
Hivi wakenya hamfatilii umbea za wasanii wenu?
Wakenya wengi hufuatilia udaku kuhusu wasanii wa Tanzania but ni ngumu kumkuta Mtanzania akifuatilia udaku wa wasanii wa kenya.
Kenyan women among highest consumers of porn in the world.Ooliskia wapi??Ama wewe ni mmoja wa hilo kundi la lgbt
Bro hapo umeniacha kidogo, kuhusu uchumi wa Instagram na YouTube.Maneno ya mkosaji
Instagram hamuwezi tumia ninyi sababu hamna huo uchumi wa kutumia hiyo app kama mlivyo hamna uchumi wa kutumia YouTube
Mpo Twitter sababu ni cheap na providers wenu wansoffer za free Twitter 😁😁
Hutokaa uone free Instagram na ndio maana Africa ni Tanzania tunaongoza kwenye matumizi ya instagram
Instagram inatafuna bundles balaa hasa ukiplay videos [emoji23][emoji23][emoji23]Bro hapo umeniacha kidogo, kuhusu uchumi wa Instagram na youtube...
Please go to fanabache official page to know how stupid you're. Or visit Aston villa fans to witness the no of people who comment in Swahili.Look at this fool, Samatta is an international body and those who searched for him were mainly Fanabache fans and not Tanzanians. Ukitaka kujua ukweli lets compare Ruto followers and Magufuli followers.
Rutto 3.4 million followers
https://twitter.com/WilliamsRuto
Magufuli 900K followers
https://twitter.com/MagufuliJP
[emoji1787][emoji1787]matokeo ya ukabila hayo followers wa kikabila KenyaLet`s compare the followers of opposition leaders in Tanzania and Kenya
Raila 2.8 million followers
https://twitter.com/RailaOdinga
Tundu Lissu 153K followers
https://twitter.com/TunduALissu
[emoji1787][emoji1787] huu mwaka mtatiiInstagram ni ya watoto na wambea boss[emoji23][emoji23]
Nyinyi hakuna mnachojua, haya basi acha tulinganishe Citizen TV na Azam TV[emoji1787][emoji1787]matokeo ya ukabila hayo followers wa kikabila Kenya
Bwaaaaaaahh [emoji1787][emoji1787]watz tuna tumia vyanzo vingi vya habari nyinyi hao wanasiasa wenu wana ma falo wa kikabila tu ndiyo maana [emoji1787][emoji1787] wapo a tension kupokea taharifa kwa viongozi wao za kikabila ili kumwaga damuNyinyi hakuna mnachojua, haya basi acha tulinganishe Citizen TV na Azam TV
Citizen TV has 2.8 million followers
https://twitter.com/citizentvkenya
Azam TV has 458k followers
https://twitter.com/azamtvtz
Hawazipendi sababu zinakula sana data/bundle [emoji23][emoji23][emoji23]Kama ni Insta basi umetupa mbao, na randa juu yake ...wakenya wengi hawapo na hawaipendi instagram....pia youtube kivile.
Pole ndugu, kwa mambo za internet users mtangoja sana.Bwaaaaaaahh [emoji1787][emoji1787]watz tuna tumia vyanzo vingi vya habari nyinyi hao wanasiasa wenu wana ma falo wa kikabila tu ndiyo maana [emoji1787][emoji1787] wapo a tension kupokea taharifa kwa viongozi wao za kikabila ili kumwaga damu
Samatt 83k followersPlease go to fanabache official page to know how stupid you're. Or visit Aston villa fans to witness the no of people who comment in Swahili.
Tunaongelea internet wewe unaleta vitu ambavyo havina tija..sasa kuzunguka kote ni nn, kwn tanzania mkiskia internet mnawaza bando tayariAngalia hapa mama, mimi hujiunga kila tarehe 1 ya mwezi,
This is equivalent to 4,000KSh
How much does safaricom offer at that price?
View attachment 1598134
Twitter kw watu wazima kule, hamtuzidi kw lolote labda insta kw page za umbea..Hata Tweeter na YouTube tumewazidi? What is your excuse then?