Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

Haya mambo kuna kipindi yafikie tamati kwa kukubali kutokubaliana...

Nyie mnaomtetea Mungu mnamdhalilisha, na tatizo mnatetea huku mnatukana, maneno kama Bwabwa, si maneno mazuri, pia kuna mwingine kasema UKIMWI ni jambo zuri as longer as ARV's zinauzwa, ufikiri wa namna hii ni mbaya sana....

Hapa kuna mambo mawili katika kuelewa uwepo wa kitu, eidha kujua ama kuamini,....

Katika kuamini mara nyingi hakuhitaji uthibitisho wa nje, yaani kuthibitisha na mtu mwingine aone, Katika kuamini, uthibitisho ni self evident, mambo niliyotendewa au kuexperience within my self.....nikishasema naamini ( Doxa) ukiniomba proof ntakushangaa....

Kuamini uwepo wa kitu, kuna maana mbili, hicho unachoamini kinaweza kuwepo au kutowepo....

Kujua kunahitaji Uthibitisho, kujua kunaenda mbali zaidi, kwa maana unaweza kuelezea, kujaribu, kuona, kugusa, nikiomba unielezee kwa nini ndege inapaa, unaeleza kwa maana unajua, sio kuamini!

*************************

NB:, Uwepo wa Simba mwenye Kichwa kinafanana na cha binadamu Hifadhi ya wanyama Saadani au Ruaha, kwa wewe au yeyote kutomuona haimaanishi huyo Simba hayupo.....

Simba anaendelea kuwepo tu!......

Anayeamini aamini, anayejua alete uthibitisho....

Sasa umeandika nini ? Kwanini unasema neno bwabwa ni baya ?
Ni baya kwa mtazamo gani ?
Ninajua kwamba Mungu yupo na ni Roho na kwa Mimi amewahi kutembelea dunia akiwa katika umbo la binadamu. Kupitia vinavyoonekana waweza kutambua uwepo wa visivyoonekana.
Embe au tunda lolote kudondoka kwenda chini badala ya kwenda juu mnasema kwa kuwa kuna nguvu ya uvutano, hivyo kupitia vitu na tabia zake ndipo tunafundishwa kuwepo kwa nguvu za uvutano, je ? Wewe unaweza kunieleza na kutoa evidence za uwepo wa nguvu za uvutano pasipo rejea ya matokeo yake.
Au unaweza nionyesha umeme kwa ushahidi Kabisa namini nkauona unafananaje ?
Ni kwa nini Mungu hatakiwi kuthibitishwa kwa kutumia viumbe wake ?
Ni kwanini Mimi nilivyoumbwa na ustadi mkubwa hivi na mifumo mingi yenye utendaji wa ajabu mno isiwe ni rejea kujua Mungu. Lakini embe kudondoka chini iwe rejea ya kujua nguvu za uvutano na kwa umeme pia.
Tafakari chukua hatua...
 
Maandiko yapi aliyoyatoa Mungu? Waislam wana maandiko tofauti na wakristo na yanakinzana kwa kiasi kikubwa na maandiko ya wakristo m.f kuna waislam wenye msimamo mkali wanaoamini kuwa kuchinja watoto bila hatia, kuua wazazi watu wasio na imani kama yao na kujilipua ni jambo jema, sasa hayo pia utaita ni maadili?
Katika taaluma mbalimbali, kuna miongozo na kanuni zinazofuatwa na walio katika taaluma hizo, mungu wenu ameionyesha wapi hiyo misingi na miongozo ya kimaadili katika taaluma hizo?

Maandiko ya Mungu wangu aliyemtuma Bwana Yesu Kristo.
Hii Habari ya waislam na maandiko yao ni moja ya juhudi za maksudi ili Mungu wa kweli ajithibitishe ni hekima kidogo inatakiwa kujua kwamba Mjadala ni kuwepo kwa Mungu lakini siyo kila aitwaye mungu ndiye Mungu ni ayesema yupo.
Mungu muumba wa mbingu na ardhi na ulimwengu kwa ujumla huyo yupo pasipo kujali ni kwa dini gani
 
Sasa umeandika nini ? Kwanini unasema neno bwabwa ni baya ?
Ni baya kwa mtazamo gani ?
Ninajua kwamba Mungu yupo na ni Roho na kwa Mimi amewahi kutembelea dunia akiwa katika umbo la binadamu. Kupitia vinavyoonekana waweza kutambua uwepo wa visivyoonekana.
Embe au tunda lolote kudondoka kwenda chini badala ya kwenda juu mnasema kwa kuwa kuna nguvu ya uvutano, hivyo kupitia vitu na tabia zake ndipo tunafundishwa kuwepo kwa nguvu za uvutano, je ? Wewe unaweza kunieleza na kutoa evidence za uwepo wa nguvu za uvutano pasipo rejea ya matokeo yake.
Au unaweza nionyesha umeme kwa ushahidi Kabisa namini nkauona unafananaje ?
Ni kwa nini Mungu hatakiwi kuthibitishwa kwa kutumia viumbe wake ?
Ni kwanini Mimi nilivyoumbwa na ustadi mkubwa hivi na mifumo mingi yenye utendaji wa ajabu mno isiwe ni rejea kujua Mungu. Lakini embe kudondoka chini iwe rejea ya kujua nguvu za uvutano na kwa umeme pia.
Tafakari chukua hatua...

Tatizo unapaniki, Bwabwa umelitamka kumtusi mtu mwingine, kwa mtu anayemuamini Mungu hawezi fanya huo upuuzi, Huwezi sema unamjua Mungu kwa sababu huna uwezo wa kuleta uthibitisho zaidi ya makelele,

Nafikiri hujaelewa nilichoandika kwa sababu inahitaji uwezo mkubwa kuelewa...

Mungu amewahi kutembelea Dunia? ulimuona? ....Mungu hakupaswa kutetewa na wewe, unatumia sana hisia utakua mtoto wa Mchungaji wewe!
 
Maandiko ya Mungu wangu aliyemtuma Bwana Yesu Kristo.
Hii Habari ya waislam na maandiko yao ni moja ya juhudi za maksudi ili Mungu wa kweli ajithibitishe ni hekima kidogo inatakiwa kujua kwamba Mjadala ni kuwepo kwa Mungu lakini siyo kila aitwaye mungu ndiye Mungu ni ayesema yupo.
Mungu muumba wa mbingu na ardhi na ulimwengu kwa ujumla huyo yupo pasipo kujali ni kwa dini gani

Na hapa ndio nathibitisha wewe ni mpuuzi, na ni mdini pia, Kwa hiyo kwa waIslamu hakuna Mungu, kwani kuna Mungu wa Wakristo na Mungu wa Waislamu?
 
Maandiko ya Mungu wangu aliyemtuma Bwana Yesu Kristo.
Hii Habari ya waislam na maandiko yao ni moja ya juhudi za maksudi ili Mungu wa kweli ajithibitishe ni hekima kidogo inatakiwa kujua kwamba Mjadala ni kuwepo kwa Mungu lakini siyo kila aitwaye mungu ndiye Mungu ni ayesema yupo.
Mungu muumba wa mbingu na ardhi na ulimwengu kwa ujumla huyo yupo pasipo kujali ni kwa dini gani

Sasa huyo mungu unaemwamini, anajipinga yeye mwenyewe? Au utofauti wa kimafundisho kati ya wale wanaomwamini kuwa ishara ya juhudi za kumtambua na kumfikia yeye, huoni kuwa ni uthibitisho tosha kuwa uwepo wake una walakini pia? Huoni kuwa hata hayo maandishi unayoyaamini yanaweza kuwa sehemu ya juhudi za kibinadamu katika kufikia malengo yao na si maandiko yaliyotoka kwa mungu kama unavyoamini?
Tukija katika swala la maadili, ningependa urudie posti yangu hapo juu unifafanulie jinsi mungu alivyohusika katika kuandika miongozo na maadili katika taaluma.
Ni kanuni gani zinazoongoza katika kumtambua mungu wa kweli na asie wa kweli?
 
Huoni hoja kwenye andikshi la Ishmael acha woga wewe ! Jibu hoja zake tumia lugha ya kitoto Kama anayotumia lakini jibu hoja zake.
Kujua kwamba lugha ni ya kitoto inaonyesha Una ujuzi nayo ! Itumie ujibu hoja acha uwoga.. Kiranga kaomba poo kwa kutumia ignore list maana amegundua anadharirika kwa kariri zake nawe unafuata njia hiyo hiyo kwa visingizio vinavyofanana ...
Hawafahamu maana ya hoja. Hao wote wamekaririshwa ndio maana wanatumia Ignore List.
 
Na hapa ndio nathibitisha wewe ni mpuuzi, na ni mdini pia, Kwa hiyo kwa waIslamu hakuna Mungu, kwani kuna Mungu wa Wakristo na Mungu wa Waislamu?
You din't know that?!!! You must be kidding me.

ALLAH SAID THERE IS NO GOD. So, who is Allah?
 
Huyo Ishmael hajui kitu then anangangana na kuingia kichwa kichwa ,anakurupukia maswali hana hoja ya umuhimu kivile so guys Wa jukwaa hili akipuuziwa hakuna tatizo mana sioni cha umuhimu kwake zaidi ya kungangana na lugha ya kigeni ata sehemu ambayo haijatumika .,mkuu ukikaa kimya ni bora zaidi kuliko kuwa mkurupukaji ivo Ishmael
You got spanked by the evidence. You can't engage them either, much less refute them. You are just as frustrated and silly as Dirk
 
Sielewi tatizo lako liko wapi ! Maadili ni kwa Mungu pekee nje ya Mungu maadili unayapata wapi ? He ? Kwenye sayansi kuna kitu kinaitwa maadili (morals) kuzungumzia human behavior sioni ni kwa namna gani kunaondoa maadili kwa Mungu.
Kuna kitu umeambiwa kuhusu Free Will hivyo wanaochagua uovu badala ya wema wanawajibika kwa uovu wao sawa na waliochagua wema pia wanawajibika kwa wema wao.
Ni kwa namna gani waweza kujadili morals kwa mtazamo wa Atheist ?
Kama haelewi muombee tu.
 
Kwa kumtokea mtu bila kupenda na kuwa na uwezo wa kulizuia.

Likikutokea wewe na julitafsiri kuwa baya sio lazima liwe na sifa sawa na utoayo wewe.
Tunatofautuana namna tunavyopokea vitu vibaya na vizuri kutokana na asili ya kibaologia na mazingira hivyo tafsiri yako haina mashiko.
Inategemea namna MTU atavyolipokea tukio husika.
 
Tatizo unapaniki, Bwabwa umelitamka kumtusi mtu mwingine, kwa mtu anayemuamini Mungu hawezi fanya huo upuuzi, Huwezi sema unamjua Mungu kwa sababu huna uwezo wa kuleta uthibitisho zaidi ya makelele,

Nafikiri hujaelewa nilichoandika kwa sababu inahitaji uwezo mkubwa kuelewa...

Mungu amewahi kutembelea Dunia? ulimuona? ....Mungu hakupaswa kutetewa na wewe, unatumia sana hisia utakua mtoto wa Mchungaji wewe!

Makuzi yana athari Sana katika kufikiri.
Kutamka bwabwa ni kumtusi MTU au wewe ndiye bwabwa au. Gay au mse.nge haya maneno sio matusi ni maneno ya sifa ya MTU atendayo kinyume na maadili ya Mungu. Akienenda sawa na watu wasio na tumaini.
Simjui Mungu wako namjua Mungu wangu aliyekuja dunia katika umbo la binadamu akiitwa Yesu.
Mimi simtetei Mungu namuelezea Mungu wangu.
Kama unakerwa ni wewe nami sizungumzii mungu wako.
Mimi si mtoto wa Mchungaji hata. Wazazi wangu cheo cha juu Sana walichowahi kukifikia kanisani kwao ni uzee wa Kanisa Tu.
 
Sasa huyo mungu unaemwamini, anajipinga yeye mwenyewe? Au utofauti wa kimafundisho kati ya wale wanaomwamini kuwa ishara ya juhudi za kumtambua na kumfikia yeye, huoni kuwa ni uthibitisho tosha kuwa uwepo wake una walakini pia? Huoni kuwa hata hayo maandishi unayoyaamini yanaweza kuwa sehemu ya juhudi za kibinadamu katika kufikia malengo yao na si maandiko yaliyotoka kwa mungu kama unavyoamini?
Tukija katika swala la maadili, ningependa urudie posti yangu hapo juu unifafanulie jinsi mungu alivyohusika katika kuandika miongozo na maadili katika taaluma.
Ni kanuni gani zinazoongoza katika kumtambua mungu wa kweli na asie wa kweli?

Umewahi kusikia kitu kinaitwa Fallacy of definition ?
Tikikosa common ground ya kumdefine Mungu ndicho chanzo kikuu cha mjadala huh.
Uwepo wa Mungu hauna utata ila namna Mungu anabyotafsiriwa na watu mbalimbali kwa kupenda au kutokupenda ndio chanzo cha kukosa hekima na ujuzi.
Hata wewe unaugua ugonjwa huo huo, unameona Mungu katika human behavior na sio kwenye broad picture Kama universe na vijazavyo ndiyo sababu kuelewa kwako ni mbindee
Kwa mfano wa kidunia na tujadili habari za Mungu @ corporate level na sio kwenye petty business ambazo hatuwezi kukubaliana kutolana na am a matatizo ya kuelewa au kukosa Kabisa uwezo wa kutafakari
 
Na hapa ndio nathibitisha wewe ni mpuuzi, na ni mdini pia, Kwa hiyo kwa waIslamu hakuna Mungu, kwani kuna Mungu wa Wakristo na Mungu wa Waislamu?

Waislam wanaye mungu wao anaitwa Allah, huyu ni mungu wa makuraish wa Makkah tangu zama. Muhammad alimtengeneza na kumtumia kuwa ndiye mungu wa pekee astahiliye kuabudiwa na wafuasi wa dini yake Islam
Mungu wa Wakristo anaitwa Yahweh.
mungu wa Waislam anaitwa Allah.
Mpaka hapo nafikiri utakuwa umeelewa maana sijamung'unya maneno. miungu wako wengi Sana na wanaabudiwa na mamilioni ya watu, kuna Dagoni, kuna Baari, Kuna Allah etc etc.
Tafakari chukua hatua...
 
Wewe nakupuuza....
You are not the first one. Even your deity hates asking questions. There has been so much evil done in the name of your deity and Islam and it would take a million years of no religion of peace to make up the difference.
 
Kwa kumtokea mtu bila kupenda na kuwa na uwezo wa kulizuia.

There is no actual purpose or meaning to life if God doesn't exist.
There is no moral truth or duties unless God exists. Nothing is actually right or wrong if God doesn't exist.

Non theism is mindless
 
Waislam wanaye mungu wao anaitwa Allah, huyu ni mungu wa makuraish wa Makkah tangu zama. Muhammad alimtengeneza na kumtumia kuwa ndiye mungu wa pekee astahiliye kuabudiwa na wafuasi wa dini yake Islam
Mungu wa Wakristo anaitwa Yahweh.
mungu wa Waislam anaitwa Allah.
Mpaka hapo nafikiri utakuwa umeelewa maana sijamung'unya maneno. miungu wako wengi Sana na wanaabudiwa na mamilioni ya watu, kuna Dagoni, kuna Baari, Kuna Allah etc etc.
Tafakari chukua hatua...

Hahahaha, Unaweza kuandika Allah na Yahwe kwa Kiswahili au hata kwa lugha ya kabila lako?
 
Back
Top Bottom